TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Huwezi kuwa huko makini... Nani alikuweleza kuwa Joseph Mbilinyi na Joseph Haule walikuwa wameshuka viwango!? Mbilinyi alikuwa on fire vivyo hivyo na Haule. Ndiyo maana walipata wepesi wa kushinda majimbo yao, wale siyo viti maalumu ni wa kuchaguliwa. Upo au umeisha potea!?
..kwa maoni yangu, Sugu na Prof walikuwa wameanza kufifia ktk tasnia ya muziki. Hivyo basi ubunge uliwapatia shughuli ya kufanya baada ya kuwa wamefifia kimuziki.