Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Kwa hiyo kujitangaza ndio kulimpa ushindi? Kwa nini Jecha asimtangaze tu Shein kuwa mshindi? Serikali yote si ingemlinda ili haki ifanyike?Seif kwa nini aliamua kujitangaza wakati anajua hiyo ni kazi ya tume? Kama hakuwa na agenda ya siri kiherehere kilikuwa cha nini? Kama lengo halikuwa kuvuruga uchaguzi?
Aliyevuruga uchaguzi ni Seif sio Jecha
Ingeleta vurugu mtu akikosea unampa ontoKwa hiyo kujitangaza ndio kulimpa ushindi? Kwa nini Jecha asimtangaze tu Shein kuwa mshindi? Serikali yote si ingemlinda ili haki ifanyike?
Amandla...
Uchaguzi ulioisha na kura zishahesabiwa unavurugwaje ?Seif kwa nini aliamua kujitangaza wakati anajua hiyo ni kazi ya tume? Kama hakuwa na agenda ya siri kiherehere kilikuwa cha nini? Kama lengo halikuwa kuvuruga uchaguzi?
Aliyevuruga uchaguzi ni Seif sio Jecha
Unavurugwa na mgombea kujitangaza kabla ya tume kumtangaza kama sheria itakavyoUchaguzi ulioisha na kura zishahesabiwa unavurugwaje ?
unasema biashara za MATAJIRI zinaanza kuamka hebu tuambie ni nani aliyezilaza a.k.a KUFA.Shikwambi
Shinda kwa Mbinu ( Shikwambi)
Ile ya 2020 ni cha mtoto, 2025 mtapigwa Shikwambi ambayo haijawahi kutokea na hii Itakuwa Massive landslide Victory kwa Rais Samia
Mama atashinda kabla hata ya tarehe ya uchaguzi, Ndani ya miezi kadhaa Mama ameshashawishi wahisani wengi na hata biashara za matajiri zina anza kuamka
Tuliwaeleza mwaka 2020 matumizi ya Shikwambi mkatukana hapa JF, Yaliyotokea kwenye uchaguzi mliyaona
2025 hata neno Chadema huta lisikia hapa Tanzania
Mimi mwenyewe najitokeza Front line lazima Mama ashinde.
Huoni ujenzi umeanza tena mitaani kwa kasi ya ajabu na watu sasa wanakula starehe sana
Nipo Dar hapa kwa muda toka Dodoma Hakika sasa watu wanakarabati sehemu zao za starehe kwa kasi sana na hayo ndio yanaonyesha pesa inazunguka kwa kasi sana
Tegemea matumizi ya Shikwambi zaidi 2025
Hakuna wa kukutetea maishani mwako, Jibebe na ujitetee mwenyewe, Kila mtu ana matatizo yake na ana familia yake inayomtegemea, Wewe nani tukuruhusu ukate mirija ya watu ya shibe na chakula kisa uchaguzi
Uchaguzi ni neno tu linalotumika kuonyesha kuna Demokrasia sio Tanzania tu hata baadhi ya nchi ulaya na Asia hakuna uchaguzi wa Demokrasia hata marekani wenyewe aina ya uchaguzi wao wa majimbo ni wa kidikiteta sana, Kuna majimbo yamepewa electro vote nyingi sana Marekani na mengine electro vote kiduchu sana,
Kama unategemea ushindi wa spoon feeding sahau mkuu, Utapigwa Shikwambi na hata hutaamini kama kweli akina Mama sasa wanaweza 2025 na neno Chadema hutalisikia bali litabaki kwenye kumbukumbu za kitabu cha gnesisi kuwa kilikuwa chama cha siasa Tanzania kilichojifia chenyewe kabla ya uchaguzi 2025
Kwa hiyo unatuambia uchaguzi ulifutwa kwa sababu Jecha hakutaka kumtangaza Shein kuwa mshindi?Ingeleta vurugu mtu akikosea unampa onto
Jecha alitumia hekima kubwa mno kilikuwa kawaida Vinginevyo Zanzibar ingetumbulia vitani
Akasema isiwe kesi umekosea Seif ubinadamu uchaguzi urudiwe hao waliokupa mursi wapowatakupa kura tena ila usijitangaze subiri tume
Mzee msekwa naye kwa nini asiongee na mzee mwenzie Jecha? Apumzike alee wajukui kama Jana alee yatima au watoto wa nduguzake Wachovu kimaisha siasa aache
Hapa sasa tunazidikudanganyana wenyewe kama watoto wadogo Jecha afute uchaguzi kwa mamlaka yake mwenyewe pasipokupewa maelekezo na wenye dola halafu wenye dola wakae kimya pasipo kumshughurikia?.Pius Msekwa is very right, hapa anamzungumzia aliyetangaza kufuta uchaguzi na sio hisia. Hakuna ushahidi wowote wa Jecha kutumwa na yeyote au kushirikiana na yeyote, alipotangaza kufuta uchaguzi Jecha alikuwa yeye peke yake.
