Msanii Roma Mkatoliki amevuka mstari mwekundu lakini anachekewa tu!

Msanii Roma Mkatoliki amevuka mstari mwekundu lakini anachekewa tu!

Kasome maana ya "political tolerance" then ufute huu Uzi umeze vidonge vyako,ulale
 
Uhuru wa kujieleza haumaanishi kuvuka mipaka. Uhuru wako usivuke mipaka na kumkwaza mtu mwingine.

Nimesikia wimbo Mpya aliyouachia Msanii Roma Mkatoliki anayeishi ughaibuni akisema, "Roma tunakumisi rudi nyumbani". Sina hakika kama wapo wanaomkosa Roma.


Yote ni tisa. Kumi katika mistari ya Roma ambapo amevuka mstari mwekundu ni pale anaposema, "Mama (Samia) anaongoza yuko Ikulu lakini rimoti iko Msoga (Jakaya Kikwete).

Huku si tu Roma ametweza taasisi ya Rais lakini pia amemdharau na kumdhihaki Rais Samia Suluhu Hassan kwamba hawezi kuongoza hadi ashikiwe akili na Rais mstaafu Jakaya Kikwete jambo ambalo ni uzushi, uongo na upuuzi wa kisanii.

Roma haamini katika uwezo wa kiuongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan jambo ambalo limethibitishwa na jumuiya zote za Kimataifa kuwa anaweza na ameuthibiyishia Ulimwengu kuwa anaweza tena hata kuwapiku watangulizi wake.

Wimbo unatakiwa kupigwa ban kokote na popote, kuanzia mikusanyiko ya watu: baa, maafali, harusi, misinani, vyombo vya usafiri na hata watu binafsi nadhani TCRA wanaweza. Basata isilale huku Rais Samia Suluhu Hassan anadhalilishwa hadharani na msanii Roma.

Nani yuko nyuma ya Roma? Kiburi cha kumdhihaki Rais anapata wapi? Kwanini anachekewa? Kwani hafikiki? This is too much. Roma akamatwe na kuletwa hapa nchini tukutane Kisutu kwa Pilato. Ova.

Zaidi, soma: Nipeni maua yangu - Roma Mkatoliki
Mange aliwavurumisha miaka minne na mlishindwa kumkamata mwisho wa siku aka shake hand na No 2 ambae Leo ndio madam president. Subil Roma ataposhake na Mr arrangement ndipo akili itakukaa sawa
 
Kwani uongo???Hata Magufuri alikuwa anaongoza kwa Remote ya Ali Hassan Mwinyi ili avurunde na kweli alivurunda na hata Mama Samiah atavurunda kweli kweli kama Kikwete ndiyo icon yake.
Usimsingizie mzee wa WATU!

Yaani kwa haiba ya mwinyi YUPO hivo KWELI!!!?

Mi SIDHANI labda alikua anampigia chapuo mwanae kule visiwani!!
 
Uhuru wa kujieleza haumaanishi kuvuka mipaka. Uhuru wako usivuke mipaka na kumkwaza mtu mwingine.

Nimesikia wimbo Mpya aliyouachia Msanii Roma Mkatoliki anayeishi ughaibuni akisema, "Roma tunakumisi rudi nyumbani". Sina hakika kama wapo wanaomkosa Roma.


Yote ni tisa. Kumi katika mistari ya Roma ambapo amevuka mstari mwekundu ni pale anaposema, "Mama (Samia) anaongoza yuko Ikulu lakini rimoti iko Msoga (Jakaya Kikwete).

Huku si tu Roma ametweza taasisi ya Rais lakini pia amemdharau na kumdhihaki Rais Samia Suluhu Hassan kwamba hawezi kuongoza hadi ashikiwe akili na Rais mstaafu Jakaya Kikwete jambo ambalo ni uzushi, uongo na upuuzi wa kisanii.

Roma haamini katika uwezo wa kiuongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan jambo ambalo limethibitishwa na jumuiya zote za Kimataifa kuwa anaweza na ameuthibiyishia Ulimwengu kuwa anaweza tena hata kuwapiku watangulizi wake.

Wimbo unatakiwa kupigwa ban kokote na popote, kuanzia mikusanyiko ya watu: baa, maafali, harusi, misinani, vyombo vya usafiri na hata watu binafsi nadhani TCRA wanaweza. Basata isilale huku Rais Samia Suluhu Hassan anadhalilishwa hadharani na msanii Roma.

Nani yuko nyuma ya Roma? Kiburi cha kumdhihaki Rais anapata wapi? Kwanini anachekewa? Kwani hafikiki? This is too much. Roma akamatwe na kuletwa hapa nchini tukutane Kisutu kwa Pilato. Ova.

