Msanii tajiri jiingize kwenye siasa pale uwezo wako unaposhuka kama ambavyo wanasoka maarufu huhamia ligi za Uarabuni au Asia kumalizia soka lao

Msanii tajiri jiingize kwenye siasa pale uwezo wako unaposhuka kama ambavyo wanasoka maarufu huhamia ligi za Uarabuni au Asia kumalizia soka lao

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Wewe kama ni msanii mwenye mafanikio makubwa na uliepata utajiri au fedha nyingi kupitia fani yako, kamwe usijingize kwenye siasa wakati bado uko kwenye chati, bali fanya hivyo pale amapo umri unapokutupa mkono kutumikia fani yako, au pale kiwango chako kinapoanza kuporomoko kwa maana ya uwezo wako jukwaani n.k unapokuwa umeshuka.

Mjifunze kwa wanasoka maarufu duniani ambao baadhi yao wanapoona umri umeenda au viwango vyao vinaanza kushuka n.k, huamua kumaliza soka lao nchi za Uarabuni, Asia au Marekani na kamwe hawafanyi hivyo wakati bado wanatamba katika soka tena wao wakiwa na bahati ya kuendelea kulipwa vizuri huko wanakomalizia soka lao.

Kwenye fani, unaweza kuingia masikini ukatoka tajiri, ila kwenye siasa, unaweza kuingia tajiri na ukatoka umeyumba kiuchumi huku hata heshima au jina ulilolijenga katika jamii likiwal imeharibika vibaya hasa ukichagua upande mbovu katika siasa.

Aidha, ukiingia kwenye siasa ukiwa na jina kubwa na ukatumia umaarufu wako kupigania watu wa kawaida (sio kuwa upande wa watawala), basi una nafasi kubwa sana ya kukubalika zaidi katika jamii.

Sanaa inaakuunganisha na jamii, ila siasa inaweza kukutenga na kundi fulani katika jamii.
 
Kuna watu wanafiki hadi wanakera. Mfano ni huyu Salary Slip. Kwake yeye Sugu na Prof. Jay kuwa wabunge wa Chadema ni sawa kabisa na haipunguzi umaarufu wao wala pesa zao. Lakini kwa Diamond kuongea na Rais anakujakuja humu kuloloma! Sijui kwanini watu kama hawa "hawapotei"!!
 
Harmonize, ccm wanataka kumfukarisha kwa kumshawishi agombee ubunge Tandahimba.

..Na bungeni kwenyewe kuchangia ni kwa ridhaa ya SPIKA tena kwa muda maalum, sijui dakika 5.

..halafu bado kuna watu wakusumbue kwa KANUNI na MIONGOZO.

..kwa kweli hawa vijana "WANASUKUMIZWA" ktk fani ambayo hawana ueledi nayo. CCM wanataka kuwatumia tu kupata kura.
 
..Na bungeni kwenyewe kuchangia ni kwa ridhaa ya SPIKA tena kwa muda maalum, sijui dakika 5.

..halafu bado kuna watu wakusumbue kwa KANUNI na MIONGOZO.

..kwa kweli hawa vijana "WANASUKUMIZWA" ktk fani ambayo hawana ueledi nayo. CCM wanataka kuwatumia tu kupata kura.
Kwa hiyo unamaanisha CDM wanawatumia tu Sugu na Prof Jay, mna roho mbaya kama wachawi vile...
 
Kwa hiyo unamaanisha CDM wanawatumia tu Sugu na Prof Jay, mna roho mbaya kama wachawi vile...

..usitumie maneno makali, wala usijadili kwa hasira ili twende pamoja.

kwanini nadhani ilikuwa sahihi kwa Sugu na Prof.J kugombea ubunge?

..kwa maoni yangu, Sugu na Prof walikuwa wameanza kufifia ktk tasnia ya muziki. Hivyo basi ubunge uliwapatia shughuli ya kufanya baada ya kuwa wamefifia kimuziki.

Kwanini naamini Diamond na Hamornize hawapaswi kugombea ubunge sasa hivi?