Hoja ya Msekwa ni kwamba Jecha, japo alikuwa Mwenyekiti wa ZEC, hakuwa na mamlaka ya kufuta uchaguzi. Mtu asiye na mamlaka ya kufanya jambo fulani halafu akaachwa anaangaliwa tuu na kweli ukafutika, ni jambo la ajabu sana.
Hili jambo hata mimi nililizungumzia sana humu
Zanzibar: Kama Maalim Kajitangazia Ushindi, kwa nini hajashitakiwa? Jecha Kapata Wapi Mamlaka ile?
Wanabodi, Natafakari kidogo hali ya Zanzibar!. Kujitangazia matokeo ni kosa la jinai!, kama ni kweli Maalim Seif, amejitangazia ushindi, kwa nini mpaka sasa hajashitakiwa? Na kilichofanywa na M/Kiti wa ZEK kuufuta uchaguzi ni kinyume cha sheria! amepata wapi mamlaka hayo na kwa kutumia...www.jamiiforums.com Zanzibar Issue: Kwanini watu wanapiga kelele tu bila kuchukua hatua zozote
Wanabodi, tangu kufutwa kwa matokeo halali ya uchaguzi mkuu wa Zanzibar wa October, 25, kila siku tumekuwa tukishuhudia watu wakipiga makelele tuu ya kulalamika lakini hakuna yoyote anayechukua hatua stahiki!. Maalim Seif analalamika!, Mbowe analalamika!, Mbatia analalamika!, wanasheria...www.jamiiforums.com Kuna haja ya kuhofia kurudiwa Uchaguzi Zanzibar?
Wanabodi, Preamble: Mimi ni mwana fasihi, hapa nimetumia tamathali za semi, kwa kubakwa kwa demokrasia, na sio kubakwa kule kwa wale wenye mawazo machafu!. Hii ni thread ya swali!, "Jee Kubakwa na Kutulia Sio Kuridhia?!, Na Baada ya Kuridhia, Kuna Haja tena ya Kuhofia Kubakwa tena na tena na...www.jamiiforums.com
P
Tuna watu wa aina mbili, 1. Wishful thinkers 2. Realists. Wishful thinkers kazi yao ni ku asume kila kitu. Ma realists, they don't assume, wanasema kile kilichopo in reality na kilichotokea kweli, Jecha ndiye aliyetangaza kufuta uchaguzi, na alikuwa peke yake.Hapa sasa tunazidikudanganyana wenyewe kama watoto wadogo Jecha afute uchaguzi kwa mamlaka yake mwenyewe pasipokupewa maelekezo na wenye dola halafu wenye dola wakae kimya pasipo kumshughurikia?.
Halafu kudai ushahidi kwenye jambo kama hili ni sawa na kudai ushahidi jinsi jambazi alivyokuwa anapanga namna ya kwenda kupora fedha benki, wakati jambazi anapopanga mipango yake ya uporaji hakuna anayekuwepo kushuhudia zaidi ya majambazi wenzake na atakayejaribu kuvujisha siri hiyo hakuna adhabu nyingine anayopewa zaidi ya kuchapwa risasi kwa kuwa kosa la kuvujisha siri za mipango ya ujambazi ni sawa na kosa la muhaini anayefanya mipango ya kupindua nchi.
