Msekwa kudai kwamba Salum Jecha alifuta uchaguzi wa 2015 peke yake ni Uongo

Msekwa kudai kwamba Salum Jecha alifuta uchaguzi wa 2015 peke yake ni Uongo

Seif kwa nini aliamua kujitangaza wakati anajua hiyo ni kazi ya tume? Kama hakuwa na agenda ya siri kiherehere kilikuwa cha nini? Kama lengo halikuwa kuvuruga uchaguzi?

Aliyevuruga uchaguzi ni Seif sio Jecha
Kwa hiyo kujitangaza ndio kulimpa ushindi? Kwa nini Jecha asimtangaze tu Shein kuwa mshindi? Serikali yote si ingemlinda ili haki ifanyike?

Amandla...
 
Kwa hiyo kujitangaza ndio kulimpa ushindi? Kwa nini Jecha asimtangaze tu Shein kuwa mshindi? Serikali yote si ingemlinda ili haki ifanyike?

Amandla...
Ingeleta vurugu mtu akikosea unampa onto
Jecha alitumia hekima kubwa mno kilikuwa kawaida Vinginevyo Zanzibar ingetumbulia vitani
Akasema isiwe kesi umekosea Seif ubinadamu uchaguzi urudiwe hao waliokupa mursi wapowatakupa kura tena ila usijitangaze subiri tume

Mzee msekwa naye kwa nini asiongee na mzee mwenzie Jecha? Apumzike alee wajukui kama Jana alee yatima au watoto wa nduguzake Wachovu kimaisha siasa aache
 
Seif kwa nini aliamua kujitangaza wakati anajua hiyo ni kazi ya tume? Kama hakuwa na agenda ya siri kiherehere kilikuwa cha nini? Kama lengo halikuwa kuvuruga uchaguzi?

Aliyevuruga uchaguzi ni Seif sio Jecha
Uchaguzi ulioisha na kura zishahesabiwa unavurugwaje ?
 
Shikwambi

Shinda kwa Mbinu ( Shikwambi)

Ile ya 2020 ni cha mtoto, 2025 mtapigwa Shikwambi ambayo haijawahi kutokea na hii Itakuwa Massive landslide Victory kwa Rais Samia

Mama atashinda kabla hata ya tarehe ya uchaguzi, Ndani ya miezi kadhaa Mama ameshashawishi wahisani wengi na hata biashara za matajiri zina anza kuamka

Tuliwaeleza mwaka 2020 matumizi ya Shikwambi mkatukana hapa JF, Yaliyotokea kwenye uchaguzi mliyaona

2025 hata neno Chadema huta lisikia hapa Tanzania

Mimi mwenyewe najitokeza Front line lazima Mama ashinde.

Huoni ujenzi umeanza tena mitaani kwa kasi ya ajabu na watu sasa wanakula starehe sana

Nipo Dar hapa kwa muda toka Dodoma Hakika sasa watu wanakarabati sehemu zao za starehe kwa kasi sana na hayo ndio yanaonyesha pesa inazunguka kwa kasi sana

Tegemea matumizi ya Shikwambi zaidi 2025

Hakuna wa kukutetea maishani mwako, Jibebe na ujitetee mwenyewe, Kila mtu ana matatizo yake na ana familia yake inayomtegemea, Wewe nani tukuruhusu ukate mirija ya watu ya shibe na chakula kisa uchaguzi

Uchaguzi ni neno tu linalotumika kuonyesha kuna Demokrasia sio Tanzania tu hata baadhi ya nchi ulaya na Asia hakuna uchaguzi wa Demokrasia hata marekani wenyewe aina ya uchaguzi wao wa majimbo ni wa kidikiteta sana, Kuna majimbo yamepewa electro vote nyingi sana Marekani na mengine electro vote kiduchu sana,

Kama unategemea ushindi wa spoon feeding sahau mkuu, Utapigwa Shikwambi na hata hutaamini kama kweli akina Mama sasa wanaweza 2025 na neno Chadema hutalisikia bali litabaki kwenye kumbukumbu za kitabu cha gnesisi kuwa kilikuwa chama cha siasa Tanzania kilichojifia chenyewe kabla ya uchaguzi 2025
unasema biashara za MATAJIRI zinaanza kuamka hebu tuambie ni nani aliyezilaza a.k.a KUFA.
 
