Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,319
- 9,003
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙉Ulimola(najua hapo Tu)
Mkuu uyo ni Full Package
Sema mzgo kajaaliwa anao
stidy
Duh kwahiyo n mjanja wa mji ee?
Anapatikana wapi namie anikamate mtoto anaonesha mashallahWanazengo wanasema bibie ni mwalimu wa kuiba waume za watu , Na nasikia akimpata mume wako anamroga mpaka basi , yani bingwa wa kuiba waume za watu na ni mchawi kupitiliza.
Umbea unaozagaa kwa sasa, Kuwa Msanii huyo aliingia kwenye himaya ya watu , na mke wa mwanaume aliyemuiba hakukubali na kuakikisha anampiga zongo la maana.
Nasikia hali ya Batuli hivi sasa sio nzuri, anashinda hospital toka juzi , huku ndugu zake wakihangaika ni kitu gani kinamsumbua, wanazengo wanasema karogwa vibaya na hali yake sio nzuri kabisa, Kwani anashinda akipiga makelele kama mamajusi wa mashariki.
Jamani isije tu ikawa Corona nyie mnasema karogwa.
Ila shoga nae alizidi kuiba waume za watu , khaa, halafu alikua anajisifu kabisa kwa wake aliowaibia waume kuwa yeye ni mtamu, kama kweli karogwa watakua wamemnyoosha kisawa Sawa.View attachment 1430162
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mpe Batuli namba ya mumeoIvi mume anaibwaje kwa mfano.
Sawa. Mwambie huyo aliekulipa atupie picha ya cheti cha ndoa. Mama dangote aliweza kwanini yeye ashindwe? Aweke picha ya cheti tujue ni mke halali otherwise aendelee kulea watoto wake. Batuli is there to stay. Kodi analipiwa gari kapewa. Baby mama na yeye ni side ostrich vile vile alijua kuzaa ndo kuolewa[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent From Galaxy S9
Post Cheti cha ndoa. Acha wivu. Hicho kigari mbona kinakutoa roho wewe hata baiskeli hujapewa. Tatizo nyotaKumbe analipiwa kodi, Mi nilijua kajengewa, ki gari chenyewe alichohongwa hakina hadhi, angehongwa hata v8 ... kaz kuhongwa laki mbili na ukimwi juu mxieew
Sent from my iPhone using JamiiForums
😂😂😂😂😂 Mkuu, kwahiyo baharia alitegua mtego au ndio kilio tuMademu wa bongo movie wanaroga balaa...Sengo Matilda alimseti jamaa yangu flani akawa kama fala, afu jamaa anajua kabisa katengenezwa kujitoa sasa ndio shida. Bongo movie watakuacha ukiishiwa ama akipata danga jipya litakalombadilishia maisha
Sent using Jamii Forums mobile app