Missy Gf
JF-Expert Member
- Oct 30, 2022
- 5,441
- 15,201
shikamoo dada π π π π π π nmechekaaPale juu ya kichwa nywele zipo chache ni kama hakuna nywele halafu hizo zilizoanguka ni kama masikio ya mbwa.
View attachment 2750971
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shikamoo dada π π π π π π nmechekaaPale juu ya kichwa nywele zipo chache ni kama hakuna nywele halafu hizo zilizoanguka ni kama masikio ya mbwa.
View attachment 2750971
πππHuo ndio ukweli,,,na mimi kama weweπ€£π€£π€£
maboss hawana baya japokuwa wana sura personal tunakomaa nao hivyohivyoπππ
Maboss waheshimiwe na vibunda vyao
Nachokiona Kusah alikimbizwa na njaa zake, sex hailipi bills π Ruby mipango alikuwa hana. Siku ukielewa gari nzima ndio huvuta mbovu utamuelewa Kusah. Gari 2 mbovu haziwezi kuvutana.Kasema Pussy yake inaimba ndio maana wanaume wanaitaka Cha kushangaza Kusah kamuacha..wonders!
hapo kwenye kupeana hawezi sema maana anajua watz tutaruka naye kwamba boss hakuelewa show [emoji38] [emoji38]
maboss hawana baya japokuwa wana sura personal tunakomaa nao hivyohivyo
Bado Hamjasema,,Msanii Ruby ambae siku ya Leo ameenda live Instagram ameonesha kuchukizwa na kutoa ya moyoni dhidi ya Boss wa EFM na ETV anayefahamika kama Fransic Siza a.k.a Majizzo au Majay.
Msanii huyo wa kizazi kipya ametoa kauli ya kutakwa kimapenzi na Boss huyo ambae kwa sasa ameoa mke "Elizabeth Michael".
Kitu ambacho kimeshangaza wengi kwa namna ambayo majizo amekuwa akionekana mbele za umma, kumbe nyuma ya pazia amekuwa akiwaomba rushwa ya ngono ili awapatie support.
Dakika 17 za Mapovu yote ya Rubby
View attachment 2750841
Upo Sahi kabisa.....Hela huna, connection huna,mchongo huna nani anakutakaπ€£π€£π€£π€£Kusah akaona Bora akimbilie Kwa ShangaziNachokiona Kusah alikimbizwa na njaa zake, sex hailipi bills π Ruby mipango alikuwa hana. Siku ukielewa gari nzima ndio huvuta mbovu utamuelewa Kusah. Gari 2 mbovu haziwezi kuvutana.
Shangazi kule sio haba, mipango ipo Alphard ya kutembelea weekend ipo mambo ni LG ni kuongeza bidii tu ya GYM na kupaka mkongo mambo wapendayo vijana wa mjiniUpo Sahi kabisa.....Hela huna, connection huna,mchongo huna nani anakutakaπ€£π€£π€£π€£Kusah akaona Bora akimbilie Kwa Shangazi
Kana gundu πHaka karuby ndio maana hakatoboi
Hakana nidhamu
Yaani kan gundu moja kali sana π€£Kana gundu π
Ha haaa ustaa kazi kweli kweli, watu wanakuchambuaaaashikamoo dada π π π π π π nmechekaa
Kweli wakiongozwa na dada Yao MangeIla yote ya yote wanawake wembamba wana gubu sana hahahaha
M Zanzibar kajitafuta,kajipata!uzuri mange kashamwambia ukweli kwamba sauti anayo ila hana hit song angalia kina zuchu wanavyotrend huko tiktok na vinyimbo vya ajabu haniiii haniiiii...zuchu kakubali kutoa mzigo Ruby hamkuti hata kwa viewers
Jela haina maigizo π kule ni real life kmmmkLulu amekaa jela.
Mwanamke yeyoye aliyewai kukaa jela kwa bahati mbaya anakuwa matured sana.
Jela ni bonge la shule kuhusu maisha
Mkuu kwani ukiwa na pisi kali ndo asigonge mademu wengineMbona majizo ana demu pisi kali Lulu, inakuaje tena atake mzigo kwa Ruby, au ndiyo ile kuwa na hela ndiyo utake kupitia kila pisi kali inayokatiza mbele zako?