Tetesi: Msanii wa Bongo Movie, Batuli lamkuta jambo, augua ghafla na kukimbizwa hospitalini

Tetesi: Msanii wa Bongo Movie, Batuli lamkuta jambo, augua ghafla na kukimbizwa hospitalini

Hahahahahah Basi uncle Pasco itabidi upewe tuzo ya uvumilivu .

Ila sipati picha jinsi mate yalivyokuwa Yana kutoka 🤣🤣

Batuli ni zile pisi za mjini anaepumzika hapo apewe sifa

Asap
Mkuu Masigazi, mimi mwalimu wake unanilaumu kwa lipi badala ya kunipongeza?!, yaani just imagine mtu unafundisha kitu kama hiki
View attachment 1438512View attachment 1438513View attachment 1438514View attachment 1438515View attachment 1438516View attachment 1438517View attachment 1438518View attachment 1438519View attachment 1438520
Yaani wewe ni mwalimu kazi yako ni kumfundisha tuu huyu dada utangazaji, halafu na wewe pia ni binaadamu, unamfundisha tuu huku unavumilia bila hata.. !
P
 
Hahahahahah Basi uncle Pasco itabidi upewe tuzo ya uvumilivu .
Ila sipati picha jinsi mate yalivyokuwa Yana kutoka
Batuli ni zile pisi za mjini anaepumzika hapo apewe sifa
Asap
Mkuu Masigazi, kiukweli namshukuru sana Mungu,
sisi wengine tumejaaliwa, kula kwa macho tuu na kutosheka bila mate kutoka.
P
 
Wanazengo wanasema bibie ni mwalimu wa kuiba waume za watu , Na nasikia akimpata mume wako anamroga mpaka basi , yani bingwa wa kuiba waume za watu na ni mchawi kupitiliza.

Umbea unaozagaa kwa sasa, Kuwa Msanii huyo aliingia kwenye himaya ya watu , na mke wa mwanaume aliyemuiba hakukubali na kuakikisha anampiga zongo la maana.

Nasikia hali ya Batuli hivi sasa sio nzuri, anashinda hospital toka juzi , huku ndugu zake wakihangaika ni kitu gani kinamsumbua, wanazengo wanasema karogwa vibaya na hali yake sio nzuri kabisa, Kwani anashinda akipiga makelele kama mamajusi wa mashariki.

Jamani isije tu ikawa Corona nyie mnasema karogwa.

Ila shoga nae alizidi kuiba waume za watu , khaa, halafu alikua anajisifu kabisa kwa wake aliowaibia waume kuwa yeye ni mtamu, kama kweli karogwa watakua wamemnyoosha kisawa Sawa.View attachment 1430162



Sent from my iPhone using JamiiForums

Hivi huyu naye ni bongo. movie.mbona simfahamu
 
Wivu huo vepee binamu aii mxieew , tusiseme ukwel Sasa? Kama anajiona mzuri si angeolewa aache kusumbua ndoa za watu , wanaume wanaishia kumchezea tu na kurudi kwa wanwake zao, yan na uzuri wote na kuroga kote n bado mume hana , Kweli Mungu hakupi kila kitu


Sent from my iPhone using JamiiForums
Itakuwa Mungu kampa vyakutosha lakini kamnyima tabia njema [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wivu huo vepee binamu aii mxieew , tusiseme ukwel Sasa? Kama anajiona mzuri si angeolewa aache kusumbua ndoa za watu , wanaume wanaishia kumchezea tu na kurudi kwa wanwake zao, yan na uzuri wote na kuroga kote n bado mume hana , Kweli Mungu hakupi kila kitu


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hajioni mzuri huyo demu ni chuma kikali tena kwenye picha kama mbaya hivi!!na hapo kazaa watoto 2

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi aliwahi kuolewa Kuna picha niliona amepostiwa binti mkubwa anaweza kuwa wa batuli Ila huwa ana mficha huyo binti aweza kuwa secondary hivi, Nika wonder why anafichaga watoto wake

Sent using Jamii Forums mobile app
Amewahi kuoelewa. Ndio mbona huwa ana wapost sema huwa ana mpost wakiume sana!!bonge hivi ana kama 12yrs

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani kurogwa shilingi ngapi? Maana kuna wengine tunataka akaturoge
IMG_20200505_154539.jpeg
IMG_20200505_154525.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom