secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,637
Una maana gani unaposema wanaume chupi mkononi!!??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una maana gani unaposema wanaume chupi mkononi!!??
Huyu Batuli ndiyo nani mbona hata kwenye google agogeki.
Ila uyo binti yuko gado,nilipata mtizama kwenye luninga kipindi cha biko alikua akitangaza Kama sijakosea akishirikiana na mpokiWanazengo wanasema bibie ni mwalimu wa kuiba waume za watu , Na nasikia akimpata mume wako anamroga mpaka basi , yani bingwa wa kuiba waume za watu na ni mchawi kupitiliza.
Umbea unaozagaa kwa sasa, Kuwa Msanii huyo aliingia kwenye himaya ya watu , na mke wa mwanaume aliyemuiba hakukubali na kuakikisha anampiga zongo la maana.
Nasikia hali ya Batuli hivi sasa sio nzuri, anashinda hospital toka juzi , huku ndugu zake wakihangaika ni kitu gani kinamsumbua, wanazengo wanasema karogwa vibaya na hali yake sio nzuri kabisa, Kwani anashinda akipiga makelele kama mamajusi wa mashariki.
Jamani isije tu ikawa Corona nyie mnasema karogwa.
Ila shoga nae alizidi kuiba waume za watu , khaa, halafu alikua anajisifu kabisa kwa wake aliowaibia waume kuwa yeye ni mtamu, kama kweli karogwa watakua wamemnyoosha kisawa Sawa.View attachment 1430162
Sent from my iPhone using JamiiForums
Yani me ndo huwa nasema hiiiiiiiiiNamuangaliaga alafuu naishia kusema hiiiii
Aisee lakini ana mzigooo
We jamaa ulipotelea wapi mbona siku hizi majukwaani huonekani.naona kashika macho matatu,sema kako vizuri.
oya wakuu vitambulisho vya nida mlipata?
nipo nipo sema kuna kipindi nilitulia nilikuwa busy kidogoWe jamaa ulipotelea wapi mbona siku hizi majukwaani huonekani.
We unamzungumzia kajala na sio batuli.Ila uyo binti yuko gado,nilipata mtizama kwenye luninga kipindi cha biko alikua akitangaza Kama sijakosea akishirikiana na mpoki
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Anaishi wapi ili niwe nazagaa zagaa maeneo hayo aniibe na mimi jameni?Batuli ni gwiji wa kunyakua waume wa watu Tena anajiamini hatari angalia asije kufa bure wallah
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama lisomalisomali fulani hivi, au limbulu la kule Hanang.Toto zuri Sana hilo
Aaah Basi wote wako gadoWe unamzungumzia kajala na sio batuli.
Wakiambiwa wanawake niukiumbe cha starehe wanakuja juu juu kishenzisasa kama ni mtamu kakosaje mwanaume wa kumtuliza??