Tetesi: Msanii wa Bongo Movie, Batuli lamkuta jambo, augua ghafla na kukimbizwa hospitalini

Mwanzo si alitangaza batuli ni mchawi kamroga huyo bwana leo imegeuka tena yeye ndo mchawi? Mfa maji haishi kutapatapa.

Sent From Galaxy S9
Amekutuma uje kumtetea humu au ww ni dada yake batuli?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah naukumbuka wimbo wa Ally choki mzee wa falasi unaitwa Ritines kuna sehem unasema WAZURI niwengi duniani mama nawengine kila kukicha wakizaliwa .......?
 
Hapo sasa wanamfanya kama uwanja wamazoezi ,waume za watu wakipunyuliwa zikiisha wanarudi kwa wake zao

Sent using Jamii Forums mobile app

Si ndo hapo sasa , na yeye anaona sifa kumbe anachezewa, walau hata angeolewa nyumba ndogo basi akaheshimika


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Si ndo hapo sasa , na yeye anaona sifa kumbe anachezewa, walau hata angeolewa nyumba ndogo basi akaheshimika


Sent from my iPhone using JamiiForums
Weee binamu taratibu Mambo yakooooh, nyumba ndogo hyo vepeeeeeeh? Ina thaman yake small house, usifananishe na maharage ya mbeya maji Mara 1.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si ndo hapo sasa , na yeye anaona sifa kumbe anachezewa, walau hata angeolewa nyumba ndogo basi akaheshimika


Sent from my iPhone using JamiiForums
Yaani angekuwa hata nyumba ndogo akaheshimika, uzuri wa mkakasi ndani kipande cha mti,
hongera zake kwa kuwa mzuri, mwishowe tutaambiwa tunamuonea wivu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
when will I fu** di bit** like dis
 

Attachments

  • zz100.png
    43.3 KB · Views: 7
Yaani angekuwa hata nyumba ndogo akaheshimika, uzuri wa mkakasi ndani kipande cha mti,
hongera zake kwa kuwa mzuri, mwishowe tutaambiwa tunamuonea wivu

Sent using Jamii Forums mobile app

Wivu huo vepee binamu aii mxieew , tusiseme ukwel Sasa? Kama anajiona mzuri si angeolewa aache kusumbua ndoa za watu , wanaume wanaishia kumchezea tu na kurudi kwa wanwake zao, yan na uzuri wote na kuroga kote n bado mume hana , Kweli Mungu hakupi kila kitu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…