Msanii wa bongo fleva na mwana JF BEIRA BOY Anawatakia kheri ya krismas na mwaka mpya

Msanii wa bongo fleva na mwana JF BEIRA BOY Anawatakia kheri ya krismas na mwaka mpya

Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu

Msanii wa kizazi kipya BEIRA BABY BOY ambaye yuko chin ya uongoz wa MOBETTO MUSIC View attachment 657976

Pia ni mwana jamiforum anawatakia kheri ta krismas na mwaka mpya

Beira ambaye ngoma yake ya kwanza itatoka tarehe 5 mwez wa kwanza na itatambulishwa na boss wake hamisa mobeto audio itatambulishwa clouds na video itatambulishwa EATV kwa samisago

NAWATAKIA KHER YA KRISMAS NA MWAKA MPYA

LONDON BOY

Toka nimejiunga JF nadhani wewe nimekuona mara nyingi sana kila nikiingia, ila thread zako ni nusu komedi nusu serious.

Hivi huwa unawaza nini mkuu kuanzisha uzi?

BTW, Asante, heri na kwako.
 
[emoji1] [emoji23] mziki mgumu maaaan usifikirie kama unaimba singeliiiii....
 
Mkuu msalimie mobeto niulizie hivi mtoto hunyonyesha saa ngapi?
Merry Xmas to you!
Mtoto huwa anakula vyakula vyenye lishe mkuu humuon alivyonenepa siku hiz na anakaa kabisa
 
Back
Top Bottom