mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Kings wanapewa sh ngapi?
King's boss wao hana shida ya pesa wala mali,yeye hua mpk anaishi na wasanii wake wote pale kwake mpk mkewe akamkimbia.
Yote haya kuonyesha yuko humble na kumbuka HAPENDI KUJIONYESHA KABISA
Na pengine hujui isingekua Corona alikua amepewa mualiko yeye peke yake kwenda kuimba siku Liverpool inakabidhiwa Kombe kule Anfield,Yooooooo.