Ingeleta vurugu mtu akikosea unampa onto
Jecha alitumia hekima kubwa mno kilikuwa kawaida Vinginevyo Zanzibar ingetumbulia vitani
Akasema isiwe kesi umekosea Seif ubinadamu uchaguzi urudiwe hao waliokupa mursi wapowatakupa kura tena ila usijitangaze subiri tume

Mzee msekwa naye kwa nini asiongee na mzee mwenzie Jecha? Apumzike alee wajukui kama Jana alee yatima au watoto wa nduguzake Wachovu kimaisha siasa aache
Kwa hiyo unatuambia uchaguzi ulifutwa kwa sababu Jecha hakutaka kumtangaza Shein kuwa mshindi?

Amandla...
 
Hiyo ndio tume iliyokua ikiongozwa na kada wa CCM aliyekuja kutaka kugombea urais miaka 5 baadaye .

Ni mtu mjinga ndio ataamini matokeo ya tume za uchaguzi za Tanzania
 
Pius Msekwa is very right, hapa anamzungumzia aliyetangaza kufuta uchaguzi na sio hisia. Hakuna ushahidi wowote wa Jecha kutumwa na yeyote au kushirikiana na yeyote, alipotangaza kufuta uchaguzi Jecha alikuwa yeye peke yake.

Hoja ya Msekwa ni kwamba Jecha, japo alikuwa Mwenyekiti wa ZEC, hakuwa na mamlaka ya kufuta uchaguzi. Mtu asiye na mamlaka ya kufanya jambo fulani halafu akaachwa anaangaliwa tuu na kweli ukafutika, ni jambo la ajabu sana.

Hili jambo hata mimi nililizungumzia sana humu

P
Hapa sasa tunazidikudanganyana wenyewe kama watoto wadogo Jecha afute uchaguzi kwa mamlaka yake mwenyewe pasipokupewa maelekezo na wenye dola halafu wenye dola wakae kimya pasipo kumshughurikia?.

Halafu kudai ushahidi kwenye jambo kama hili ni sawa na kudai ushahidi jinsi jambazi alivyokuwa anapanga namna ya kwenda kupora fedha benki, wakati jambazi anapopanga mipango yake ya uporaji hakuna anayekuwepo kushuhudia zaidi ya majambazi wenzake na atakayejaribu kuvujisha siri hiyo hakuna adhabu nyingine anayopewa zaidi ya kuchapwa risasi kwa kuwa kosa la kuvujisha siri za mipango ya ujambazi ni sawa na kosa la muhaini anayefanya mipango ya kupindua nchi.
 
Hapa sasa tunazidikudanganyana wenyewe kama watoto wadogo Jecha afute uchaguzi kwa mamlaka yake mwenyewe pasipokupewa maelekezo na wenye dola halafu wenye dola wakae kimya pasipo kumshughurikia?.

Halafu kudai ushahidi kwenye jambo kama hili ni sawa na kudai ushahidi jinsi jambazi alivyokuwa anapanga namna ya kwenda kupora fedha benki, wakati jambazi anapopanga mipango yake ya uporaji hakuna anayekuwepo kushuhudia zaidi ya majambazi wenzake na atakayejaribu kuvujisha siri hiyo hakuna adhabu nyingine anayopewa zaidi ya kuchapwa risasi kwa kuwa kosa la kuvujisha siri za mipango ya ujambazi ni sawa na kosa la muhaini anayefanya mipango ya kupindua nchi.
Tuna watu wa aina mbili, 1. Wishful thinkers 2. Realists. Wishful thinkers kazi yao ni ku asume kila kitu. Ma realists, they don't assume, wanasema kile kilichopo in reality na kilichotokea kweli, Jecha ndiye aliyetangaza kufuta uchaguzi, na alikuwa peke yake.
P
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Mkuu Pasco wana jina lao hao wenye ku assume kila jambo.Wanaitwa Presumptuous.
Wao hawana reality thinking kazi yao ni assuming tu kwani huhitaji kufikiri.
 
