Msanii Ruby amlipua Majizzo: Rushwa ya Ngono na mambo faragha

Msanii Ruby amlipua Majizzo: Rushwa ya Ngono na mambo faragha

Yeah very true kabisa... Shida nimeona kwenye replies wafu wengi wanampenda, ila huo ndio uhalisia.... Hawa Mabosi wenye TV na Mabosi wengi hadi serikalini wanapenda sana chini
Kwa kweli wanawake wanapata tabu sanaaa kwenye rushwa za ngono, si maofisini wala uongozini na wale wanaojua kula na kipofu kwa hesabu nzuri, ndio huwa wanafika mbali kirahisi

Kama rose muhando tu hakuogopwa licha ya jina na uinjilishaji wake, itakuwa Ruby

Sisemi tuhuma za Ruby ni kweli Ila hatuwezi kujitia upofu kwa kuona hii rushwa za ngono ni kitu kipya kwa wanawake
 
Anachokiongelea ruby kimeshazungumzwa na wasanii wengi japo wao huwa hawapo bold kutaja majina ya waliowataka. Ndio maana hata Lady jay dee alishakiri kuwa Ruby ni wakuombewa maana vita yake ni kali

Ila upande mwingine nae ajitafakari, si ajabu hata kampuni zinaogopa kumpa endorsements kwa sababu wanaogopa kama kitu kikienda wrong kiubinadamu, anaweza kuwaripua na kuharibu brands zao. Angejifunza si kila vita ni ya kupigana
Andika kifupi:Aache mdomo mrefu......mtu gani alimchamba Hadi bibi wa mjukuu wake,!alikuwa na sababu gani za kumchamba mama yake Kusah?huyu anachambachamba watu hovyo hiyo itamcost........
 
Ni kama anatapatapa tu...
Mke wa Majizo kwa akili zake akijitokeza kuliongelea hilo nina uhakika atasema "Pole sana shosti wangu, tena umekua mstaarabu sana, maana mimi naona bado haujaongea yote. Tukutane nikupe umbea mwingine zaidi, ila tu cha ajabu ni kuwa hatutaachana, sasa sijui ameniroga au ni mimi nimemroga."
😀
 
Huyu Ruby angejituliza tu,Sasa anasema kamnyima papuchi Boss,wakati Huo Huo analalamika Boss hapokei simu yake,yaani hapo ni kama ana stress za kutopewa attention
Mke wa Majizo kwa akili zake akijitokeza kuliongelea hilo nina uhakika atasema "Pole sana shosti wangu, tena umekua mstaarabu sana, maana mimi naona bado haujaongea yote. Tukutane nikupe umbea mwingine zaidi, ila tu cha ajabu ni kuwa hatutaachana, sasa sijui ameniroga au ni mimi nimemroga."
😀

Lulu amekaa jela.

Mwanamke yeyoye aliyewai kukaa jela kwa bahati mbaya anakuwa matured sana.

Jela ni bonge la shule kuhusu maisha
 
Kwa kweli wanawake wanapata tabu sanaaa kwenye rushwa za ngono, si maofisini wala uongozini na wale wanaojua kula na kipofu kwa hesabu nzuri, ndio huwa wanafika mbali kirahisi

Kama rose muhando tu hakuogopwa licha ya jina na uinjilishaji wake, itakuwa Ruby

Sisemi tuhuma za Ruby ni kweli Ila hatuwezi kujitia upofu kwa khona hii rushwa za ngono ni kitu kipya kwa wanawake
Sasa mbona anaforce asaidiwe?kama alishamkataa hakuwa na sababu ya kuongea hivyo kwenye mtandao,huko ni kuharibia mwenzie brandy yake aliyotumia muda na Nguvu kuitengeneza,na pia kutaka kuleta migogoro kwenye ndoa za watu,,stupid girl atakaa hivyo hivyo kila mtu ataogopa kumsaidia
 
Kwa kweli wanawake wanapata tabu sanaaa kwenye rushwa za ngono, si maofisini wala uongozini na wale wanaojua kula na kipofu kwa hesabu nzuri, ndio huwa wanafika mbali kirahisi

Kama rose muhando tu hakuogopwa licha ya jina na uinjilishaji wake, itakuwa Ruby

Sisemi tuhuma za Ruby ni kweli Ila hatuwezi kujitia upofu kwa khona hii rushwa za ngono ni kitu kipya kwa wanawake
Ume balance vizuri
 
Mke wa Majizo kwa akili zake akijitokeza kuliongelea hilo nina uhakika atasema "Pole sana shosti wangu, tena umekua mstaarabu sana, maana mimi naona bado haujaongea yote. Tukutane nikupe umbea mwingine zaidi, ila tu cha ajabu ni kuwa hatutaachana, sasa sijui ameniroga au ni mimi nimemroga."
😀
Yaani kale katoto kana akili sana mixer ya kihaya na kichaga....Ruby safari hii game yake hajajua anayecheza nae,alizoe kumchamba na kumuonea Aunty Ezekiel mwenye akili zake kisoda😁😁😁
 
Ila kuna jambo halipo sawa kwa huyu Ruby.

Nahisi huwa ana namna ya kuaminisha wanaume wanaomzunguka kuwa anataka kupigwa dudu halafu akiombwa papuchi anabadilika.

Haingii akilini kila siku ni yeye tu anaeombwa uchi huku akidai hataki kuutoa.

Huyu demu ana mdomo mno mpaka kauthiri kipaji chake. Kila anaekuwa karibu nae kumsaidia huishia kumsemea mbovu.
labda kwa vile hayajamkuta dada yako au mtu wako wa karibu ndo utaamua kuwa negative kiasi hicho
 
Legends tukiliangalia hili tukio, tunachokiona wala si shambulio kwa Majizo, huyo anafanya kuzunguka tu. Hili shambulio amelilenga kwa kwa yule mke wa Majizo, huyo ndiyo ana bifu naye.
Inakuwaje watu mnashindwa kuona vitu obvious kama hivi? Mnakuwa kama hamjawahi kucheza draft bwana?
😂 mzee wa draft, naona unasogeza kete mdogo mdogo
 
Are you kidding me? Unaleta janja ya ''nyani kula mahindi mbichi''? Kwenye mambo ya tuhuma na uhalifu, binadamu tungekuwa tukisema ''ndiyo'' kweli inaanisha ndiyo, na tukisema ''hapana'' pia inamaanisha hapana, dunia isingekuwa kama ilivyo sasa.
Wewe ukiitwa Mwizi, husipokanusha tutajua ni Mwizi kweli... Sasa hapo shida hiko wapi Ofisaa
 
Back
Top Bottom