Tetesi: Msanii wa Bongo Movie, Batuli lamkuta jambo, augua ghafla na kukimbizwa hospitalini

Tetesi: Msanii wa Bongo Movie, Batuli lamkuta jambo, augua ghafla na kukimbizwa hospitalini

Duu kumbe Mwenye mkoa wake kapiga mpaka Masogange hili toto Maso ndio lilikuwa hatari.Ila bongo movie siku akitokea mtu katiri,ana hela,ana ngoma yaani anaweza akawaambukiza mademu wote wa bongo movies,wengi wanatamaa njaa kali,alafu wanapenda maisha ya gharama wakati mifukoni hawana kitu.
Sana mzee pale calabash ndo kilikuwa kijiwe chao kikubwa ....bongo movie mond kaacha lulu tu na bahati yake alipata secured place ya majizo mond ametafuna aunty Ezekiel, kajala,uwoya,masogange,wolper,rose ndauka...baba acha kibas mtoto wa tandale amewakongorii sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sana mzee pale calabash ndo kilikuwa kijiwe chao kikubwa ....bongo movie mond kaacha lulu tu na bahati yake alipata secured place ya majizo mond ametafuna aunty Ezekiel, kajala,uwoya,masogange,wolper,rose ndauka...baba acha kibas mtoto wa tandale amewakongorii sana

Sent using Jamii Forums mobile app


Ni kwa sababu wana tamaa ya maisha ndiyo maana Mondi alikuwa anawakojolea kwa kuwakomoa. Cha kushangaza eti Hamisa Mobeto bado mpaka leo analilia kuolewa na Mondi ili awaonyeshe wenzake waliopitiwa na Mondi kuwa yeye kapendwa zaidi. Mademu wa kibongo bwana, njaa inawatesa sana. Angalia kina Wema, Aunty Ezekiel, Kajala, wanaishia kudanga tu huku wanaume wa maana wamewasusa.
 
Duu kumbe Mwenye mkoa wake kapiga mpaka Masogange hili toto Maso ndio lilikuwa hatari.Ila bongo movie siku akitokea mtu katiri,ana hela,ana ngoma yaani anaweza akawaambukiza mademu wote wa bongo movies,wengi wanatamaa njaa kali,alafu wanapenda maisha ya gharama wakati mifukoni hawana kitu.


Jamani mbona watu wanasema mwenye mkoa wake si lijali kamili.....eti naye anapakatwa mtaa wa pili. Kuna mwenye mkoa mwingine zaidi ya huyu tumjuwe?
 
Ni kwa sababu wana tamaa ya maisha ndiyo maana Mondi alikuwa anawakojolea kwa kuwakomoa. Cha kushangaza eti Hamisa Mobeto bado mpaka leo analilia kuolewa na Mondi ili awaonyeshe wenzake waliopitiwa na Mondi kuwa yeye kapendwa zaidi. Mademu wa kibongo bwana, njaa inawatesa sana. Angalia kina Wema, Aunty Ezekiel, Kajala, wanaishia kudanga tu huku wanaume wa maana wamewasusa.
We jamaa unajua kuponda kingese[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni hivi, si unaona wewe hapo ulipo....unakuja kujigonga kwangu kisha mimi naingia kingi nakuomba andazi, nawe unanipa bila ubishi ukijuwa umelifukizia madawa. Nikikuingia tu nanaswa na ninakupa urithi wa nyumba zangu nawe unatajirisha familia yako huku nami nikimsusa mke wangu na watoto. Umeshaelewa mpaka hapo, Kina Mama mnafanya sana haya haswa mademu wa Kichagga na Kipare, nashangaa wewe Mchagga wa wapi hujuwi hili.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji122][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]haki ya Mungu we jamaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Leo ilikuwa siku mbaya but, nimecheka almanusura nife[emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sana mzee pale calabash ndo kilikuwa kijiwe chao kikubwa ....bongo movie mond kaacha lulu tu na bahati yake alipata secured place ya majizo mond ametafuna aunty Ezekiel, kajala,uwoya,masogange,wolper,rose ndauka...baba acha kibas mtoto wa tandale amewakongorii sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Uwoya nasikia anatabia akikukubali ana kutongoza mwenyewe,ila unakuwa special kwa ajili ya kumuondolea nyege akikuchoka anakutupa,hawa akina Kala na Linex waliangukiwa na zali hilo,wakawa wanajifanya king'ang'anizi wakambiwa "hela mnayo" ikabidi wao wapole.
 
[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni hivi, si unaona wewe hapo ulipo....unakuja kujigonga kwangu kisha mimi naingia kingi nakuomba andazi, nawe unanipa bila ubishi ukijuwa umelifukizia madawa. Nikikuingia tu nanaswa na ninakupa urithi wa nyumba zangu nawe unatajirisha familia yako huku nami nikimsusa mke wangu na watoto. Umeshaelewa mpaka hapo, Kina Mama mnafanya sana haya haswa mademu wa Kichagga na Kipare, nashangaa wewe Mchagga wa wapi hujuwi hili.
 
Kwani anashinda akipiga makelele kama mamajusi wa mashariki.

Jamani isije tu ikawa Corona nyie mnasema karogwa.
Mtu mwenye corona anapigaje kelele kama mama jusi wa mashariki!
Ila batuli anamzigo khatari sana sheikh, hata mm nipo tayari aje aniibe akipona nitauza viwanja vya urithi poteleaa mbali.
 
Mtu mwenye corona anapigaje kelele kama mama jusi wa mashariki!
Ila batuli anamzigo khatari sana sheikh, hata mm nipo tayari aje aniibe akipona nitauza viwanja vya urithi poteleaa mbali.

Aaaah lol


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Duu kumbe Mwenye mkoa wake kapiga mpaka Masogange hili toto Maso ndio lilikuwa hatari.Ila bongo movie siku akitokea mtu katiri,ana hela,ana ngoma yaani anaweza akawaambukiza mademu wote wa bongo movies,wengi wanatamaa njaa kali,alafu wanapenda maisha ya gharama wakati mifukoni hawana kitu.
Huyo mtu katili atajiongezea virus tu maana bongo movie ndio transformer ya gridi ya taifa. Noma sana
 
Back
Top Bottom