TANZIA Msanii Mohbad kutoka Nigeria afariki dunia

TANZIA Msanii Mohbad kutoka Nigeria afariki dunia

Daah inasikitisha sana yaani unaumizwa /kuuawa kwa sababu ya juhudi zako za kujipambania maisha yako!!?

Binadamu tuna roho ngumu sana na za kikatili kuliko kiumbe yeyote yule hapa duniani๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ
Yaani huyu mohbaad alikua msanii chini ya label anayo miliki bwana Naira marley

Sasa Kutokana na manyanyaso ya hapa na pale kijana mohbad akaachana na label hiyo , lakini katika label hiyo kijana mwenye nyota na mvuto ni yeye

Bifu likaanzia hapo
Wakazidi kumnyanyasa na kumkkatalia hata zile nyimbo alizofanya alizokua huko sio miliki yake
Show zikakata

Mungu sio bwana mwigulu ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…si jamaa akaendelea kupambana akaendelea kung'aa
Mke wake akjifungua mtoto wa kiume wanaedai watu sio wake ni wa SAMLARRY ( mi nahisi huyu samlarry alikua tu na wivu na mohbad na mwanamke wake thou mtoto hajafanana na mohbad lakini kafanana na mama yake)

Bifu kali kati ya mohbad, nairamarley samlarry na vijana wa label husika likapamba motoooo

Mohbad amekua akisema hadharani wanamtisha na wanataka kumuua (naira marley na samlarry)
Na ikitokea amekufa ni wao wamehusika
Lakini ndio hivyo binadamu wa nigeria hawakumzingatia

Mwisho wa siku huyu mohbad alitangazwa amekufa na vijana watatu lakini kwenye video hiyo waliokua live mohbad alionekana hajafa maana alitaka kujiinua wakakatisha live hiyo.

Kuna nesi alimchoma sindano mohbad ila hatambuliki na shirika la wauguzi huko ni nesi fake

Katika video kabla ya kifo mohbad alisema walimpa chupa yenye maji akanywa baada ya hapo akawa anahisi kuchanganyikiwa na kupoteza kumbukumbu
Alipozinduka alirekodi tena kuelezea
Mara anamwambia mke wake amtumie mtu voice kwenye whatsapp yake na anasema aakifa ni wao
๐Ÿ’ƒ๐Ÿป๐Ÿ’ƒ๐Ÿป๐Ÿ’ƒ๐Ÿป๐Ÿ’ƒ๐Ÿป๐Ÿ’ƒ๐Ÿป mambo ni mengi sana sana

Sasa baba yake mohbad yuko chini ya ulinzi nahisi/wanager wanahisi walishamtishia na anajua mengi kuhusu kifo hiko naye anahofu so hakusema
Na maziko yaamefanyika haraka haraka
Na hata jeneza ndio kama ulivyoona
Inasemekana alizikwa akiwa hajafa na ndio maana kuna damu kaburini kwa jeneza
ili kumaliza ushahidi na watu wakaweka zege juu kumaliza mchezo

Na Naira marley na samlarry wako WANTED na hawajulikani walipo lakini samlarry alisemekana kukimbilia kenya

Huku manager wa Mohbad akitakiwa polisi maana huwa 100% na mohbad kkatika kila safari yake
Lakini safari hii hakupatikana kokote
Pia huyu manager ni rafiki wa karibu na wauajiwatesi wa mohbad


HISTORIA YA NAIRA MARLEY ni WANTED huko UK na nchi nyingine kwa kesi za wizi na uharifu pia kujeruhi watu sio mtu
Pia kwa Niger alikua na kesi ya kugushi CREDIT CARD


๐Ÿ’ƒ๐Ÿป๐Ÿ’ƒ๐Ÿป๐Ÿ’ƒ๐Ÿป๐Ÿ’ƒ๐Ÿป๐Ÿ’ƒ๐Ÿป๐Ÿ’ƒ๐Ÿป๐Ÿ’ƒ๐Ÿป๐Ÿ’ƒ๐Ÿป๐Ÿ’ƒ๐Ÿป๐Ÿ’ƒ๐Ÿป
Ngoja ninywe maji kwanza
 