HAPO UMESEMA MIPANGO YENU YA KIBINADAMU. CHADEMA INA MIPANGO YAKE PIA NA KOMESHA ZAIDI MUNGU MUUMBA WA MBINGU NA NCHI ANA MIPANGO YAKE. SASA TUTAENDELEA KUTAKA MIPANGO NA MAPENZI YA MUNGU YANOGE.Shikwambi
Shinda kwa Mbinu ( Shikwambi)
Ile ya 2020 ni cha mtoto, 2025 mtapigwa Shikwambi ambayo haijawahi kutokea na hii Itakuwa Massive landslide Victory kwa Rais Samia
Mama atashinda kabla hata ya tarehe ya uchaguzi, Ndani ya miezi kadhaa Mama ameshashawishi wahisani wengi na hata biashara za matajiri zina anza kuamka
Tuliwaeleza mwaka 2020 matumizi ya Shikwambi mkatukana hapa JF, Yaliyotokea kwenye uchaguzi mliyaona
2025 hata neno Chadema huta lisikia hapa Tanzania
Mimi mwenyewe najitokeza Front line lazima Mama ashinde.
Huoni ujenzi umeanza tena mitaani kwa kasi ya ajabu na watu sasa wanakula starehe sana
Nipo Dar hapa kwa muda toka Dodoma Hakika sasa watu wanakarabati sehemu zao za starehe kwa kasi sana na hayo ndio yanaonyesha pesa inazunguka kwa kasi sana
Tegemea matumizi ya Shikwambi zaidi 2025
Hakuna wa kukutetea maishani mwako, Jibebe na ujitetee mwenyewe, Kila mtu ana matatizo yake na ana familia yake inayomtegemea, Wewe nani tukuruhusu ukate mirija ya watu ya shibe na chakula kisa uchaguzi
Uchaguzi ni neno tu linalotumika kuonyesha kuna Demokrasia sio Tanzania tu hata baadhi ya nchi ulaya na Asia hakuna uchaguzi wa Demokrasia hata marekani wenyewe aina ya uchaguzi wao wa majimbo ni wa kidikiteta sana, Kuna majimbo yamepewa electro vote nyingi sana Marekani na mengine electro vote kiduchu sana,
Kama unategemea ushindi wa spoon feeding sahau mkuu, Utapigwa Shikwambi na hata hutaamini kama kweli akina Mama sasa wanaweza 2025 na neno Chadema hutalisikia bali litabaki kwenye kumbukumbu za kitabu cha gnesisi kuwa kilikuwa chama cha siasa Tanzania kilichojifia chenyewe kabla ya uchaguzi 2025
Tuna watu wa aina mbili, 1. Wishful thinkers 2. Realists. Wishful thinkers kazi yao ni ku asume kila kitu. Ma realists, they don't assume, wanasema kile kilichopo in reality na kilichotokea kweli, Jecha ndiye aliyetangaza kufuta uchaguzi, na alikuwa peke yake.
P
Utafaidika nini wewe?Shikwambi
Shinda kwa Mbinu ( Shikwambi)
Ile ya 2020 ni cha mtoto, 2025 mtapigwa Shikwambi ambayo haijawahi kutokea na hii Itakuwa Massive landslide Victory kwa Rais Samia
Mama atashinda kabla hata ya tarehe ya uchaguzi, Ndani ya miezi kadhaa Mama ameshashawishi wahisani wengi na hata biashara za matajiri zina anza kuamka
Tuliwaeleza mwaka 2020 matumizi ya Shikwambi mkatukana hapa JF, Yaliyotokea kwenye uchaguzi mliyaona
2025 hata neno Chadema huta lisikia hapa Tanzania
Mimi mwenyewe najitokeza Front line lazima Mama ashinde.
