Msanii Roma Mkatoliki amevuka mstari mwekundu lakini anachekewa tu!

Mhhh kamtukana au kamwambia.
 
Nyimbo kama za Roma ndio zinatakiwa kuimbwa na wasanii karibu 90% kwa sababu Tanzania inahitaji ukombozi wa kifikra, kisiasa, kijamii na kiuchumi.
 
Wimbo wenyewe mm sijawahi usikiliza , hua nasikiliza nyimbo ili kutafuta burudani na kukonga nyoyo tu , ila nyimbo za kupigana vijembe hua sisikilizi kabisa

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Hujasikia pale aliposema yeye ni mmoja wa wanaomkubali mama au hapo hapakuhusu Mkuu.

Ila Roma muongo sana anasema yeye sio chadema wala ccm wakati alitangazwa alipopewa kadi ya chama 😂😂 au anafikiri tumesahau kuwa yeye ni bavicha 😂
 

Roma amevuka mpaka wapi? Maneno yote ya kwenye mistari hapo juu ni ya Kweli ; Kwani nani asiyejue kuwa Vasco Dagama ndio mshauri wake mkuu, hakuna appointment inafanyika bila endorsement toka Msoga!!
Enzi ya Magufuli ulikuwa unamsikia mkwere ? Alikuwa hana sauti na alikuwa amejichimbia Msoga lakini mara baada ya kumsimika Samia akarurudi Mjini fulltime; kule shamba anakwenda kutambika tu!!
Nyie machawa ndio mnatafsiri vibaya wimbo wa mzalendo ROMA!
 
Nyie mlizoea utekaji na uuaji tu.
 
Hajamdhalilisha mtu yeyote usitudanganye
 
Kaimba ukweli kabisa.maamuzi yeyote yanayotoka ikulu ni maelekezo toka msoga
 
CCM imetengeneza kizazi cha wapuuzi waimba sifa na mapambio, kiasi umeona katokea mwenye akili timamu hajaimba mapambio ya kumsifia rais chawa umeumia
 
Kuvuka mstari mwekundu🤔
Hizo sababu Sasa ulizotoa.
Jamani Freedom of expression ni lini itakuwa 100% Tanzania? Bora Roma huko alipo anajilipua tu
Maajabu ya Tanzania, Mtanzania anapinga Mtanzania mwenzake asipate haki au asiujue ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…