Yaani huyu mohbaad alikua msanii chini ya label anayo miliki bwana Naira marley

Sasa Kutokana na manyanyaso ya hapa na pale kijana mohbad akaachana na label hiyo , lakini katika label hiyo kijana mwenye nyota na mvuto ni yeye

Bifu likaanzia hapo
Wakazidi kumnyanyasa na kumkkatalia hata zile nyimbo alizofanya alizokua huko sio miliki yake
Show zikakata

Mungu sio bwana mwigulu [emoji28][emoji28]si jamaa akaendelea kupambana akaendelea kung'aa
Mke wake akjifungua mtoto wa kiume wanaedai watu sio wake ni wa SAMLARRY ( mi nahisi huyu samlarry alikua tu na wivu na mohbad na mwanamke wake thou mtoto hajafanana na mohbad lakini kafanana na mama yake)

Bifu kali kati ya mohbad, nairamarley samlarry na vijana wa label husika likapamba motoooo

Mohbad amekua akisema hadharani wanamtisha na wanataka kumuua (naira marley na samlarry)
Na ikitokea amekufa ni wao wamehusika
Lakini ndio hivyo binadamu wa nigeria hawakumzingatia

Mwisho wa siku huyu mohbad alitangazwa amekufa na vijana watatu lakini kwenye video hiyo waliokua live mohbad alionekana hajafa maana alitaka kujiinua wakakatisha live hiyo.

Kuna nesi alimchoma sindano mohbad ila hatambuliki na shirika la wauguzi huko ni nesi fake

Katika video kabla ya kifo mohbad alisema walimpa chupa yenye maji akanywa baada ya hapo akawa anahisi kuchanganyikiwa na kupoteza kumbukumbu
Alipozinduka alirekodi tena kuelezea
Mara anamwambia mke wake amtumie mtu voice kwenye whatsapp yake na anasema aakifa ni wao
[emoji1323][emoji1323][emoji1323][emoji1323][emoji1323] mambo ni mengi sana sana

Sasa baba yake mohbad yuko chini ya ulinzi nahisi/wanager wanahisi walishamtishia na anajua mengi kuhusu kifo hiko naye anahofu so hakusema
Na maziko yaamefanyika haraka haraka
Na hata jeneza ndio kama ulivyoona
Inasemekana alizikwa akiwa hajafa na ndio maana kuna damu kaburini kwa jeneza
ili kumaliza ushahidi na watu wakaweka zege juu kumaliza mchezo

Na Naira marley na samlarry wako WANTED na hawajulikani walipo lakini samlarry alisemekana kukimbilia kenya

Huku manager wa Mohbad akitakiwa polisi maana huwa 100% na mohbad kkatika kila safari yake
Lakini safari hii hakupatikana kokote
Pia huyu manager ni rafiki wa karibu na wauajiwatesi wa mohbad


HISTORIA YA NAIRA MARLEY ni WANTED huko UK na nchi nyingine kwa kesi za wizi na uharifu pia kujeruhi watu sio mtu
Pia kwa Niger alikua na kesi ya kugushi CREDIT CARD


[emoji1323][emoji1323][emoji1323][emoji1323][emoji1323][emoji1323][emoji1323][emoji1323][emoji1323][emoji1323]
Ngoja ninywe maji kwanza

Huu msiba umeniuma kama jamaa alikua ndugu yangu dah,kuna dj nae alikua anafanya kazi kwa naira amekua chizi huwa anawapa madawa ukitaka kuchomoka,,,huyu naira ni katili sana unaambiwa kabla ya kifo cha mohbad naira alipewa ubaloz na watu wanaozibit mambo ya dawa za kulevya (Wakati yeye ni muuza unga)huku na kule wakamkamata mohbad ndio kisa chakupewa hayo madawa,,,hawa jamaa walimfanya mwenzao aishi kwa shida sana na hadi anaingia kaburini maana sio kwa kijeneza kile unaambiwa pasta alikandamiza shingo ili aenee kwenye jeneza,,,,,kijeneza kidogo wakamzika haraka haraka wakati davido alitoa naira mil2 walishindwa kumtafutia jeneza kubwa[emoji1373]ndio mana watu wanasema hadi familia yake inahusika!
 
