Msanii Ruby amlipua Majizzo: Rushwa ya Ngono na mambo faragha

Msanii Ruby amlipua Majizzo: Rushwa ya Ngono na mambo faragha

Mwanamke wa mithali ss ni tofauti,ye hajisexishi[emoji28][emoji28]

Sie hatuna makuu Kila kitu tunasema , ndiyo baba.....
Mambo mengine inside hatuonneshi hadharani,au humsikilizi,Rose shaboka wewe[emoji1787][emoji125][emoji125][emoji125]

Sio kweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Rose anazingua sometimes na mahubiri yake.
Wewe hata ukiwa wa wimbo ulio bora, kikubwa hilo fungu la kumi lipatikane na mgawo nipate
 
Khaaaa kweli chawa uko vzr
Upewe maua yako[emoji323][emoji322][emoji126][emoji1787]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nina shida na pesa mama.
Hata bwana wa kujitolea kunipeleka hata Mikumi nikaone tumbili simuoni.
Kesho niwahi church uenda nikafunguliwa na me.
 
Serikali inatumia nguvu nyingi sana na pesa nyingi kuwalipa hawa watu Maarufu ya kututoa kwenye reli kudiskasi haswa Kwenye mambo ya msingi ya hii nchi!!!
True, media ni "Roman Circus" inatuzubaisha tuu.
Wakifanya mambo ya kijinga wana mwambia diamond atoe nyimbo ili kupunguza awareness ya watu.
 
Ruby ana mvuto flani hivi ni ngumu kidgo kuelezea, Kuna clip moja niliona anacheza singeli aisee binti kembamba lakin kalikuwa kanazungusha tutako vyake balaa, pale pale nikaanza kumvutia picha na kujisemea kimoyomoxo yaan haka unakaweka hivi Kisha unakabeba unapiga hivi!!! 😂😂😂
 
Hii ni tuhuma nzito sana. Aitolee ushahidi tumuelewe. Tofauti na hapo Majizo amfungulie mashitaka ya kuchafuliwa jina lake na kuzalilishwa.
20230805_113615.jpg
 
Back
Top Bottom