Msanii Vitalis Maembe anadaiwa kukamatwa kwa tuhuma za “kuimba nyimbo za kuitukana Serikali”

Msanii Vitalis Maembe anadaiwa kukamatwa kwa tuhuma za “kuimba nyimbo za kuitukana Serikali”

Mama anaupiga mwingi...Safi sana chadema mkome kbs tuliwaambia bora ya magu mkatuona hatufai
 
TAARIFA![emoji3544]

NIMEPOKEA SIMU SASA HIVI KUWA MWANAMUZIKI NA MWANAHARAKATI, KAKA YETU VITALI MAEMBE (Namba yake⁩) AMEKAMATWA NA POLISI JUMANNE JIONI WIKI HII

WALIMUITA KITUO CHA POLISI BAGAMOYO DUNDA AKARIPOTI.

ALIPOENDA JIONI HII NA KUFIKA PALE WAKAMUWEKA NDANI..

WATU WALIOKARIBU WAKAENDA KUFUATILIA WAKAAMBIWA KUWA IMEAGIZWA TOKA JUU AKAMATWE KWA KUWA AMETUKANA SERIKALI KWENYE NYIMBO ZAKE.

SASA WAMEMCHUKUA KWA GARI YA POLISI NA INASEMEKANA WAMEENDA NAYE KIBAHA.

KAMA JUKWAA NAAMINI TUNAWEZA KUFANYA JAMBO. PAAZENI SAUTI ZENU.

Asante
Tanzania ni kisiwa cha amani.
 
Huyu jamaa wamehangaika nae kitambo sana. Kama ni kweli hili limefanyika tena basi Serikali itakuwa imefanya jambo la 'Kipuuzi'
Mkuu wewe ndiye unaliona la kipuuzi lkn wenyewe wanaliona ni la kishujaa sana
 
"Kasali",wimbo mzuri sana,mama kuwa makini usifuate nyayo za jiwe
 
......Kaizari kachukua yake ...na yetu anaipora!!!.

Nyama zimevuja , mchuzi umebaki.

Huyu jamaa noma Sana.

What a figurative language!! Ujumbe umefika vizuri kabisa. Na ni murua kwakua umejitenga na Uvyama.
 
Back
Top Bottom