Huu msiba umeniuma kama jamaa alikua ndugu yangu dah,kuna dj nae alikua anafanya kazi kwa naira amekua chizi huwa anawapa madawa ukitaka kuchomoka,,,huyu naira ni katili sana unaambiwa kabla ya kifo cha mohbad naira alipewa ubaloz na watu wanaozibit mambo ya dawa za kulevya (Wakati yeye ni muuza unga)huku na kule wakamkamata mohbad ndio kisa chakupewa hayo madawa,,,hawa jamaa walimfanya mwenzao aishi kwa shida sana na hadi anaingia kaburini maana sio kwa kijeneza kile unaambiwa pasta alikandamiza shingo ili aenee kwenye jeneza,,,,,kijeneza kidogo wakamzika haraka haraka wakati davido alitoa naira mil2 walishindwa kumtafutia jeneza kubwa[emoji1373]ndio mana watu wanasema hadi familia yake inahusika!

Familia itakua imepata vitisho tu
 
Yaani huyu mohbaad alikua msanii chini ya label anayo miliki bwana Naira marley

Sasa Kutokana na manyanyaso ya hapa na pale kijana mohbad akaachana na label hiyo , lakini katika label hiyo kijana mwenye nyota na mvuto ni yeye

Bifu likaanzia hapo
Wakazidi kumnyanyasa na kumkkatalia hata zile nyimbo alizofanya alizokua huko sio miliki yake
Show zikakata

Mungu sio bwana mwigulu ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…si jamaa akaendelea kupambana akaendelea kung'aa
Mke wake akjifungua mtoto wa kiume wanaedai watu sio wake ni wa SAMLARRY ( mi nahisi huyu samlarry alikua tu na wivu na mohbad na mwanamke wake thou mtoto hajafanana na mohbad lakini kafanana na mama yake)

Bifu kali kati ya mohbad, nairamarley samlarry na vijana wa label husika likapamba motoooo

Mohbad amekua akisema hadharani wanamtisha na wanataka kumuua (naira marley na samlarry)
Na ikitokea amekufa ni wao wamehusika
Lakini ndio hivyo binadamu wa nigeria hawakumzingatia

Mwisho wa siku huyu mohbad alitangazwa amekufa na vijana watatu lakini kwenye video hiyo waliokua live mohbad alionekana hajafa maana alitaka kujiinua wakakatisha live hiyo.

Kuna nesi alimchoma sindano mohbad ila hatambuliki na shirika la wauguzi huko ni nesi fake

Katika video kabla ya kifo mohbad alisema walimpa chupa yenye maji akanywa baada ya hapo akawa anahisi kuchanganyikiwa na kupoteza kumbukumbu
Alipozinduka alirekodi tena kuelezea
Mara anamwambia mke wake amtumie mtu voice kwenye whatsapp yake na anasema aakifa ni wao
๐Ÿ’ƒ๐Ÿป๐Ÿ’ƒ๐Ÿป๐Ÿ’ƒ๐Ÿป๐Ÿ’ƒ๐Ÿป๐Ÿ’ƒ๐Ÿป mambo ni mengi sana sana

Sasa baba yake mohbad yuko chini ya ulinzi nahisi/wanager wanahisi walishamtishia na anajua mengi kuhusu kifo hiko naye anahofu so hakusema
Na maziko yaamefanyika haraka haraka
Na hata jeneza ndio kama ulivyoona
Inasemekana alizikwa akiwa hajafa na ndio maana kuna damu kaburini kwa jeneza
ili kumaliza ushahidi na watu wakaweka zege juu kumaliza mchezo

Na Naira marley na samlarry wako WANTED na hawajulikani walipo lakini samlarry alisemekana kukimbilia kenya

Huku manager wa Mohbad akitakiwa polisi maana huwa 100% na mohbad kkatika kila safari yake
Lakini safari hii hakupatikana kokote
Pia huyu manager ni rafiki wa karibu na wauajiwatesi wa mohbad


HISTORIA YA NAIRA MARLEY ni WANTED huko UK na nchi nyingine kwa kesi za wizi na uharifu pia kujeruhi watu sio mtu
Pia kwa Niger alikua na kesi ya kugushi CREDIT CARD


