Mhhh kamtukana au kamwambia.Ukweli kumdhihaki ,kumkedi na kumweka msambweni mh.Rais SSH kwa kumwita "mwendeshwa akili"?!!!
Huyu Ibra anadharau sana...
Huyu mpare wa Tanga ni mkorofi sana....ametuumiza sana kumtukana mama yake na mama yetu sote daaaah
#SiempreJMT[emoji120]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kwani matusi ni kitu gani ?[emoji1787]Mhhh kamtukana au kamwambia.
😳😳
Enheeee....kumwambia mtu mzima kuwa "amekatwa kichwa"....si matusi ?!!![emoji15][emoji15]
shebby roby ndio nani?*mfalme juha" na bwana shebby Roby
Ukweli unaumaEnheeee....kumwambia mtu mzima kuwa "amekatwa kichwa"....si matusi ?!!!
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Wakati ikulu ni huko chini kwenye vinyweleoKwani kuna mahali amemtaja mtu? Au neno Ikulu & Msoga hayapaswi kutamkwa?
Mtoa mada acha inyeshe tu,bado wingu ni zitoMorogoro Kuna nani usijitoe akili.
Yote ni tisa. Kumi katika mistari ya Roma ambapo amevuka mstari mwekundu ni pale anaposema, "Mama (Samia) anaongoza yuko Ikulu lakini rimoti iko Msoga (Jakaya Kikwete).
Huku si tu Roma ametweza taasisi ya Rais lakini pia amemdharau na kumdhihaki Rais Samia Suluhu Hassan kwamba hawezi kuongoza hadi ashikiwe akili na Rais mstaafu Jakaya Kikwete jambo ambalo ni uzushi, uongo na upuuzi wa kisanii
Jina lako lingine ni ushuziHuyo fala si ndiyo yule alikuwa apotezwe na Magu? Kumbe Magu alikuwa sahihi, kwanza wachunguze uraia wake.
Nyie mlizoea utekaji na uuaji tu.Uhuru wa kujieleza haumaanishi kuvuka mipaka. Uhuru wako usivuke mipaka na kumkwaza mtu mwingine.
Nimesikia wimbo Mpya aliyouachia Msanii Roma Mkatoliki anayeishi ughaibuni akisema, "Roma tunakumisi rudi nyumbani". Sina hakika kama wapo wanaomkosa Roma.
Yote ni tisa. Kumi katika mistari ya Roma ambapo amevuka mstari mwekundu ni pale anaposema, "Mama (Samia) anaongoza yuko Ikulu lakini rimoti iko Msoga (Jakaya Kikwete).
Huku si tu Roma ametweza taasisi ya Rais lakini pia amemdharau na kumdhihaki Rais Samia Suluhu Hassan kwamba hawezi kuongoza hadi ashikiwe akili na Rais mstaafu Jakaya Kikwete jambo ambalo ni uzushi, uongo na upuuzi wa kisanii.
Roma haamini katika uwezo wa kiuongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan jambo ambalo limethibitishwa na jumuiya zote za Kimataifa kuwa anaweza na ameuthibiyishia Ulimwengu kuwa anaweza tena hata kuwapiku watangulizi wake.
Wimbo unatakiwa kupigwa ban kokote na popote, kuanzia mikusanyiko ya watu: baa, maafali, harusi, misinani, vyombo vya usafiri na hata watu binafsi nadhani TCRA wanaweza. Basata isilale huku Rais Samia Suluhu Hassan anadhalilishwa hadharani na msanii Roma.
Nani yuko nyuma ya Roma? Kiburi cha kumdhihaki Rais anapata wapi? Kwanini anachekewa? Kwani hafikiki? This is too much. Roma akamatwe na kuletwa hapa nchini tukutane Kisutu kwa Pilato. Ova.
Zaidi, soma: Nipeni maua yangu - Roma Mkatoliki
Hajamdhalilisha mtu yeyote usitudanganyeHakuna nchi duniani inayoweza kuvumilia ukosoaji wa matusi kwa rais wake....haipo....
Tusijidanganye na iitwayo DEMOKRASIA ya ulaya kuwa kwa kiwango hichohicho cha kwao basi imeenea kwetu na tunaweza kuibeba 100p kama wao.....
Si lazima tafsiri ya DEMOKRASIA ya nchi za magharibi iweze kutekelezwa na kila nchi duniani....hapana huu ni uongo....
DEMOKRASIA ya magharibi inaendana na maisha yao ,TAMADUNI ,hulka ,mitazamo na vingi tu ambayo binadamu hatuwezi KUFANANA hata kidogo.....
Afrika ina TAMADUNI na maadili yake ambayo MATUSI haswa kwa waliotuzidi umri na walio viongozi wetu HAYARUHUSIWI/HAYAKUBALIKI hata chembe......
Huwezi kumdhalilisha rais namna vile alivyofanya.......
#SiempreJMT[emoji120]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app