..Kwa mtizamo wangu, hawa wako ktk KILELE cha mafanikio ktk muziki. They are doing so well na mimi nadhani ni afadhali tuwa-encourage waendeleze muziki wao kuliko kuingia ktk shughuli za kisiasa.

Diamond na Harmonize washiriki vipi ktk uchaguzi wa 2020?

..kwa maoni yangu waipigie kampeni CCM. Lakini wasikubali kutumikishwa bila MALIPO.
 
Huwezi kumnusuru Zitto dhidi ya Diamond Plutnumz kwa thread ya kijinga kama hii.
Wewe kama ni msanii mwenye mafanikio makubwa na uliepata utajiri au fedha nyingi kupitia fani yako, kamwe usijingize kwenye siasa wakati bado uko kwenye chati, bali fanya hivyo pale amapo umri unapokutupa mkono kutumikia fani yako, au pale kiwango chako kinapoanza kuporomoko kwa maana ya uwezo wako jukwaani n.k unapokuwa umeshuka.

Mjifunze kwa wanasoka maarufu duniani ambao baadhi yao wanapoona umri umeenda au viwango vyao vinaanza kushuka n.k, huamua kumaliza soka lao nchi za Uarabuni, Asia au Marekani na kamwe hawafanyi hivyo wakati bado wanatamba katika soka tena wao wakiwa na bahati ya kuendelea kulipwa vizuri huko wanakomalizia soka lao.

Kwenye fani, unaweza kuingia masikini ukatoka tajiri, ila kwenye siasa, unaweza kuingia tajiri na ukatoka umeyumba kiuchumi huku hata heshima au jina ulilolijenga katika jamii likiwal imeharibika vibaya hasa ukichagua upande mbovu katika siasa.

Aidha, ukiingia kwenye siasa ukiwa na jina kubwa na ukatumia umaarufu wako kupigania watu wa kawaida (sio kuwa upande wa watawala) basi una nafasi kubwa sana ya kukubalika zaidi katika jamii.

Sanaa inaakuunganisha na jamii, ila siasa inaweza kukutenga na kundi fulani katika jamii.

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Wewe kama ni msanii mwenye mafanikio makubwa na uliepata utajiri au fedha nyingi kupitia fani yako, kamwe usijingize kwenye siasa wakati bado uko kwenye chati, bali fanya hivyo pale amapo umri unapokutupa mkono kutumikia fani yako, au pale kiwango chako kinapoanza kuporomoko kwa maana ya uwezo wako jukwaani n.k unapokuwa umeshuka.

Mjifunze kwa wanasoka maarufu duniani ambao baadhi yao wanapoona umri umeenda au viwango vyao vinaanza kushuka n.k, huamua kumaliza soka lao nchi za Uarabuni, Asia au Marekani na kamwe hawafanyi hivyo wakati bado wanatamba katika soka tena wao wakiwa na bahati ya kuendelea kulipwa vizuri huko wanakomalizia soka lao.

Kwenye fani, unaweza kuingia masikini ukatoka tajiri, ila kwenye siasa, unaweza kuingia tajiri na ukatoka umeyumba kiuchumi huku hata heshima au jina ulilolijenga katika jamii likiwal imeharibika vibaya hasa ukichagua upande mbovu katika siasa.

Aidha, ukiingia kwenye siasa ukiwa na jina kubwa na ukatumia umaarufu wako kupigania watu wa kawaida (sio kuwa upande wa watawala) basi una nafasi kubwa sana ya kukubalika zaidi katika jamii.

Sanaa inaakuunganisha na jamii, ila siasa inaweza kukutenga na kundi fulani katika jamii.
Huwa wanaelewa wakiwa washachelewa yuko wapi wema sepetu,rose muhando,mzee Wa upako,wanaume tmk,Marloow,original comedy ya kina masanja,bongo muvi nk Kwisha habari yako washatumiwa na wanasiasa washatupwa kama kondomu huku wateja washawapoteza
 
Back
Top Bottom