๐Ÿ’ƒ๐Ÿป๐Ÿ’ƒ๐Ÿป๐Ÿ’ƒ๐Ÿป๐Ÿ’ƒ๐Ÿป๐Ÿ’ƒ๐Ÿป๐Ÿ’ƒ๐Ÿป๐Ÿ’ƒ๐Ÿป๐Ÿ’ƒ๐Ÿป๐Ÿ’ƒ๐Ÿป๐Ÿ’ƒ๐Ÿป
Ngoja ninywe maji kwanza
Nimekupata sana....Asante sana.
Sasa kwanini alizikwa chapchap?
Baba mtu alihizinisha azikwe haraka haraka Kwa nini?
Na pia hiyo live waliingia hao kina marlian yaan naira na gang yake?
Yaani waliingia live kuonesha flan kafa kumbe sio?
Huyo lary na naira wooote wamekimbia just haraka haraka baada ya tukio au hawakuepo katika tukio?
Video akifikuliwa nimeiona ,shingo imevunjwa....maana imekunjiaka kabisa...mohbad ni mkristo....wakati wanaaga walimuona kweli....yaani tukio la mazishi Kuna watu walilishuhudia au hakukua na msiba....ni chap Kwa haraka wakafukia
 
Nimekupata sana....Asante sana.
Sasa kwanini alizikwa chapchap?
Baba mtu alihizinisha azikwe haraka haraka Kwa nini?
Na pia hiyo live waliingia hao kina marlian yaan naira na gang yake?
Yaani waliingia live kuonesha flan kafa kumbe sio?
Huyo lary na naira wooote wamekimbia just haraka haraka baada ya tukio au hawakuepo katika tukio?
Video akifikuliwa nimeiona ,shingo imevunjwa....maana imekunjiaka kabisa...mohbad ni mkristo....wakati wanaaga walimuona kweli....yaani tukio la mazishi Kuna watu walilishuhudia au hakukua na msiba....ni chap Kwa haraka wakafukia
๐Ÿ–๐Ÿพ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Watu wanahoji kwanini amezikwa chapchap hivyo
FAmilia hasa baba ndio alitaka wazike haraka
Kijana ni mkristo
Hapa inaonekana familia inajua mchezo ila imepata vitisho
NAiraMarley na Samlarry tangu msiba hawajatoka hadharani na baada ya fukuto la #justiceformohbad wamepotea nchini hawajulikani walipo ndio story mmoja wao alionekana kenya


Vijana walioingia live wako watatu huwa wako na mohbad na team nairamarley
Nao hawajulikani walipo pia
 
๐Ÿ–๐Ÿพ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Watu wanahoji kwanini amezikwa chapchap hivyo
FAmilia hasa baba ndio alitaka wazike haraka
Kijana ni mkristo
Hapa inaonekana familia inajua mchezo ila imepata vitisho
NAiraMarley na Samlarry tangu msiba hawajatoka hadharani na baada ya fukuto la #justiceformohbad wamepotea nchini hawajulikani walipo ndio story mmoja wao alionekana kenya


Vijana walioingia live wako watatu huwa wako na mohbad na team nairamarley
Nao hawajulikani alipo pia
Na hiyo ripoti hawaitoi sijui wanataka kuchakachua....
Ila hamonaiz ndo namuelewa Sasa hivi
 
Report ni kasababishiwa kifa ila wahusika sasa ndio hawajulikani hamonaiz tenaaa??
Kuna intaview alifanya kwamba anazuiwa mpaka kwenda kufanya show nje....
Mpaka alipoe Ile milion 600 sijui...na wakati bila hizo show hawezi kuilipa yaani Kwa kifupi bila jpm amonaiz wangemkaanga..
Hizi record lebel hawawek wazi tu ila hawataki utoke na ukitoka hawataki ufanikiwe..
Wameanza kumuongelea na don jazzy....msanii akitoka kwake anafulia
 
Kuna intaview alifanya kwamba anazuiwa mpaka kwenda kufanya show nje....
Mpaka alipoe Ile milion 600 sijui...na wakati bila hizo show hawezi kuilipa yaani Kwa kifupi bila jpm amonaiz wangemkaanga..
Hizi record lebel hawawek wazi tu ila hawataki utoke na ukitoka hawataki ufanikiwe..
Wameanza kumuongelea na don jazzy....msanii akitoka kwake anafulia
Ndio hivyo wanataka msanii abaki wagawane nae faida
 
