Msanii Shilole ampiga makofi Nuhu Mziwanda ambaye ni mchumba wake

Msanii Shilole ampiga makofi Nuhu Mziwanda ambaye ni mchumba wake

attachment.php
 
Ingekuwa nuu ndo kampiga sholole, watu ungewaskia ooh uonevu kwa wanawake , kapigwa yeye eti ooh ----- zoba! Mmh ila ingekua mimi ningemchapa kwelii
 
Ingekuwa nuu ndo kampiga sholole, watu ungewaskia ooh uonevu kwa wanawake , kapigwa yeye eti ooh ----- zoba! Mmh ila ingekua mimi ningemchapa kwelii

ukipigwa na mwanamke kamwe usijaribu kumrudishia hasa ukiwa nchi za ulaya na marekani maana utaishia jela,ndio maana jayz wakati anapigwa na dada yake beyonce kwenye lift kamwe hakujaribu kumrudishia maana alijua angerudishia tu mambo yake yote yangearibika.

nashangaa uko tanzania wanawake wanapigwa na wanaume hawafanywi kitu,nchi zilizo starabika ukimpiga mwanamke unafukuzwa na kazi,na mwisho wake ni unaenda kujibu kesi mahakamani lakin mwanamke akipiga ni sawa tu
 
Anatia huruma, hadi kufikia hatua ya kupigwa makofi hadharani, hizo ni dharau tosha.
 
Siku akikuta shilole kapakatwa na pedeshee, sijui atawaambiaje mashabiki wake
 
manachu kite kapsa naikapo kunu naimba ngikapa tupu nuichi next nemkapa matulû ngiichii neambakiki

we kaka ake Preta kumbe kilugha tu ndo unajua kuandika vizuri eeeh!!!
 
Last edited by a moderator:
Huyu jamaa anaweza kupigwa dildo na shilole na akasema ni mapenzi tu
 
af anajifariji kwa kujiita mwanaume rijali pambafff mwanamke kamzidi umri kamzidi kipato ataacha kumchapa vibao...mziwanda analingana na last born wa shilole ha ha ha kazi ipo
Niniilastboroff. Shilole kapishana nama make mziwanda usikummoja?..unamchunguliamamako hivhiv apawomi
 
Huyu Pdidy ni zaidi ya balaa! Thanks
 
Last edited by a moderator:
Huyu Pdidy ni zaidi ya balaa! Thanks
Slim manenomakali balaa=mkosi amaupendi kuniona jf tena mkosi unamengi nawezanikapona amakujakusujudu RIP anywanakataaakwajinala Yesu mkosi.balaa notmaportionsema amen
 
Back
Top Bottom