Huoni ujenzi umeanza tena mitaani kwa kasi ya ajabu na watu sasa wanakula starehe sana
Nipo Dar hapa kwa muda toka Dodoma Hakika sasa watu wanakarabati sehemu zao za starehe kwa kasi sana na hayo ndio yanaonyesha pesa inazunguka kwa kasi sana
Tegemea matumizi ya Shikwambi zaidi 2025
Hakuna wa kukutetea maishani mwako, Jibebe na ujitetee mwenyewe, Kila mtu ana matatizo yake na ana familia yake inayomtegemea, Wewe nani tukuruhusu ukate mirija ya watu ya shibe na chakula kisa uchaguzi
Uchaguzi ni neno tu linalotumika kuonyesha kuna Demokrasia sio Tanzania tu hata baadhi ya nchi ulaya na Asia hakuna uchaguzi wa Demokrasia hata marekani wenyewe aina ya uchaguzi wao wa majimbo ni wa kidikiteta sana, Kuna majimbo yamepewa electro vote nyingi sana Marekani na mengine electro vote kiduchu sana,
Kama unategemea ushindi wa spoon feeding sahau mkuu, Utapigwa Shikwambi na hata hutaamini kama kweli akina Mama sasa wanaweza 2025 na neno Chadema hutalisikia bali litabaki kwenye kumbukumbu za kitabu cha gnesisi kuwa kilikuwa chama cha siasa Tanzania kilichojifia chenyewe kabla ya uchaguzi 2025
Tuna watu wa aina mbili, 1. Wishful thinkers 2. Realists. Wishful thinkers kazi yao ni ku asume kila kitu. Ma realists, they don't assume, wanasema kile kilichopo in reality na kilichotokea kweli, Jecha ndiye aliyetangaza kufuta uchaguzi, na alikuwa peke yake.
P
Una matatizo wewe.Wote tunafahamu kwamba Salum Jecha alifuta matokeo ya Urais ya 2015 baada ya Mgombea wa chama chake CCM aliyeitwa Mohamed Shein kuangushwa kwa kishindo na Gwiji Maalim Seif, huu ndio ukweli na ndivyo dunia inavyofahamu .
Salum Jecha alifuta uchaguzi ule kwa Maelekezo ya CCM, hii maana yake ni kwamba Jecha alishirikiana na ccm kufuta uchaguzi wote wa Urais kwa lengo la kuokoa chama chake baada ya Mgombea wao kuangukia pua, ikumbumbukwe kwamba Jecha ni Mwanaccm hai aliyeshiriki chaguzi za ubunge na Urais za chama hicho kama Mgombea.
Kabla ya tangazo la kufutwa kwa uchaguzi wa 2015 vyombo vya usalama vilisambazwa mitaani ili kukabiliana na watakaopinga , hii maana yake ni kwamba kulikuwa na ushirikiano kati ya Vyombo vya dola, CCM na Jecha, Sitaki kuamini kama Pius Msekwa alikuwa hayajui haya, kiasi cha kusema JECHA ALIFUTA UCHAGUZI PEKE YAKE, hapa amelenga kupotosha umma , hawa wazee wakiachwa kuendelea kupotosha watatuona sisi vijana wa kileo ni mabwege, nampinga vibaya sana huyu Mzee.
Ni kweli kwamba Jecha ndiye aliyetangaza kufutwa kwa uchaguzi ule kwa vile alikuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ule, lakini alitumwa kufanya vile na chama chake, hakuwa peke yake, Mzee Msekwa aseme ukweli ili aendelee kuheshimiwa.
Hivi huwa kwanini hawa viongozi wastaafu huwa wanatoa kauli zinazo pingana na waliyoyafanya wakiwa kwenye nafasi za utawala?!Wote tunafahamu kwamba Salum Jecha alifuta matokeo ya Urais ya 2015 baada ya Mgombea wa chama chake CCM aliyeitwa Mohamed Shein kuangushwa kwa kishindo na Gwiji Maalim Seif, huu ndio ukweli na ndivyo dunia inavyofahamu .
Salum Jecha alifuta uchaguzi ule kwa Maelekezo ya CCM, hii maana yake ni kwamba Jecha alishirikiana na ccm kufuta uchaguzi wote wa Urais kwa lengo la kuokoa chama chake baada ya Mgombea wao kuangukia pua, ikumbumbukwe kwamba Jecha ni Mwanaccm hai aliyeshiriki chaguzi za ubunge na Urais za chama hicho kama Mgombea.
