Msanii namba 1 Afrika kwa sasa, Diamond Platnumz ajenga nyumba ya Ibada (Msikiti)

Halafu siku ya uzinduzi wa msikiti wataanza kuwaponda wa upande wa pili kwa kuwaita makafiri kwa sababu ya kuvaa hereni, kata k na uzinzi!
 
Faman Ya'amal Mithqaala Dharratin Khayran Yaraa.

Waman Ya'amal Mithqaala Dharratin Sharran Yaraa.

ALLAHU YA'ALAM.
 
Kwa kweli mimi ni shabiki wa Diamond lakini kusema yeye ajenge msikiti na watu wakaswali kabisa siungi mkono. Anayo yafanya sidhani kama dini ina yaunga mkono.

Ni sawa sawa na jay z ajenge kanisa, au davido ajenge kanisa. Yaan haija kaa poa.
Kwani unadhani misikiti na makanisa yote yamejengwa kwa pesa za halali? Ndio maana ikawepo touba, na hakuna mkamilifu ila Allah, tumuombe tu atujaalie mwisho mwema nae Allah amjaalie mwisho mwema aamiyn..
 
Swadakta
 
Na huo ndio ukweli.
 
Bado miaka kumi na moja kustaafu kazi na hata yale mafao ya mpaka ufikishe 55years, kwangu wakinitumbua sasa sina presha kivile!! Ole wako wewe unayewaza shule sasa!!!!
Basi pole kumbe adult afu unaandika hiki kitu
 
Ina maana ukichangia mambo yasiyohusiana na dini yakupasa kupayuka au!!?
 
Kwani unadhani misikiti na makanisa yote yamejengwa kwa pesa za halali? Ndio maana ikawepo touba, na hakuna mkamilifu ila Allah, tumuombe tu atujaalie mwisho mwema nae Allah amjaalie mwisho mwema aamiyn..
Post #64 na #73
Nimejitahidi kueleza hoja yangu na nadhani ina nguvu kabisa kabisa _aysher
 
Pamoja na kuupenda muziki sana. Ila uislam unatambua kuwa muziki ni Haram. So hata ukajenga nn kwa fedha za haramu haitakua na faida kwako baada ya kifo zaidi ya kupoteza swala za waswaliji wa msikiti huo
 
Je ! hiyo biashara ya huo muziki anaoufanya kwa sheria za dini ni " HALAL" Kama ndio good job na amepata thawabu zake, kama sio wanazuoni wanazungumziaje kuhusu zawadi hiyo waamini waliopwa ila wawe wanaswalia hapo?
We nawe unafanya mchezo na hela wewe.. Hilo jaribu anayeliweza ni Yesu pekee
 
Kamzuia nan kwenye mziki mpaka arogwe kama sio yy ndo mrogaji
 
mbona msikiti mdogo jaman? angetengeneza bonge la msikiti
 
Umenena vema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…