TANZIA Msanii wa Bongo Flava, Haitham Kim afariki dunia

Msamehe bure bangi Hizo
 
Duh!

Hichi kijiko
Unakiona, baada ya kula kwa mkono!

Ndoms unaiona, ukishafanya ngono,

Niko active kwenye mtandao wa Jf tu!

Na leo ndio nimemjua kupitia humu, na nimemjua akiwa tayari amekufa!!! So sad...

Ntatafuta japo nyimbo yake 1 niisikilize...

So sad.... unamfamu mtu kuwa alikuwa mtu fulani... Huku tayari akiwa ni marehemu!....

R. I. P Haitham
 


Covid bado ipo na kama huja chanja bado inaweza kukuondoa hasa kama una kisukari, pumu au matatizo ya moyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…