Msanii Ruby amlipua Majizzo: Rushwa ya Ngono na mambo faragha

Msanii Ruby amlipua Majizzo: Rushwa ya Ngono na mambo faragha

Ukimsikiliza Ruby clip yake anaongelea tangu enzi za Nyuki Djs,hapo lulu bado anarukaruka na Kanumba,,huyu Ruby asitafute mchawi,mchawi ni mdomo wake....Pale Kwa Nandy ilikuwa nafasi yake ila mdomooooo sijui hajapita mkoleni yule mtoto
Masupasta wa bongo akili zao wanazijua wenyewe,saa hizi wanamvizia bwana wa Hamissa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Majuto ni mjukuu... Uenda Ruby alishindwa kumshikilia majizo kwa sababu labda kwa kipindi hicho hakuona future yoyote kwa majizoo... Wakawake mnatabia moja, mtu akiwa hana future kwa wakati huo mnamuonaga fala tu, mambo yakitiki mnaanza kumpaparukia, unakuta Lulu yeye aliamua kuwa mvumilivu.

Alafu ukicheki hili povu la Lulu limetoka kipindi Majizzo ametoka kuzindua Studio mpya... Ina maana Ruby kuna ka Wivu kameanza kuingia, kuona dhahabu inang'aa baada ya yeye kuchengana nayo [emoji23]
 
Angeanza kwanza kusema (kuwataja) wale aliowakubalia na kuwavulia chupppppi

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kukutana msururu ni mrefu... Wanawake wanatongozwa sana toka enzi za Primary, Secondary, Mtaani, kama kafika chuo na kadhalika... Ukisema ataje utakuta msururu ni mrefu sana, maana kuna wengine wanapewagwa mzigo kama kutunikiwa tu na hawapo kwenye mahusiano
 
Ye atoe ngoma Kali tutaview kwenye platform mbalimbali atapata mkwanja
Ngoma Kali iendane na Promotion pia... Belle 9 katoa Ngoma kali lakini haitembei mjini...

Tukizungumzia Promotion tunamaanisha ipigwe kwenye Club, TV, Radio, Bar, Kwenye Daladala, na kadharika... Sasa ukikosa hii promotion nyimbo hazitembei hata ufanye nini... Ndio maana Diamond yeye aliamua kucheza na hizi fursa baada ya Clouds FM & TV, EATV na media nyingine kuacha kupiga nyimbo zake
 
sasa mwanaume unadeka nini....mwanaume unalambaje midomo....aisee sijui wanawake tunatofautiana machaguoo
wengine tunapenda vijeba mashababi wengine wanakumbatia vikaka vinajichubua
Kupendacho roho ula nyama mbichi... Kila mtu uwa na type zake za wanaume, kuna mwingine anapenda Vijeba, mwingine wembamba, mwingine warefu, mwingine wafupi, mwingine weupe, mwingine weusi, mwingine mabaunsa, mwingine wenye vitambi, mwingine wenye six packs, mwingine wazee, mwingine vijana.

Itategemea na wewe karata yako inaangukia wapi, karata za kina Aunt Ezekiel ndio zinapenda walamba lips
 
Msanii Ruby ambae siku ya Leo ameenda live Instagram ameonesha kuchukizwa na kutoa ya moyoni dhidi ya Boss wa EFM na ETV anayefahamika kama Fransic Siza a.k.a Majizzo au Majay.

Msanii huyo wa kizazi kipya ametoa kauli ya kutakwa kimapenzi na Boss huyo ambae kwa sasa ameoa mke "Elizabeth Michael".

Kitu ambacho kimeshangaza wengi kwa namna ambayo majizo amekuwa akionekana mbele za umma, kumbe nyuma ya pazia amekuwa akiwaomba rushwa ya ngono ili awapatie support.

Dakika 17 za Mapovu yote ya Rubby
View attachment 2750841
I LOOOVE Ruby.

Basata wapp bize na nyimbo za wanaojitambua lakini udhalilishaji wa wasanii wa kike hawana ishu nayo
 
Ngoma Kali iendane na Promotion pia... Belle 9 katoa Ngoma kali lakini haitembei mjini...

Tukizungumzia Promotion tunamaanisha ipigwe kwenye Club, TV, Radio, Bar, Kwenye Daladala, na kadharika... Sasa ukikosa hii promotion nyimbo hazitembei hata ufanye nini... Ndio maana Diamond yeye aliamua kucheza na hizi fursa baada ya Clouds FM & TV, EATV na media nyingine kuacha kupiga nyimbo zake
Hiyo ni Kweli,ndio maana kila ukipita unasikia Honeeeeeeeey🤣🤣🤣🤣🤣Ila belle9,aogee chumvi,anajua sana ila Hana nyota...
 
