Msanii namba 1 Afrika kwa sasa, Diamond Platnumz ajenga nyumba ya Ibada (Msikiti)

Africa ipi mzee?..hahahaaaa
 
Kwa ubora.
TANZANIA tuna TBS shirika la viwango na ubora sasa wewe umetumia TBC au TBS kupima huo UBORA?

diamond ni msanii anaefanya vizuri ila sio msanii bora afrika "Huo ni utumwa wa fikra kuamini kuwa Diamond ndiye msanii bora Afrika".

Kura yako moja isikufanye uone uko sahihi .
 
Bado anaishi kwa mama, aanze akue atoke kwa mama ndio afikirie kujenga chuo.
You need to grow!
Kiba anategemewa na familia yake, halafu unasema anaishi kwa mama!
Kuna watu wana nyumba zaidi ya kumi, na bado wamepanga!
Msipende kukomenti Negative kila saa!
For your information, KIBA ana Mpunga wa kutosha tena anaweza akawa Mwanamziki wa kwanza TZ.
....Ndiyo maana akasema Depe tupu haliachi kupiga kelele......
....Haya ni maisha, tunaposema Great Thinker., Let us be True Great Thinker!
 
Swali la kijinga Sana. Rudi shule

Bado miaka kumi na moja kustaafu kazi na hata yale mafao ya mpaka ufikishe 55years, kwangu wakinitumbua sasa sina presha kivile!! Ole wako wewe unayewaza shule sasa!!!!
 
Umejawa na ushabiki Mkuu
Mbona hujataja tatoo alizojichora au kwa sababu kajenga msikiti
Kuza fikra zako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…