Msanii Rashid Makwiro "Chid Benz", amshauri Makonda aboreshe Segerea akute pazuri akienda

Msanii Rashid Makwiro "Chid Benz", amshauri Makonda aboreshe Segerea akute pazuri akienda

Mnaweza kumfunga Dr Lisu kwa mabavu tu ila sio kwa vifungu vya sheria.
Braza huwa anaongea huku anafikiri, ni maneno gani akiongea yatamfunga kisheria na maneno gani akiongea hayatamfunga kisheria.

Hapo mmekwama

Mbugila we
Amekuwa Dr lini?
 

Sikuwa namtilia maanani sana msanii huyu awali lakini baada ya kumsikiliza nimegundua ana akili sana tofauti na wanavyo mchukulia watu wengi.
Mwishoni mwa mahojiano yake katoa ushauri Kwa Makonda aache kujiingiza mambo mengi yasiyo maana ikiwemo wasanii Kwa kutaka wamsifie wakati wao wanataka hela tuu.
Ajikite mambo ya maana ikiwamo kuboresha hata Segerea kwani yeye au hata Magufuli kama kuna waliyotenda Kwa makosa sasa wajue wataenda kule hivyo waboreshe makazi yao.
Ujumbe murua, Ila waweza kubezwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Watanzania bhana!!! Yaani umemuona ana akili kisa tu kamkosoa makonda!??? Eti ndo umemuona ana akili! Pole sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Sikuwa namtilia maanani sana msanii huyu awali lakini baada ya kumsikiliza nimegundua ana akili sana tofauti na wanavyo mchukulia watu wengi.
Mwishoni mwa mahojiano yake katoa ushauri Kwa Makonda aache kujiingiza mambo mengi yasiyo maana ikiwemo wasanii Kwa kutaka wamsifie wakati wao wanataka hela tuu.
Ajikite mambo ya maana ikiwamo kuboresha hata Segerea kwani yeye au hata Magufuli kama kuna waliyotenda Kwa makosa sasa wajue wataenda kule hivyo waboreshe makazi yao.
Ujumbe murua, Ila waweza kubezwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Amenena vyema kiukweli...ipo siku watayakumbuka maneno yake......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mnayemsifu leo siku akikutwa tena na ngada ndio mtakuja hapa kusema ameonewa!
 
Back
Top Bottom