Kuna intaview alifanya kwamba anazuiwa mpaka kwenda kufanya show nje....
Mpaka alipoe Ile milion 600 sijui...na wakati bila hizo show hawezi kuilipa yaani Kwa kifupi bila jpm amonaiz wangemkaanga..
Hizi record lebel hawawek wazi tu ila hawataki utoke na ukitoka hawataki ufanikiwe..
Wameanza kumuongelea na don jazzy....msanii akitoka kwake anafulia
Na jpm alikuwa anampenda sana hamo
 
Nilikuwa simjui huyu msanii ila baada ya kifo chake nimejaribu kufuatilia pana mengi sana hasa ile clip ya mwisho kabla ya kifo chake
 
Yaani huyu mohbaad alikua msanii chini ya label anayo miliki bwana Naira marley

Sasa Kutokana na manyanyaso ya hapa na pale kijana mohbad akaachana na label hiyo , lakini katika label hiyo kijana mwenye nyota na mvuto ni yeye

Bifu likaanzia hapo
Wakazidi kumnyanyasa na kumkkatalia hata zile nyimbo alizofanya alizokua huko sio miliki yake
Show zikakata

Mungu sio bwana mwigulu [emoji28][emoji28]si jamaa akaendelea kupambana akaendelea kung'aa
Mke wake akjifungua mtoto wa kiume wanaedai watu sio wake ni wa SAMLARRY ( mi nahisi huyu samlarry alikua tu na wivu na mohbad na mwanamke wake thou mtoto hajafanana na mohbad lakini kafanana na mama yake)

Bifu kali kati ya mohbad, nairamarley samlarry na vijana wa label husika likapamba motoooo

Mohbad amekua akisema hadharani wanamtisha na wanataka kumuua (naira marley na samlarry)
Na ikitokea amekufa ni wao wamehusika
Lakini ndio hivyo binadamu wa nigeria hawakumzingatia

Mwisho wa siku huyu mohbad alitangazwa amekufa na vijana watatu lakini kwenye video hiyo waliokua live mohbad alionekana hajafa maana alitaka kujiinua wakakatisha live hiyo.

Kuna nesi alimchoma sindano mohbad ila hatambuliki na shirika la wauguzi huko ni nesi fake

Katika video kabla ya kifo mohbad alisema walimpa chupa yenye maji akanywa baada ya hapo akawa anahisi kuchanganyikiwa na kupoteza kumbukumbu
Alipozinduka alirekodi tena kuelezea
Mara anamwambia mke wake amtumie mtu voice kwenye whatsapp yake na anasema aakifa ni wao
[emoji1323][emoji1323][emoji1323][emoji1323][emoji1323] mambo ni mengi sana sana

Sasa baba yake mohbad yuko chini ya ulinzi nahisi/wanager wanahisi walishamtishia na anajua mengi kuhusu kifo hiko naye anahofu so hakusema
Na maziko yaamefanyika haraka haraka
Na hata jeneza ndio kama ulivyoona
Inasemekana alizikwa akiwa hajafa na ndio maana kuna damu kaburini kwa jeneza
ili kumaliza ushahidi na watu wakaweka zege juu kumaliza mchezo

Na Naira marley na samlarry wako WANTED na hawajulikani walipo lakini samlarry alisemekana kukimbilia kenya

Huku manager wa Mohbad akitakiwa polisi maana huwa 100% na mohbad kkatika kila safari yake
Lakini safari hii hakupatikana kokote
Pia huyu manager ni rafiki wa karibu na wauajiwatesi wa mohbad


HISTORIA YA NAIRA MARLEY ni WANTED huko UK na nchi nyingine kwa kesi za wizi na uharifu pia kujeruhi watu sio mtu
Pia kwa Niger alikua na kesi ya kugushi CREDIT CARD


[emoji1323][emoji1323][emoji1323][emoji1323][emoji1323][emoji1323][emoji1323][emoji1323][emoji1323][emoji1323]
Ngoja ninywe maji kwanza
Aiseee
 
Back
Top Bottom