Msanii Ruby amlipua Majizzo: Rushwa ya Ngono na mambo faragha

Msanii Ruby amlipua Majizzo: Rushwa ya Ngono na mambo faragha

Aaaah cute hebu tuache unafiki tuwe real,ukiwekewa hapo Kusah na Majay utamchangia nani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]tuwe tu wakweli jamani, ukweli utatuweka huru

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka khaaaaaaa
Da Joannah mkorofi wewe!!
Me nitamchagua boss Majay kwa kweli no mara waa. Pesa kwanza mengine yafate
 
Nimeona video yake, kaongea mengi pumba, sasa si aache kumuomba majizo msaada? Kila siku unaombwa rushwa ya ngono wewe upo tu huachani nae ukajaribu pengine.

Nilichoshangaa zaidi ni hilo wigi alovaa kasema la gharama kubwa, halijampendeza kafanana na dogi dogi
Msaada ni kama ushauri tu mtu ana hiari ya kukupa au kuuchukua ila huwezi kuwa na control na huyo mtu.
 
Ruby ni dada m1 mwenye msimamo,hata ruge alimpoteza kwenye industry ya muziki kwa sababu kama hizi kumkomoa ruby akampandisha nandy,ruby alishawahi kuongelea hii kitu
Hajifunzi tu kuwa kuliwa na hensam boy na kuliwa na mtu mwenye connection kuna tofauti kubwa sana. 🤣 Aendelee kukaza hivyo hivyo
 
Mi niwe na demu pisi kali kama luku, ya nini kuhangaika na milupo ya nje isiyo na kiwango kama mke wangu? Majizo naye ajue kuwa ruby ni demu wa mtu, atajisikiaje demu wake lulu kuna njemba inamfukuzia? Atulie na mke wake asitake vurugu za kimapenzi
🤣🤣 🤣 🤣 🤣 Mke wa mtu sumu
 
Msanii Ruby ambae siku ya Leo ameenda live Instagram ameonesha kuchukizwa na kutoa ya moyoni dhidi ya Boss wa EFM na ETV anayefahamika kama Fransic Siza a.k.a Majizzo au Majay.

Msanii huyo wa kizazi kipya ametoa kauli ya kutakwa kimapenzi na Boss huyo ambae kwa sasa ameoa mke "Elizabeth Michael".

Kitu ambacho kimeshangaza wengi kwa namna ambayo majizo amekuwa akionekana mbele za umma, kumbe nyuma ya pazia amekuwa akiwaomba rushwa ya ngono ili awapatie support.

Dakika 17 za Mapovu yote ya Rubby
[URL unfurl="true" ,,,,,,,,,,,,="youtube:gXtYhsGOQcM"]
View: https://youtu.be/gXtYhsGOQcM[/URL]
🤣 Hahahah wazi kabisa


Mwanamke anayekaa nyuma ya camera na kuongea hayo kwa hisia nampongeza, ana ukweli ndani yake na hicho kitendo kimemuumiza.
 
Kuna wanaume hawaridhiki na vitu vizuri walivyo navyo. Majizo ana mtoto mkali lulu, anahangaika na ruby wa nini? Ruby mwenyewe si yule wa wimbo wake wa mwanzo 'na yule' alikuwa pisi kali hasa enzi hizo
Lulu mzuri ushamdinya?? Je kama ni fuko la rambo
 
Dada la dada, uzuri wako hupindishagi mambo!ila hapo kwenye dogidogi🤣🤣🤣🤣upo sawa kabisa
Pale juu ya kichwa nywele zipo chache ni kama hakuna nywele halafu hizo zilizoanguka ni kama masikio ya mbwa.
Screenshot_20230916-125745_Chrome.jpg
 
Anajitia ana msimamo halafu analilia,,,,baada achangamkie fursa apewe connection analeta ujinga wa walamba lips😁😁😁
Wanawake wengi wanaojiita ma super women njia yao iliowatoa ni hio hio. Wana mabiashara makubwa mitaa mbali mbali ya jijini ila wakulungwa tunaelewa Mbunye is the backbone of ze Development!
 
Anajitia ana msimamo halafu analilia,,,,baada achangamkie fursa apewe connection analeta ujinga wa walamba lips😁😁😁
uzuri mange kashamwambia ukweli kwamba sauti anayo ila hana hit song angalia kina zuchu wanavyotrend huko tiktok na vinyimbo vya ajabu haniiii haniiiii...zuchu kakubali kutoa mzigo Ruby hamkuti hata kwa viewers
 
Back
Top Bottom