Msanii Lina Sanga aporomoshewa matusi kwa kuanika picha za nusu utupu za ujauzito wake

Msanii Lina Sanga aporomoshewa matusi kwa kuanika picha za nusu utupu za ujauzito wake

Daaahhhh sio sawa lakni
Kweli Mungu atusamehe sana,Ila inaumza sana wengine wajaribu kujenga familia zenye maadili kwa faida ya vizazi vijavyo,wengine kwa ulimbukeni wajitahidi kubomoa.Sasa kutakua na tofauti gani kati ya binadamu aliye na akili ya kusitiri na mnyama asiye na akili!!!!!!!!
 
Wakinga hatupo hivyo....huyo ni mkinga ila mkinga wa Bon town......
 
View attachment 504899 Linah apokea kichambo kwa picha hizi

Msanii wa muziki Bongo Linah Sanga, wiki hii ameamua kutoa picha za muonekano wa tumbo lake lilivyo kwa sasa.

Katika moja ya picha, baadhi ya watu na wadau wa msanii huyo wamemtupia maneno huku wengine wakimtaka avae dera kama nia ni kuonesha tumbo lake.

Wengine wameishia kusema "wanga" ni wengi,unaweza kupigwa jicho tu la husda ukaishia kuzaa mjusi.Hali hii imefanya watu waamini ni kinyume cha maadili na kuiga utamaduni wa magharibi kuonyeshatumbo lenye ujauzito


Fuatilia maisha yako, waache watu wawe jinsi walivyo, wewe haumlishi, haumlipii pango na wala haujui analala wapi!
 
Kuwa msanii bongo kwa kweli ni majanga....yaani wanaishi maisha yao kama bongo fleva zao....fake mtindo mmoja.
 
Huyu dada nilimuona fala siku ile anadai ametoa "mimba kama mbili hivi". Means hana uhakika so huenda ni zaidi ya hizo. Issue si kutoa mimba ila ujinga ni kukiri umetoa mimba kwenye media. Sio kila kitu ulichofanya kila mtu ajue, uchafu mwingine unabaki nao wewe mwenyewe ukimuomba Mungu akusamehe.
 
Kuna kitu mimi sikielewi katika maisha ya kila siku ya binadamu. Kwanini sisi walimwengu ni wepesi sana kuhukumu maisha ya wenzetu???? Yaani ukisoma bandiko la huyu mwenzetu it is like.....yeye is super human. Na kila mtu inabidi aishi na kuyaona maisha yeye anavyoyaona. What makes you think that you can impose your values on others? Umeshamuhukumu ni Limbukeni, Malaya, hajiheshimu. Sidhani kama uko sahihi. Jitafakari.

Tuache kuhukumu maisha ya wengine. Linah ana amaisha yake. Let her do what makes her happy.

Mimi simjui na wala si shabiki wake huyu dada. Lakini naamini ana haki ya kufanya anayoyafanya na mwili wake.
Unaposema wasihukumu what do you mean???
Mbona nawewe unahukumu comments za watu.

Wanyalu wamezidi ushamba that's all.
 
View attachment 504899 Linah apokea kichambo kwa picha hizi

Msanii wa muziki Bongo Linah Sanga, wiki hii ameamua kutoa picha za muonekano wa tumbo lake lilivyo kwa sasa.

Katika moja ya picha, baadhi ya watu na wadau wa msanii huyo wamemtupia maneno huku wengine wakimtaka avae dera kama nia ni kuonesha tumbo lake.

Wengine wameishia kusema "wanga" ni wengi,unaweza kupigwa jicho tu la husda ukaishia kuzaa mjusi.Hali hii imefanya watu waamini ni kinyume cha maadili na kuiga utamaduni wa magharibi kuonyeshatumbo lenye ujauzito
Wadada wa kitanzania! Wapi thamani ya miili yenu?
 
Wasanii wa hii nchi ya Nyerere wanakopi na kupesti kila kitu kutoka katika mitandao ya kijamii......

Huu ni mwanzo tu......tutayaona mengi....
 
Fuatilia maisha yako, waache watu wawe jinsi walivyo, wewe haumlishi, haumlipii pango na wala haujui analala wapi!
Kuna mahali nimesema namlisha au kumlipia pango?
Au unaona kuna sehemu nimemshutumu na kumsimanga?Mimi nime-share habari na wananzengo juu ya nini watu wanasema huko mitandaoni

Haya si maneno yangu,na ni kawaida hapa kuleteana habari toka sehemu mbalimbali ili kuhabarishana?Haya maneno wewe umeyatoa wapi?Au una jingine juu yangu ila umeamua kupitia kwenye mgongo wa hii "thread"?

Wewe mbona kutwa kucha unamuandama humu Lowassa na Mbowe na kina Lissu...hawa na wamekulia nini?unawalisha?Jifunze
 
Simuhurumii yeye ila ninamhurumia mzazi wake haswa anapokuwa akiinjilisha...
Ni moyo mkubwa sana lakini ni akheri mtu asikie yaliyo ya sirini lakini si kujianika hivyo...

Mungu anajua kuwa hatupaswi kuhukumu wengineo ila tuache maisha yawe hakimu wake lakini siamini chozi la mzazi wake kama litaenda bure...
 
Kweli Mungu atusamehe sana,Ila inaumza sana wengine wajaribu kujenga familia zenye maadili kwa faida ya vizazi vijavyo,wengine kwa ulimbukeni wajitahidi kubomoa.Sasa kutakua na tofauti gani kati ya binadamu aliye na akili ya kusitiri na mnyama asiye na akili!!!!!!!!
Na tatoo juuu kaekeleaa. Yan me nikimuona mwanamke hataa mwanaume kajichora namshangaaa Kama vilee katokea sayar nyingne. Sasa huyoo mtoto akizaliwa akauliza hiyoo nini anamjibu vip? Au na mtoto anataka kuchorwa
 
Back
Top Bottom