Msanii wa bongo fleva na mwana JF BEIRA BOY Anawatakia kheri ya krismas na mwaka mpya

yani ww jamaa nazani mpk magufuli atoke madarakani utaanza lokota makopo maana naona kichaa kinakuandama kwa kasi ya ajabu
 
Kwanini usiweke picha yako badala ya kuweka ya huyo unayemsingizia eti ndiyo meneja wako??
Yangu nitaiweka hapo tarehe tano nikiwa naichia single yangu mpya ambayo itaenda kuwashika maana ni kali baraa
 
kila kona wasanii. Hivi chato tukimtoa msanii wa kukaza misuli kwa hisia akiongea Maghu , kuna mwingine. ??
 


Imekula kwako, eti unasimamiwa na Hamisa Mobeto.....basi umekwisha. Nasema hivyo kwani huyo Hamisa hajuwi kujisimamia yeye mwenyewe leo hii aje akusimamie wewe?
 
Imekula kwako, eti unasimamiwa na Hamisa Mobeto.....basi umekwisha. Nasema hivyo kwani huyo Hamisa hajuwi kujisimamia yeye mwenyewe leo hii aje akusimamie wewe?
Hapana mkuu usiseme hivyo kuna watu kama akina maneno wanasimamia wasanii wakubwa lakin hawawez kujisimamia wenyewe

Alikiba anajisimamia mwenyewe lakin kashindwa kumsimamia mdogo wake abdu kiba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…