Msanii Nandy aomba radhi baada ya video yake ya faragha akiwa na Billnass kusambaa mitandaoni. BASATA wamtetea


Ha ha ha
 
Huwa siwaonei Huruma wapumbavu kama hawa,unaomba radhi ya nini kwani alikua hujui alifanyalo?anavuna alichopanda
 
Nandy mtoto mtamu kama kuku wa dawa.

Usinisahau na Mimi katika orodha yako ya kugawa uroda.

Mimi ni nani mpaka nishindwe kupata mautamu yako..?
 
Yaliwakuta miaka mingi iliyopita wakati yeye ni Binti MDOGO, Waliwaasa wenzao kuwa wasifanye makosa...
Leo na yeye anawaasa wenziye...
Na hata baada ya miaka 10 kuna mwingine atawaasa wenziye......
Wapuuzi...!
 
Hakika Wasanii wetu wamechoka kuwa kioo cha jamii.Kitendo kilichofanywa na Wasanii hao hakika ni Aibu kwa Taifa hivyo ni wakati Muafaka lea Wizara husika ikachukua Hatua Kali kwa Wasanii hao ili iwe fundisho.Wasanii hao sio Watoto ni watu wazima.
 
Hata kama kujirekodi wangejirekodi basi hata wanadendeka siyo kuchezeana mifereji ya Dawasco
 
mkuu hapo kutasikia cha shonza wa BASATA wakiongea chochote ila angefanya Roma sahivi nazani angekuwa keko
 
Mi nimejipendekeza kumsamehe...
Maana hata hivyo, hajanikosea wala kumkosea mtu yeyote zaidi ya yeye mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…