Msanii Ruby amlipua Majizzo: Rushwa ya Ngono na mambo faragha

Msanii Ruby amlipua Majizzo: Rushwa ya Ngono na mambo faragha

Msanii Ruby ambae siku ya Leo ameenda live Instagram ameonesha kuchukizwa na kutoa ya moyoni dhidi ya Boss wa EFM na ETV anayefahamika kama Fransic Siza a.k.a Majizzo au Majay.

Msanii huyo wa kizazi kipya ametoa kauli ya kutakwa kimapenzi na Boss huyo ambae kwa sasa ameoa mke "Elizabeth Michael".

Kitu ambacho kimeshangaza wengi kwa namna ambayo majizo amekuwa akionekana mbele za umma, kumbe nyuma ya pazia amekuwa akiwaomba rushwa ya ngono ili awapatie support.

Dakika 17 za Mapovu yote ya Rubby
View attachment 2750841
Sasa unafosi msaada ndugu,,, mtu kama hataki hataki tu na K yako ishi nayo tu. 😀 Huyu demu ana wendawazimu
 
Alikuwa anamchukulia poa,eti nitoke na dj wa kazi gani?saa hivi Majizzo Kawa MD anampigiapigia simu he heeeee heeeeee Dunia hii
Waswahili wanasema kurukaruka kwa maharagwe ndio kuiva kwake... Alimnyima Boss mzigo, Lulu akatoa mzigo... Aliyetoa mzigo ndio kaolewa 😂 inauma sana kuona mtu uliyemzimgua kafanikiwa
 
Waswahili wanasema kurukaruka kwa maharagwe ndio kuiva kwake... Alimnyima Boss mzigo, Lulu akatoa mzigo... Aliyetoa mzigo ndio kaolewa 😂 inauma sana kuona mtu uliyemzimgua kafanikiwa
Na itakuwaalimnyima kabla hajawa boss Sasa Kawa boss kamfungia vioo anaanza kujutaa.
 
kabisa msaada sio lazima atulizane huko anajikuuta ana k ya gold akauze basi
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Mbunye classic zipo kibwena. I wonder mtu kama Majizzo anapataje shida kiasi kwamba aikomalie mbususu mbovu kama ya Rubi ikiwa binafsi tu siwezi kula K mbovu japo similiki redio wala TV kama Majizo..
 
Back
Top Bottom