Tetesi: Msanii wa Bongo Movie, Batuli lamkuta jambo, augua ghafla na kukimbizwa hospitalini

Tetesi: Msanii wa Bongo Movie, Batuli lamkuta jambo, augua ghafla na kukimbizwa hospitalini

Yani kuna uongo mwingine unatia hasira. Huyo mwanaume wa batuli aliemuhonga BMW sio mume wa yeyote! Alioa na mkewe akafariki miaka michache iliopita. Huyo dada anaewalipa page za umbea kumchafua batuli ni baby mama tu sio mke! Kazaa na huyo bwana mapacha. Anahangaika kwann batulia anapendwa na kuhongwa gari yeye yupo yupo tu zaidi ya matunzo ya watoto hakuna kingine anachopata. Anaeroga haendi kujitangaza social media. Yani umroge mtu ukaseme si ukichaa huo. Bwana hakutaki take Your L lea watoto acha kuchafua watu. Unajichoresha tu.

Sent From Galaxy S9
 
Mwanzo si alitangaza batuli ni mchawi kamroga huyo bwana leo imegeuka tena yeye ndo mchawi? Mfa maji haishi kutapatapa.

Sent From Galaxy S9
 
warumi Sawa. Mwambie huyo aliekulipa atupie picha ya cheti cha ndoa. Mama dangote aliweza kwanini yeye ashindwe? Aweke picha ya cheti tujue ni mke halali otherwise aendelee kulea watoto wake. Batuli is there to stay. Kodi analipiwa gari kapewa. Baby mama na yeye ni side ostrich vile vile alijua kuzaa ndo kuolewa[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent From Galaxy S9
 
Wanazengo wanasema bibie ni mwalimu wa kuiba waume za watu , Na nasikia akimpata mume wako anamroga mpaka basi , yani bingwa wa kuiba waume za watu na ni mchawi kupitiliza.

Umbea unaozagaa kwa sasa, Kuwa Msanii huyo aliingia kwenye himaya ya watu , na mke wa mwanaume aliyemuiba hakukubali na kuakikisha anampiga zongo la maana.

Nasikia hali ya Batuli hivi sasa sio nzuri, anashinda hospital toka juzi , huku ndugu zake wakihangaika ni kitu gani kinamsumbua, wanazengo wanasema karogwa vibaya na hali yake sio nzuri kabisa, Kwani anashinda akipiga makelele kama mamajusi wa mashariki.

Jamani isije tu ikawa Corona nyie mnasema karogwa.

Ila shoga nae alizidi kuiba waume za watu , khaa, halafu alikua anajisifu kabisa kwa wake aliowaibia waume kuwa yeye ni mtamu, kama kweli karogwa watakua wamemnyoosha kisawa Sawa.View attachment 1430162



Sent from my iPhone using JamiiForums
Anapatikana wapi namie anikamate mtoto anaonesha mashallah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa. Mwambie huyo aliekulipa atupie picha ya cheti cha ndoa. Mama dangote aliweza kwanini yeye ashindwe? Aweke picha ya cheti tujue ni mke halali otherwise aendelee kulea watoto wake. Batuli is there to stay. Kodi analipiwa gari kapewa. Baby mama na yeye ni side ostrich vile vile alijua kuzaa ndo kuolewa[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent From Galaxy S9

Kumbe analipiwa kodi, Mi nilijua kajengewa, ki gari chenyewe alichohongwa hakina hadhi, angehongwa hata v8 ...


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kumbe analipiwa kodi, Mi nilijua kajengewa, ki gari chenyewe alichohongwa hakina hadhi, angehongwa hata v8 ... kaz kuhongwa laki mbili na ukimwi juu mxieew


Sent from my iPhone using JamiiForums
Post Cheti cha ndoa. Acha wivu. Hicho kigari mbona kinakutoa roho wewe hata baiskeli hujapewa. Tatizo nyota

Sent From Galaxy S9
 
Mademu wa bongo movie wanaroga balaa...Sengo Matilda alimseti jamaa yangu flani akawa kama fala, afu jamaa anajua kabisa katengenezwa kujitoa sasa ndio shida. Bongo movie watakuacha ukiishiwa ama akipata danga jipya litakalombadilishia maisha

Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂😂 Mkuu, kwahiyo baharia alitegua mtego au ndio kilio tu
Anhaaa ndio naelewa kwann huyu bidada na huyo bakuli marafiki....

Ndege wanaofanana......
 
Back
Top Bottom