Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda insta zmejaa
stidy
Aisee lakini ana mzigooo
Ila huyu dada asikwambie mtu ni lizuri kinoma...siku moja nimeliona kazini nilivurugwa kabisa..halafu lilikua linatabasamu...
"akipiga makelele kama mamajusi wa mashariki."Wanazengo wanasema bibie ni mwalimu wa kuiba waume za watu , Na nasikia akimpata mume wako anamroga mpaka basi , yani bingwa wa kuiba waume za watu na ni mchawi kupitiliza.
Umbea unaozagaa kwa sasa, Kuwa Msanii huyo aliingia kwenye himaya ya watu , na mke wa mwanaume aliyemuiba hakukubali na kuakikisha anampiga zongo la maana.
Nasikia hali ya Batuli hivi sasa sio nzuri, anashinda hospital toka juzi , huku ndugu zake wakihangaika ni kitu gani kinamsumbua, wanazengo wanasema karogwa vibaya na hali yake sio nzuri kabisa, Kwani anashinda akipiga makelele kama mamajusi wa mashariki.
Jamani isije tu ikawa Corona nyie mnasema karogwa.
Ila shoga nae alizidi kuiba waume za watu , khaa, halafu alikua anajisifu kabisa kwa wake aliowaibia waume kuwa yeye ni mtamu, kama kweli karogwa watakua wamemnyoosha kisawa Sawa.View attachment 1430162
Sent from my iPhone using JamiiForums
Officialbatuliactress
Ukiona hvyo ujue pia Hana Tabia Halali
Hilo Toto Kuna Movie moja ya Kanumba aliicheza inaitwa Fake smile noma adse...Toto zuri toka kitamboView attachment 1431150
Baada ya kuona hii picha sijapata ugumu wa kuamini maneno yako mkuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] wacha mafisi walogwe tu hamna namna.
Hebu ongezea nyama hapa Kuna vitu umeviacha [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Ila batuli nili zuri sana!!sijuii kwanini watu wakipiga wanakimbia na sikia hata mwenye mkoa wake alimpangia kabisa!!baadaye akagundua analea yule mwanamziki wa mkubwa na wakubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilisikia Kajala nae mwenye mkoa wake kala sana na ndio maana Steve Nyerere yupo nae karibu sana,kwa ajili ya kumletea mizigo.Ila batuli nili zuri sana!!sijuii kwanini watu wakipiga wanakimbia na sikia hata mwenye mkoa wake alimpangia kabisa!!baadaye akagundua analea yule mwanamziki wa mkubwa na wakubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kajala ni quite true alimpangia hadi ofisi mkuu ,karibu walogane na masogange ,maso akaona siyo poa ndo kukimbilia makongo kule!Nilisikia Kajala nae mwenye mkoa wake kala sana na ndio maana Steve Nyerere yupo nae karibu sana,kwa ajili ya kumletea mizigo.
Mkuu watu wasiojulikana nawaogopa ha haHebu ongezea nyama hapa Kuna vitu umeviacha [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
One love
Duu kumbe Mwenye mkoa wake kapiga mpaka Masogange hili toto Maso ndio lilikuwa hatari.Ila bongo movie siku akitokea mtu katiri,ana hela,ana ngoma yaani anaweza akawaambukiza mademu wote wa bongo movies,wengi wanatamaa njaa kali,alafu wanapenda maisha ya gharama wakati mifukoni hawana kitu.Kajala ni quite true alimpangia hadi ofisi mkuu ,karibu walogane na masogange ,maso akaona siyo poa ndo kukimbilia makongo kule!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ivi mume anaibwaje kwa mfano.