Yule anaejiita USSR atakuja kupinga
Ukimsikilizia kweye maelezo yake hayo utagundua anachoongea huyu jamaa ni "akili kubwa sana" kuliko ushabiki wa wana CCM milioni tatu!
Nyie si huwa mnasema mna wanachama zaidi ya milioni 6, wote ni Maprofesa?wenzake huwa wanavuta tu bhangi ila yeye anakula kabisa. yaani bhangi hizo unafananisha na akili za wanazuoni wakubwa waliopo ccm kama prof. muhongo, prof. ndalichako, prof. mbarawa...na wengineo wenye majina makubwa na mchango mkubwa wa kitaalamu duniani.
Mchango wa prof muhongo kwa jamii na upi ama prof Mbarawa ni upi labda tuanzie apo!!wenzake huwa wanavuta tu bhangi ila yeye anakula kabisa. yaani bhangi hizo unafananisha na akili za wanazuoni wakubwa waliopo ccm kama prof. muhongo, prof. ndalichako, prof. mbarawa...na wengineo wenye majina makubwa na mchango mkubwa wa kitaalamu duniani. akili kama hizo zipo chadema tu, ccm hatuna huo ujinga
Umemsikiliza lakini, au leo mmepewa MB 20?Wala ngada lazima wateteane halafu wanaona dunia wanayo mkononi kama pipi vile. Chadema na Ngada hakuna tofauti
Hivi ukisikiliza kichaa nani hapo anakuwa kichaa?Umemsikiliza lakini, au leo mmepewa MB 20?
Ina maana gani mkuu na unaitambuajeakili kubwa sana
Kwa ivo madaktari wa vichaa na wao ni vichaa?Hivi ukisikiliza kichaa nani hapo anakuwa kichaa?
Akili ya mtu unaitambua kwa jinsi anavyotanabahi kwa mambo chanya na hasi!!Ina maana gani mkuu na unaitambuaje
Kwa hiyo wewe ni daktari wa vichaa?Kwa ivo madaktari wa vichaa na wao ni vichaa?
Naomba uniambie maana ya akili kubwaAkili ya mtu unaitambua kwa jinsi anavyotanabahi kwa mambo chanya na hasi!!
Ndiyo ni daktari wa vichaa, lakini ni kwa vichaa wa Lumumba tu!!Kwa hiyo wewe ni daktari wa vichaa?
Haya kichaa wa ufipa endelea kusikiliza vichaa wenzioNdiyo ni daktari wa vichaa, lakini ni kwa vichaa wa Lumumba tu!!