Tetesi: Msanii wa Bongo Movie, Batuli lamkuta jambo, augua ghafla na kukimbizwa hospitalini

Tetesi: Msanii wa Bongo Movie, Batuli lamkuta jambo, augua ghafla na kukimbizwa hospitalini

Mtu mwenye corona anapigaje kelele kama mama jusi wa mashariki!
Ila batuli anamzigo khatari sana sheikh, hata mm nipo tayari aje aniibe akipona nitauza viwanja vya urithi poteleaa mbali.
Ila batuli nili zuri sana!!sijuii kwanini watu wakipiga wanakimbia na sikia hata mwenye mkoa wake alimpangia kabisa!!baadaye akagundua analea yule mwanamziki wa mkubwa na wakubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya kuona hii picha sijapata ugumu wa kuamini maneno yako mkuu 🤣🤣🤣 wacha mafisi walogwe tu hamna namna.
Sindikiza basi post yako na picha wengini hatumjui.
Aisee lakini ana mzigooo
Wakuu mungefanya ustaarabu wa kutuekea picha za msambwanda wake, nimeshahangaika vya kutosha bado bila bila nakuta za sura tu, kwa kweli ni mgeni kwangu huyu dada kila mukimsifu munanikata maini kabisa
 
Aje anirogo mimi
Wanazengo wanasema bibie ni mwalimu wa kuiba waume za watu , Na nasikia akimpata mume wako anamroga mpaka basi , yani bingwa wa kuiba waume za watu na ni mchawi kupitiliza.

Umbea unaozagaa kwa sasa, Kuwa Msanii huyo aliingia kwenye himaya ya watu , na mke wa mwanaume aliyemuiba hakukubali na kuakikisha anampiga zongo la maana.

Nasikia hali ya Batuli hivi sasa sio nzuri, anashinda hospital toka juzi , huku ndugu zake wakihangaika ni kitu gani kinamsumbua, wanazengo wanasema karogwa vibaya na hali yake sio nzuri kabisa, Kwani anashinda akipiga makelele kama mamajusi wa mashariki.

Jamani isije tu ikawa Corona nyie mnasema karogwa.

Ila shoga nae alizidi kuiba waume za watu , khaa, halafu alikua anajisifu kabisa kwa wake aliowaibia waume kuwa yeye ni mtamu, kama kweli karogwa watakua wamemnyoosha kisawa Sawa.View attachment 1430162



Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haka kabinti nilikuwa nakakubali sana,ila kwa haya mastory na comments za watu nimekatia hatiani!Ghafla kamenitoka kabisaaaa,mmeniharibia usiku wangu aiseee!
 
Wanazengo wanasema bibie ni mwalimu wa kuiba waume za watu , Na nasikia akimpata mume wako anamroga mpaka basi , yani bingwa wa kuiba waume za watu na ni mchawi kupitiliza.

Umbea unaozagaa kwa sasa, Kuwa Msanii huyo aliingia kwenye himaya ya watu , na mke wa mwanaume aliyemuiba hakukubali na kuakikisha anampiga zongo la maana.

Nasikia hali ya Batuli hivi sasa sio nzuri, anashinda hospital toka juzi , huku ndugu zake wakihangaika ni kitu gani kinamsumbua, wanazengo wanasema karogwa vibaya na hali yake sio nzuri kabisa, Kwani anashinda akipiga makelele kama mamajusi wa mashariki.

Jamani isije tu ikawa Corona nyie mnasema karogwa.

Ila shoga nae alizidi kuiba waume za watu , khaa, halafu alikua anajisifu kabisa kwa wake aliowaibia waume kuwa yeye ni mtamu, kama kweli karogwa watakua wamemnyoosha kisawa Sawa.View attachment 1430162



Sent from my iPhone using JamiiForums
Sasa huyo anawaroga vipi waume za watu wakati mimi mwenyewe mume wa mtu lakini nimemuelewa mwenyewe au ndio keshaniloga,maana kwa picha tuu anastahiki vyeo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi wanaume tunaibwa? Mimi nafikiri tunakwenda tukiwa na akili zetu timamu.

Sent using Jamii Forums mobile app


Ni kweli ila tatizo linakuja pale ukishajiingiza kwenye anga za huyo changu uliyempata. Akishaona una dalili za kushika hela na yeye atapata uhakika wa kula kuku chips kila siku na kuwa na simu kubwa ili awatambie wenzake, lazima huyo demu atakuendea Magomeni kwa Sheikh fulani ama kwa bibi ili akunase moja kwa moja. Mwisho wa siku unakuta hauna maendeleo yeyote, na huyo changu akipata basha mwingine wa kumnunulia simu na kula kuku chips lazima atakuacha akiwa kishakuharibu kisaikolojia kwa madawa pori na dua za kishetani. Angalia mademu wa Bongo movie walivyolostika hivi sasa, wengi hawana thamani wako bize wanajipikilisha YouTube huku wakijichekesha na kuonyesha makalio yao kwa kuvaa vipensi vya hajabu wakijitangaza.
 
hongera batuli kwa kuhongwa BMW, kuna wanawake mpaka wanazeeka hata boda boda hawajawahi kupewa.

Ndiyo maana wanarogana sana, hapo Batuli kahongwa a used BMW wenzake wana wivu na wameachana na karoti na matango, wako kwa masheikh na mabibi kutafuta suluhisho wawe kama Batuli ama zaidi ili watambiane. Mademu wa Kibongo, yaani vituko tupu.
 
Back
Top Bottom