Kuna watu wanafiki hadi wanakera. Mfano ni huyu Salary Slip. Kwake yeye Sugu na Prof. Jay kuwa wabunge wa Chadema ni sawa kabisa na haipunguzi umaarufu wao wala pesa zao. Lakini kwa Diamond kuongea na Rais anakujakuja humu kuloloma! Sijui kwanini watu kama hawa "hawapotei"!!