TANZIA Msanii Mkongwe Mohammed Fungafunga (Mzee Jengua) afariki Dunia

Kama kirusi cha nyani ndo chanzo cha kudedi basi foleni ni ndefu kama mabehewa ya treni...
 
Jamanii huyu Baba alikuwa ananichekeshaga sana, na nilimpenda kweli yan
Mimi pia alikua mkali mwenye maneno ya kuchekesha ndani yake,
Nimesikitika sana kwa kifo chake,
Atangulie kwa amani na sisi tutaenda.
 
Nawaonea sana Huruma hapa hasa Baba na Mwana 'Napiga Soga Chalinze' ambao kwa Nyakati tofauti wote wamepita kwa 'Tenda Wema' uondoke.
Duuuu, hii pesa na umaarufu ni vitu vizuri lkn ni hatari sana.
 
Yeah ni level za kina mzee Majuto nakumbuka alikua na mtoto wake anaitwa Peace kwenye maigizo ya kidedea enzi hizo da alikuwaga noma sana dingi mkali mtoto anatoroka kwenda disco
Peace alishafariki, hakuwa mtoto wake ila alikuwa ni mwanamke ambaye Jengua alikuwa anamtaka halafu Peace anamchomolea. Peace alikuwa ni mpangaji kwenye nyumba ya mama mdogo wake John.

Mtoto wa Jengua aliyekuwa anatoroka toroka alikuwa anaitwa Tabia (naye kama sikosei alikwishafariki dunia).

Chemchem Sanaa Group..kitambo sana
 
Hakuna atakayeishi milele. Kama ni sahihi pumzika kwa amani mzee wetu.
 
Niliacha kuangalia bongo movie 2013 ....

nikarudi kutazama tamthilia hiyo bila kukosa episode hata moja .....
wahusika walijitahidi Sana kuvaa uhalisia....niliipenda
Wahusika walipendeza sana, Binafsi nilivutiwa na Clara, Mke wa Mtawala, Koku, kwa ufupi huwa sichoki kuitazama hii
 
Wahusika walipendeza sana, Binafsi nilivutiwa na Clara, Mke wa Mtawala, Koku, kwa ufupi huwa sichoki kuitazama hii
Mwinyi mkuu , kitale, mtawala ,kobelo ....
walinivutia sana kila mmoja Kwa nafasi yake....
Mzee wa kulukutata mantetele.....
 
Na kinachoniuma zaidi ni kwamba Baba Chalinze 'napiga Soga' na Mwanae Chalinze 'napiga Soga' Wote wamepita hapo kwa nyakati tofauti tofauti.
Ahahahah sema ukiwa na hela huu ugonjwa hautishi kivile
 
Rip
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…