gambakhuffu
JF-Expert Member
- Jul 2, 2010
- 488
- 504
vya kawaida ndo vitamu sasa😀Mbona ni demu wa kawaida sana.
Binafsi namchukulia powah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vya kawaida ndo vitamu sasa😀Mbona ni demu wa kawaida sana.
Binafsi namchukulia powah
Sasa uenda wanajuana wenyewe... It is either walikuwa marafiki sasa baada ya Majizzo kunyimwa Mzigo akaamua kumkazia Ruby... Sisi wanaume tuna hiyo Tabia, ukitunyima mzigo muda mwingine tunaamua kukufungia vyioo na hatukupi msaada... Sasa Majizzo kwa sababu ana TV na Radio akaona asimpe support mdada wa watu na asipokee simu kwa sababu kabana kitumbua. Majizzo naye kaamua kumkomoa, majizzo kumbuka kazaa na Mobetto ujue, hii inamaanisha hawa wadogo wadogo kawala sanaWe umeamini?mbona ukisikiliza demu analalamika Majay hapokei simu zake?ana uwezo wa kumnyima majizo huyu?
Ruby anacholilia hapo ni kuwa kafanyishwa sana shoo za laki tano tano na kajitoa sana kwa Majizzo lakini Majizzo yeye anachompa kama return ni kumuomba mzigo, na alivyokaziwa mzigo akaamua kumfungia vioo na hamsapoti kazi zake, tukizungumzia sapoti tunamaanisha kazi zake kupigwa kwenye Radio na TVHuyu Ruby angejituliza tu,Sasa anasema kamnyima papuchi Boss,wakati Huo Huo analalamika Boss hapokei simu yake,yaani hapo ni kama ana stress za kutopewa attention
Kusah mwenyewe bado anajitafutia, hata pale kwa Aunt Ezekiel ni swala la muda tu, hakuna mahusiano pale... Kusah ni Serengeti boy, anawatumia hawa wadada kama njia ya kukaa sokoni.Kasema Pussy yake inaimba ndio maana wanaume wanaitaka Cha kushangaza Kusah kamuacha..wonders!
Uko sahihi kabisaaa ..na wenyewe vile wanapenda wakaka wazuri ndio hivyo tenaKusah mwenyewe bado anajitafutia, hata pale kwa Aunt Ezekiel ni swala la muda tu, hakuna mahusiano pale... Kusah ni Serengeti boy, anawatumia hawa wadada kama njia ya kukaa sokoni.
Very True kabisa... Ndio maana wanawake wachache sana wanaoweza kudumu kwenye Muziki.... Zuchu mwenyewe kila siku kutoa mchezo kwa Diamond.Kwa kweli wanawake wanapata tabu sanaaa kwenye rushwa za ngono, si maofisini wala uongozini na wale wanaojua kula na kipofu kwa hesabu nzuri, ndio huwa wanafika mbali kirahisi
Kama rose muhando tu hakuogopwa licha ya jina na uinjilishaji wake, itakuwa Ruby
Sisemi tuhuma za Ruby ni kweli Ila hatuwezi kujitia upofu kwa khona hii rushwa za ngono ni kitu kipya kwa wanawake
Sasa si Bora angempa Majizzo amnyime Kusah😁😁😁😁😁Ruby anacholilia hapo ni kuwa kafanyishwa sana shoo za laki tano tano na kajitoa sana kwa Majizzo lakini Majizzo yeye anachompa kama return ni kumuomba mzigo, na alivyokaziwa mzigo akaamua kumfungia vioo na hamsapoti kazi zake, tukizungumzia sapoti tunamaanisha kazi zake kupigwa kwenye Radio na TV
Sasa ukishasema Ni msaada, tayari umemaanisha mtu huyo ni mnyonge na kama ni mnyonge ni rahisi kumuomba Rushwa, tena kama ni mwanamke mzuri lazima aombwe ngonoHalafu hili kama kweli vile, support ni kama msaada unless mmekubaliana kibiashara 😁😁😁
Kweli ukiangalia waliotoboa wengi walipita mikono ya mafisiVanessa Mdee alishawahi kulalamika kuwa wasanii wa kike ni ngumu mno kutoboa kutokana na vikwazo wanavyokutana navyo kwenye tasnia ya muziki. Imagine mtu kama Lina Sanga kuna yule binti anaitwa Pipi alikuwa na sauti nzuri sans lakini aliacha kuimba. Hata Angela wa Harmonize figisu ni nyingi kwa mabinti. Vanessa hataki tena kusikia habari ya muziki wa bongo na alikuwa na talent kubwa.
Hapana sijawahi namuona alivyo na K iliyobana!Ushamla nini, mbona kama vile una experience 😂
Wamejiongeza wenzie,sio Ruby anabaki kulea vi marioo ,in the name of love,mara Kusah mara nani nani sijui vi brazameni,vinaishia kumpa cheo Cha usingle maza tu.....Si bora angejioongeza Kwa Majay😁😁😁Kweli ukiangalia waliotoboa wengi walipita mikono ya mafisi
Ndo maana Zuchu na kujua kuimba kote anatoka na Simba
Nandy amefika pale Kwa sababu ya Ruge
Hivi vyembamba havichoshi, kwanza easy to carry, auchoki haraka, hawa mabonge upaja tu kilo 50, kuinyanyua tu umeshachoka, bao moja tu hoi... Lakini hivi vyembamba bao nyingi tu... Ndio maana michepuko mingi utakuta ni vyembambaunajipa moyo mkuu.....mfupa tangu lini ukawa mtamu bila kungata nyama kidogo
sawa mkuu enjoySijipi moyo, naongelea ninacho experience, pia nahisi haujasoma ukailewa comment yangu.
sijaongelea mabonge ila huyu kazidi wembamba bwana vinyamanyama kidogoHivi vyembamba havichoshi, kwanza easy to carry, auchoki haraka, hawa mabonge upaja tu kilo 50, kuinyanyua tu umeshachoka, bao moja tu hoi... Lakini hivi vyembamba bao nyingi tu... Ndio maana michepuko mingi utakuta ni vyembamba