Hello..
Nilikua kwenye pitapita zangu nikakuta sehemu zinapigwa ngoma za zamani za bongo fleva..
Ghafla ikapigwa ngoma ya namuimbia ya Pasha aiseeh ilinisafirisha mbali sana kihisia huyu mwamba yuko wapi kwa sasa?..
Alikua amekamilika kuanzia vocal mpaka uandishi..
Kwenye hii ngoma ilipigwa biti na vinanda vya hatari kutoka kwa Mapigo na Saidi Komelei metro studio ndipo lilipopikwa hili dude..
Nilikua kwenye pitapita zangu nikakuta sehemu zinapigwa ngoma za zamani za bongo fleva..
Ghafla ikapigwa ngoma ya namuimbia ya Pasha aiseeh ilinisafirisha mbali sana kihisia huyu mwamba yuko wapi kwa sasa?..
Alikua amekamilika kuanzia vocal mpaka uandishi..
Kwenye hii ngoma ilipigwa biti na vinanda vya hatari kutoka kwa Mapigo na Saidi Komelei metro studio ndipo lilipopikwa hili dude..