Kupendacho roho ula nyama mbichi... Kila mtu uwa na type zake za wanaume, kuna mwingine anapenda Vijeba, mwingine wembamba, mwingine warefu, mwingine wafupi, mwingine weupe, mwingine weusi, mwingine mabaunsa, mwingine wenye vitambi, mwingine wenye six packs, mwingine wazee, mwingine vijana.

Itategemea na wewe karata yako inaangukia wapi, karata za kina Aunt Ezekiel ndio zinapenda walamba

Kupendacho roho ula nyama mbichi... Kila mtu uwa na type zake za wanaume, kuna mwingine anapenda Vijeba, mwingine wembamba, mwingine warefu, mwingine wafupi, mwingine weupe, mwingine weusi, mwingine mabaunsa, mwingine wenye vitambi, mwingine wenye six packs, mwingine wazee, mwingine vijana.

Itategemea na wewe karata yako inaangukia wapi, karata za kina Aunt Ezekiel ndio zinapenda walamba lips
hula nyama mbichi✅
huwa na type zake ✅
 
Unaweza kukutana msururu ni mrefu... Wanawake wanatongozwa sana toka enzi za Primary, Secondary, Mtaani, kama kafika chuo na kadhalika... Ukisema ataje utakuta msururu ni mrefu sana, maana kuna wengine wanapewagwa mzigo kama kutunikiwa tu na hawapo kwenye mahusiano
Halafu Kwa mshkaji anajifanya mlokole😁😁
Atoe makasiriko yake huko
 
I

LOOOVE Ruby.

Basata wapp bize na nyimbo za wanaojitambua lakini udhalilishaji wa wasanii wa kike hawana ishu nayo
Hata TAKUKURU tu, kwa sababu rushwa ni rushwa... Ila naona TAKUKURU wao wamejikita kwenye Rushwa Serikalini tu, na rushwa zenyewe mpaka ziwe za kuchomeshana... Huku kwenye sanaa uwezi kusikia hizi mambo
 
Ila kuna jambo halipo sawa kwa huyu Ruby.

Nahisi huwa ana namna ya kuaminisha wanaume wanaomzunguka kuwa anataka kupigwa dudu halafu akiombwa papuchi anabadilika.

Haingii akilini kila siku ni yeye tu anaeombwa uchi huku akidai hataki kuutoa.

Huyu demu ana mdomo mno mpaka kauthiri kipaji chake. Kila anaekuwa karibu nae kumsaidia huishia kumsemea mbovu.
Umechunguza kujua hayo?
Kikubwa haya aliyoyaongea yafanyiwekazi.
Wasanii wa kike wanapitia magumu mno kwa sababu mbili
1. Rushwa ya ngono
2. Jamii yenye mawazo na fikra kama zako
 
Akiwa wa kawaida ndo asiombwe utelezi? vichaa wenyewe wanaombwa utelezi.

Halafu kila mtu anatype zake anazopenda mimi haka nakaomba vizuri tuu nakakubali, pia jide na lina yule wa zamani.

Ruby anahoja asikilizwe kama ni kweli majizo akemewe rushwa hasa ya ngono inadidimiza taifa.
Mtoto Ruby analalamika kaombwa mazigo ila hapo hapo anataka support jamani 🤣🤣🤣
 
Majuto ni mjukuu... Uenda Ruby alishindwa kumshikilia majizo kwa sababu labda kwa kipindi hicho hakuona future yoyote kwa majizoo... Wakawake mnatabia moja, mtu akiwa hana future kwa wakati huo mnamuonaga fala tu, mambo yakitiki mnaanza kumpaparukia, unakuta Lulu yeye aliamua kuwa mvumilivu.

Alafu ukicheki hili povu la Lulu limetoka kipindi Majizzo ametoka kuzindua Studio mpya... Ina maana Ruby kuna ka Wivu kameanza kuingia, kuona dhahabu inang'aa baada ya yeye kuchengana nayo [emoji23]
Alikuwa anamchukulia poa,eti nitoke na dj wa kazi gani?saa hivi Majizzo Kawa MD anampigiapigia simu he heeeee heeeeee Dunia hii
 
Hiyo ni Kweli,ndio maana kila ukipita unasikia Honeeeeeeeey🤣🤣🤣🤣🤣Ila belle9,aogee chumvi,anajua sana ila Hana nyota...
Yeah absolutely... Uwezi kusikia wasanii wengine wasiofanya Kiki au kuwa Chawa wa TV na Radio fulani wanafanya vizuri... Hapa mjini hili utembee kimziki unatakiwa uwe Chawa wa Radio au TV fulani, au kama ni Mwanamke basi wakuvue sana ndio nyimbo zako zitembee... Sasa hivi Zuchu ndio anachezewa, akiisha kimziki anapigwa chini... Sallam SK mwenyewe aliwahi kuhojiwa na Radio moja nimesahau jina akasema Msanii kama Zuchu kujitoa kwenye Lebo ni gharama sana, hivyo inabidi hatumike sana kwa Diamond ili ku-compansate gharama za kujitoa
 
Back
Top Bottom