mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
kwahiyo kigezo no moja awe ana bacholor ya LAW au awe mnoko sana!Kwani hujui mbunge anaenda Bungeni kufanya kazi gani? Kutunga sheria na sio kubwabwaja!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwahiyo kigezo no moja awe ana bacholor ya LAW au awe mnoko sana!Kwani hujui mbunge anaenda Bungeni kufanya kazi gani? Kutunga sheria na sio kubwabwaja!
Hayo yako, naona unaishi karne ya 19 kimawazo.kwahiyo kigezo no moja awe ana bacholor ya LAW au awe mnoko sana!
Umesoma ukaelewa?Hao uliowataja kwanza sio wasani waliopata utajiri kama niliowalenga kwenye huu uzi, na pia hao uliowataja hawajaingia kwenye siasa kutumikia watala wanaotesa raia wao kwa maisha magumu,n.k.Kuna watu wanafiki hadi wanakera. Mfano ni huyu Salary Slip. Kwake yeye Sugu na Prof. Jay kuwa wabunge wa Chadema ni sawa kabisa na haipunguzi umaarufu wao wala pesa zao. Lakini kwa Diamond kuongea na Rais anakujakuja humu kuloloma! Sijui kwanini watu kama hawa "hawapotei"!!
Thread ya kijinga unaijibu ya nini tena ukiwa na mihemuko?Huwezi kumnusuru Zitto dhidi ya Diamond Plutnumz kwa thread ya kijinga kama hii.
Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app