Tetesi: Msanii wa Bongo Movie, Batuli lamkuta jambo, augua ghafla na kukimbizwa hospitalini

Tetesi: Msanii wa Bongo Movie, Batuli lamkuta jambo, augua ghafla na kukimbizwa hospitalini

Ila huyu dada asikwambie mtu ni lizuri kinoma...siku moja nimeliona kazini nilivurugwa kabisa..halafu lilikua linatabasamu...
images.jpeg

Baada ya kuona hii picha sijapata ugumu wa kuamini maneno yako mkuu 🤣🤣🤣 wacha mafisi walogwe tu hamna namna.
 

Attachments

  • images.jpeg
    images.jpeg
    21.9 KB · Views: 5
  • images.jpeg
    images.jpeg
    21.9 KB · Views: 5
Wanazengo wanasema bibie ni mwalimu wa kuiba waume za watu , Na nasikia akimpata mume wako anamroga mpaka basi , yani bingwa wa kuiba waume za watu na ni mchawi kupitiliza.

Umbea unaozagaa kwa sasa, Kuwa Msanii huyo aliingia kwenye himaya ya watu , na mke wa mwanaume aliyemuiba hakukubali na kuakikisha anampiga zongo la maana.

Nasikia hali ya Batuli hivi sasa sio nzuri, anashinda hospital toka juzi , huku ndugu zake wakihangaika ni kitu gani kinamsumbua, wanazengo wanasema karogwa vibaya na hali yake sio nzuri kabisa, Kwani anashinda akipiga makelele kama mamajusi wa mashariki.

Jamani isije tu ikawa Corona nyie mnasema karogwa.

Ila shoga nae alizidi kuiba waume za watu , khaa, halafu alikua anajisifu kabisa kwa wake aliowaibia waume kuwa yeye ni mtamu, kama kweli karogwa watakua wamemnyoosha kisawa Sawa.View attachment 1430162



Sent from my iPhone using JamiiForums
"akipiga makelele kama mamajusi wa mashariki."

umbea ni kipaji maana unavyoleta habari kwa mbwembwe utafikiri unatoa habari ya sherehe kumbe matatizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kajala ni quite true alimpangia hadi ofisi mkuu ,karibu walogane na masogange ,maso akaona siyo poa ndo kukimbilia makongo kule!

Sent using Jamii Forums mobile app
Duu kumbe Mwenye mkoa wake kapiga mpaka Masogange hili toto Maso ndio lilikuwa hatari.Ila bongo movie siku akitokea mtu katiri,ana hela,ana ngoma yaani anaweza akawaambukiza mademu wote wa bongo movies,wengi wanatamaa njaa kali,alafu wanapenda maisha ya gharama wakati mifukoni hawana kitu.
 
Ivi mume anaibwaje kwa mfano.


Ni hivi, si unaona wewe hapo ulipo....unakuja kujigonga kwangu kisha mimi naingia kingi nakuomba andazi, nawe unanipa bila ubishi ukijuwa umelifukizia madawa. Nikikuingia tu nanaswa na ninakupa urithi wa nyumba zangu nawe unatajirisha familia yako huku nami nikimsusa mke wangu na watoto. Umeshaelewa mpaka hapo, Kina Mama mnafanya sana haya haswa mademu wa Kichagga na Kipare, nashangaa wewe Mchagga wa wapi hujuwi hili.
 
Back
Top Bottom