cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Hakwimbi Ila ni wanaume chupi mkononi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ivi mume anaibwaje kwa mfano.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ivi mume anaibwaje kwa mfano.
Duuuuhhh, kwahiyo huyu akupe tu limbwata?
Batuli ni gwiji wa kunyakua waume wa watu Tena anajiamini hatari angalia asije kufa bure wallah
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo yule aliye kwenye tamthilia ya Rebecca kakwiba mme wa Rebecca kwa ndumba au nimekosea?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio huyuNdiyo yule aliye kwenye tamthilia ya Rebecca kakwiba mme wa Rebecca kwa ndumba au nimekosea?
Sent using Jamii Forums mobile app
Akinisurika hili janga bora aokoke, naona wamempania sana , lol
Sent from my iPhone using JamiiForums
Huyu dada Ana Chura?
Tumekula wengi Sana hapaWanazengo wanasema bibie ni mwalimu wa kuiba waume za watu , Na nasikia akimpata mume wako anamroga mpaka basi , yani bingwa wa kuiba waume za watu na ni mchawi kupitiliza.
Umbea unaozagaa kwa sasa, Kuwa Msanii huyo aliingia kwenye himaya ya watu , na mke wa mwanaume aliyemuiba hakukubali na kuakikisha anampiga zongo la maana.
Nasikia hali ya Batuli hivi sasa sio nzuri, anashinda hospital toka juzi , huku ndugu zake wakihangaika ni kitu gani kinamsumbua, wanazengo wanasema karogwa vibaya na hali yake sio nzuri kabisa, Kwani anashinda akipiga makelele kama mamajusi wa mashariki.
Jamani isije tu ikawa Corona nyie mnasema karogwa.
Ila shoga nae alizidi kuiba waume za watu , khaa, halafu alikua anajisifu kabisa kwa wake aliowaibia waume kuwa yeye ni mtamu, kama kweli karogwa watakua wamemnyoosha kisawa Sawa.View attachment 1430162
Sent from my iPhone using JamiiForums