Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuh... " hawa ndio wakina mama wa mwendo kasi inasikitisha kwa kwelii
Dunia imebadilika,maisha yamebadilika.kuna mambo mengi mbya kuliko hii yanatokea na watu kimya,sielewi kwa nini watu mnakasirika huyu binti kuonyesha mtumbo wake.Mastaa wengi kila siku wanapiga picha ma vichupi ,kila mtu atabeba mzigo wake.This is not fair Linah, this is too much, you are my favorite singer but for this I undergrade you, ficha mimba onyesha mtoto, waweza zaa maji matupu sasa sijui sifa zitakutoka ama vp..shame on you!!
Sawa mkuuDunia imebadilika,maisha yamebadilika.kuna mambo mengi mbya kuliko hii yanatokea na watu kimya,sielewi kwa nini watu mnakasirika huyu binti kuonyesha mtumbo wake.Mastaa wengi kila siku wanapiga picha ma vichupi ,kila mtu atabeba mzigo wake.
wewe ndio mpuuzi kwani hujali mila na desturi zetu
Ulikuwa na point nzuri sana, lakini sema umetumia nguvu nyingi kuiwasilisha badala ya kutumia akili...Kila mtu na maisha yake
Mnajifanya kukosoa' nyie ndio mliomuumba , jali yako, yakikushinda tuliza domo , kalale ... We inakuuma nn umelazimishwa kumuangalia
Upuuzi tu ndo maana hamuendelei
Kila mtu na maisha yake
Mnajifanya kukosoa' nyie ndio mliomuumba , jali yako, yakikushinda tuliza domo , kalale ... We inakuuma nn umelazimishwa kumuangalia
Upuuzi tu ndo maana hamuendelei
Unaposema wasihukumu what do you mean???
Mbona nawewe unahukumu comments za watu.
Wanyalu wamezidi ushamba that's all.