Kabla ya tangazo la kufutwa kwa uchaguzi wa 2015 vyombo vya usalama vilisambazwa mitaani ili kukabiliana na watakaopinga , hii maana yake ni kwamba kulikuwa na ushirikiano kati ya Vyombo vya dola, CCM na Jecha, Sitaki kuamini kama Pius Msekwa alikuwa hayajui haya, kiasi cha kusema JECHA ALIFUTA UCHAGUZI PEKE YAKE, hapa amelenga kupotosha umma , hawa wazee wakiachwa kuendelea kupotosha watatuona sisi vijana wa kileo ni mabwege, nampinga vibaya sana huyu Mzee.
Ni kweli kwamba Jecha ndiye aliyetangaza kufutwa kwa uchaguzi ule kwa vile alikuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ule, lakini alitumwa kufanya vile na chama chake, hakuwa peke yake, Mzee Msekwa aseme ukweli ili aendelee kuheshimiwa.
Mkuu JokaKuu, mtendee haki Pius Msekwa, usimuite muongo!. Jecha alikuwa Live on ZBC toka hoteli ya Bwawani na ZEC, wakitangaza matokeo kadri wanavyopokea, kisha Jecha akaamka peke yake, akatoka bila kuaga wenzie ZEC...mzee msekwa angekuwa anahojiwa na waandishi wa habari ambao wanaijua kazi yao asingeweza kuchomoka ktk uwongo wake.
Una ka-umalaya fulani hivi.Mungu akuepushe na uduwanzi wako.Shikwambi
Shinda kwa Mbinu ( Shikwambi)
Ile ya 2020 ni cha mtoto, 2025 mtapigwa Shikwambi ambayo haijawahi kutokea na hii Itakuwa Massive landslide Victory kwa Rais Samia
Mama atashinda kabla hata ya tarehe ya uchaguzi, Ndani ya miezi kadhaa Mama ameshashawishi wahisani wengi na hata biashara za matajiri zina anza kuamka
Tuliwaeleza mwaka 2020 matumizi ya Shikwambi mkatukana hapa JF, Yaliyotokea kwenye uchaguzi mliyaona
2025 hata neno Chadema huta lisikia hapa Tanzania
Mimi mwenyewe najitokeza Front line lazima Mama ashinde.
Huoni ujenzi umeanza tena mitaani kwa kasi ya ajabu na watu sasa wanakula starehe sana
Nipo Dar hapa kwa muda toka Dodoma Hakika sasa watu wanakarabati sehemu zao za starehe kwa kasi sana na hayo ndio yanaonyesha pesa inazunguka kwa kasi sana
Tegemea matumizi ya Shikwambi zaidi 2025
Hakuna wa kukutetea maishani mwako, Jibebe na ujitetee mwenyewe, Kila mtu ana matatizo yake na ana familia yake inayomtegemea, Wewe nani tukuruhusu ukate mirija ya watu ya shibe na chakula kisa uchaguzi
Uchaguzi ni neno tu linalotumika kuonyesha kuna Demokrasia sio Tanzania tu hata baadhi ya nchi ulaya na Asia hakuna uchaguzi wa Demokrasia hata marekani wenyewe aina ya uchaguzi wao wa majimbo ni wa kidikiteta sana, Kuna majimbo yamepewa electro vote nyingi sana Marekani na mengine electro vote kiduchu sana,
Kama unategemea ushindi wa spoon feeding sahau mkuu, Utapigwa Shikwambi na hata hutaamini kama kweli akina Mama sasa wanaweza 2025 na neno Chadema hutalisikia bali litabaki kwenye kumbukumbu za kitabu cha gnesisi kuwa kilikuwa chama cha siasa Tanzania kilichojifia chenyewe kabla ya uchaguzi 2025
Kama ni suala la kutangaza alitangaza akiwa peke yake kwa kutumia mdomo wake, lakini alitangaza kile alichotakiwa kukifanya na wenye dola.Tuna watu wa aina mbili, 1. Wishful thinkers 2. Realists. Wishful thinkers kazi yao ni ku asume kila kitu. Ma realists, they don't assume, wanasema kile kilichopo in reality na kilichotokea kweli, Jecha ndiye aliyetangaza kufuta uchaguzi, na alikuwa peke yake.
P