Msanii Mbalamwezi kutoka kundi la 'The Mafik' afariki dunia ikidaiwa ni kutokana na majeraha ya kupigwa

Uzee huu mzee mwenzangu..
Sio kila mtu anakaa jf all the time
Ila Kule Instagram vijana wengi wanakesha muda wote
JF inaendelea kuendeshwa na sie wahenga, damu changa si nyingi, kwenye hili jukwaa la umbea tunategemea kupata taarifa kutoka kwa kina warumi ambao na wenyewe washazeeka[emoji1]
 
Ila ule muonekano wake ulikuwa unatia mashaka sana hasa zule hereni zake kubwa Kubwa hakuwa na undugu na kina James delicious kweli plus mwili umwokotwa hauna nguo
 
Hata maelezo ya Mwenyekiti kuna namna yanakanganya. Mwanzoni amekiri kuwa aliletewa vifaa na Bwana anaitwa Dullah. Baadaye anakanusha kuwa Mtendaji wake ndiye aliviwasilisha kwake kwa niaba ya Dullah.

Aliwaambia vijana kuwa siwatambui na huyo mwenzenu simtambui. Ila baada ya kupatiwa taarifa za kifo chake akasikitika kwa kuwa aliyekufa bado ni kijana mdogo.

Poleni wafiwa!
 
Pumzikaaaa amani Mbalamwezi Mungu akuweke unakostahili. Umeondoka mapema sanaaaa
 
Duh alikuwa anakaa opposite na nyumba ya mufti wa tz.....
Praise team tena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ova
mpwaaaaaaaa kama n hayaaaa ashafikaa aheraa na dhambi zakee ashasameheewa kukaaa KARIBU na mufti nayooo n baaarakaa
 
mpwaaaaaaaa kama n hayaaaa ashafikaa aheraa na dhambi zakee ashasameheewa kukaaa KARIBU na mufti nayooo n baaarakaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ova
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ova

Naaminiii amelambaaa upakooo WA Allah swabahanaa wataala vyakutosha.....arehemiwe jirani yetuuu hope ashalamba ardhii mchanahuu
 
DUNIA INAMAMBOOO HIII DAH MPAKANKUONDOAANAAAROHOO

SHETANIII AMEVAA UBINADAMU SO SAD
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…