Zaidi, soma: Nipeni maua yangu - Roma Mkatoliki
Acha akili na roho ya Mwendakuzimu wa awamu ya 5. Kama akivuka mstari wapo wahusika watachukua hatua na sio wewe mshamba fulani kuchochea kama Cyprian Musiba. Kamwe mama hataki kwenye utawala wake kuwa na watu kama Musiba. Na pia hana huo mpango wa kuzuia haki ya watu kuongea.
 
Hizo ni akili za watu wachadema wakipewa viroba wanakuwa wehu.
 
Hili umesema wewe. Yeye kasema "..remote ipo msoza..." na sio msoga wala hajataja majina.

Ila kama hadi wewe unaona hivyo basi inawezekana wewe uko sahihi msoga ndo kuna remote. Kwa maana nyingine wewe ndo uchukuliwe hatua kwa kusema remote ipo msoga
Kesho aende kisutu Kwa kumudharau madame kupitia kivuli Cha wimbo wa roma
 
Mimi si CCM Wala chadema, hili niliweke wazi...Ila nikiwekewa CCM na andazi ntachagua andazi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Vijana wa Kikwete wote wamerudi uwajani, rushwa ya enzi za kikwete zimerudi uwanjani. ukwapuaji wa enzi za kikwete umerudi kama zamani. Mie sioni sababau ya kumlaumu Roma maana dalili zote zinajiontesha
 
Uhuru wa kujieleza haumaanishi kuvuka mipaka. Uhuru wako usivuke mipaka na kumkwaza mtu mwingine.

Nimesikia wimbo Mpya aliyouachia Msanii Roma Mkatoliki anayeishi ughaibuni akisema, "Roma tunakumisi rudi nyumbani". Sina hakika kama wapo wanaomkosa Roma.


Yote ni tisa. Kumi katika mistari ya Roma ambapo amevuka mstari mwekundu ni pale anaposema, "Mama (Samia) anaongoza yuko Ikulu lakini rimoti iko Msoga (Jakaya Kikwete).

Huku si tu Roma ametweza taasisi ya Rais lakini pia amemdharau na kumdhihaki Rais Samia Suluhu Hassan kwamba hawezi kuongoza hadi ashikiwe akili na Rais mstaafu Jakaya Kikwete jambo ambalo ni uzushi, uongo na upuuzi wa kisanii.

Roma haamini katika uwezo wa kiuongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan jambo ambalo limethibitishwa na jumuiya zote za Kimataifa kuwa anaweza na ameuthibiyishia Ulimwengu kuwa anaweza tena hata kuwapiku watangulizi wake.

Wimbo unatakiwa kupigwa ban kokote na popote, kuanzia mikusanyiko ya watu: baa, maafali, harusi, misinani, vyombo vya usafiri na hata watu binafsi nadhani TCRA wanaweza. Basata isilale huku Rais Samia Suluhu Hassan anadhalilishwa hadharani na msanii Roma.

Nani yuko nyuma ya Roma? Kiburi cha kumdhihaki Rais anapata wapi? Kwanini anachekewa? Kwani hafikiki? This is too much. Roma akamatwe na kuletwa hapa nchini tukutane Kisutu kwa Pilato. Ova.

Zaidi, soma: Nipeni maua yangu - Roma Mkatoliki
Mkuu tatizo unalo na si dogo.
 
Kwakweli CCM na ANDAZI, hapo mimi nachukua andazi, japo ccm nao ni maandazi, basi nimepostpone kuchukua andazi, hata sijui namaanisha nini na mimi.
 
Mleta mada ni mjinga hajui fasihi, vijana wa CCM shule wameenda wapi akina Lucas Mashabwa cjui ni weupe kichwani, ndio hata CAG akileta report yake wengi wanaukwepa
 
Mimi sio shabiki wa Roma.

Ingawa Nina mashaka makubwa sana na uwezo wa Rais wetu kutuongoza , hana uwezo huo. Sio presidential material.

Kuhusiana na influence ya kikwete kwake hilo halikwepeki ; kiuhalisia kikwete ndio Rais pekee mwenye uwezo wa kumshauri aliyebakia.

Mwinyi yupo ila umri haumruhusu kutegemewa katika ushauri.

Ushahidi wa influence ya kikwete katika maamuzi ya Samia unaonekana wazi kabisa hata Haina haja ya kuhangaika kuutafuta.

Angalia tu teuzi zake zote zinatokana na watu waliotumika katika awamu ya nne au watu wa karibu na kikwete.

Hivyo Wala hata hakuna jipya alilolizungumza huyo muimbaji ni mambo ambayo tunayaona kila siku hapa nchini.
 
Back
Top Bottom