ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Mama anaupiga mwingi...Safi sana chadema mkome kbs tuliwaambia bora ya magu mkatuona hatufai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magu kafa sasa na katiba inataka makamu wake amrithi , hebu tujikite kwenye uhalisiaMama anaupiga mwingi...Safi sana chadema mkome kbs tuliwaambia bora ya magu mkatuona hatufai
..... nyama zimevuja umebakia mchuzi....
Kumbe tozo ni tusi
Tanzania ni kisiwa cha amani.TAARIFA![emoji3544]
NIMEPOKEA SIMU SASA HIVI KUWA MWANAMUZIKI NA MWANAHARAKATI, KAKA YETU VITALI MAEMBE (Namba yake) AMEKAMATWA NA POLISI JUMANNE JIONI WIKI HII
WALIMUITA KITUO CHA POLISI BAGAMOYO DUNDA AKARIPOTI.
ALIPOENDA JIONI HII NA KUFIKA PALE WAKAMUWEKA NDANI..
WATU WALIOKARIBU WAKAENDA KUFUATILIA WAKAAMBIWA KUWA IMEAGIZWA TOKA JUU AKAMATWE KWA KUWA AMETUKANA SERIKALI KWENYE NYIMBO ZAKE.
SASA WAMEMCHUKUA KWA GARI YA POLISI NA INASEMEKANA WAMEENDA NAYE KIBAHA.
KAMA JUKWAA NAAMINI TUNAWEZA KUFANYA JAMBO. PAAZENI SAUTI ZENU.
Asante
Kumbe walijificha kwenye baibuiWatekaji wamerudi kwa kasi sana
Uliona wapi mtoto wa nyoka akafundishwa kuuma?Utekaji utarudi kipindi hiki na kuzidi kipindi cha jiwe.
Kamata kamata ya Hawa jamaa ina element za utekaji
Nimeamini sasaHii ni awamu ile ile tofauti ni sura tu
Mkuu wewe ndiye unaliona la kipuuzi lkn wenyewe wanaliona ni la kishujaa sanaHuyu jamaa wamehangaika nae kitambo sana. Kama ni kweli hili limefanyika tena basi Serikali itakuwa imefanya jambo la 'Kipuuzi'
Kumbe Maembe ni mwana chadema?Mama anaupiga mwingi...Safi sana chadema mkome kbs tuliwaambia bora ya magu mkatuona hatufai
Taifa linalo ogopa kivuli cha wasaniiHuyo jamaa hata nyimbo zake zilishapigwa ban redioni. Huwa anawachana wezi wa Mali ya uma. Sikiliza nyimbo km nahodha, risala ya mfungwa, yarabi salama, mkwezi nk
Kama kaburu alikubali kuwachia madaraka, ipo siku na kaburu weusi watakubali tuHuu ni Ukoloni mweusi.
Uhalisia ni kwamba akiondoka mama anakuja mwingine kutoka ccm..kazi inaendeleaMagu kafa sasa na katiba inataka makamu wake amrithi , hebu tujikite kwenye uhalisia