Shikwambi

Shinda kwa Mbinu ( Shikwambi)

Ile ya 2020 ni cha mtoto, 2025 mtapigwa Shikwambi ambayo haijawahi kutokea na hii Itakuwa Massive landslide Victory kwa Rais Samia

Mama atashinda kabla hata ya tarehe ya uchaguzi, Ndani ya miezi kadhaa Mama ameshashawishi wahisani wengi na hata biashara za matajiri zina anza kuamka

Tuliwaeleza mwaka 2020 matumizi ya Shikwambi mkatukana hapa JF, Yaliyotokea kwenye uchaguzi mliyaona

2025 hata neno Chadema huta lisikia hapa Tanzania

Mimi mwenyewe najitokeza Front line lazima Mama ashinde.

Huoni ujenzi umeanza tena mitaani kwa kasi ya ajabu na watu sasa wanakula starehe sana

Nipo Dar hapa kwa muda toka Dodoma Hakika sasa watu wanakarabati sehemu zao za starehe kwa kasi sana na hayo ndio yanaonyesha pesa inazunguka kwa kasi sana

Tegemea matumizi ya Shikwambi zaidi 2025

Hakuna wa kukutetea maishani mwako, Jibebe na ujitetee mwenyewe, Kila mtu ana matatizo yake na ana familia yake inayomtegemea, Wewe nani tukuruhusu ukate mirija ya watu ya shibe na chakula kisa uchaguzi

Uchaguzi ni neno tu linalotumika kuonyesha kuna Demokrasia sio Tanzania tu hata baadhi ya nchi ulaya na Asia hakuna uchaguzi wa Demokrasia hata marekani wenyewe aina ya uchaguzi wao wa majimbo ni wa kidikiteta sana, Kuna majimbo yamepewa electro vote nyingi sana Marekani na mengine electro vote kiduchu sana,

Kama unategemea ushindi wa spoon feeding sahau mkuu, Utapigwa Shikwambi na hata hutaamini kama kweli akina Mama sasa wanaweza 2025 na neno Chadema hutalisikia bali litabaki kwenye kumbukumbu za kitabu cha gnesisi kuwa kilikuwa chama cha siasa Tanzania kilichojifia chenyewe kabla ya uchaguzi 2025
HAPO UMESEMA MIPANGO YENU YA KIBINADAMU. CHADEMA INA MIPANGO YAKE PIA NA KOMESHA ZAIDI MUNGU MUUMBA WA MBINGU NA NCHI ANA MIPANGO YAKE. SASA TUTAENDELEA KUTAKA MIPANGO NA MAPENZI YA MUNGU YANOGE.
 
KWAHIYO KILA TANGAZO LINALOTOLEWA NA MTANGAZAJI NI LA MTANGAZAJI!?
KUNA SIKU TUTAKUKUMBUSHA. IWE NI CCM AU WAPINZANI
Tuna watu wa aina mbili, 1. Wishful thinkers 2. Realists. Wishful thinkers kazi yao ni ku asume kila kitu. Ma realists, they don't assume, wanasema kile kilichopo in reality na kilichotokea kweli, Jecha ndiye aliyetangaza kufuta uchaguzi, na alikuwa peke yake.
P
 
Shikwambi

Shinda kwa Mbinu ( Shikwambi)

Ile ya 2020 ni cha mtoto, 2025 mtapigwa Shikwambi ambayo haijawahi kutokea na hii Itakuwa Massive landslide Victory kwa Rais Samia

Mama atashinda kabla hata ya tarehe ya uchaguzi, Ndani ya miezi kadhaa Mama ameshashawishi wahisani wengi na hata biashara za matajiri zina anza kuamka

Tuliwaeleza mwaka 2020 matumizi ya Shikwambi mkatukana hapa JF, Yaliyotokea kwenye uchaguzi mliyaona

2025 hata neno Chadema huta lisikia hapa Tanzania

Mimi mwenyewe najitokeza Front line lazima Mama ashinde.

Huoni ujenzi umeanza tena mitaani kwa kasi ya ajabu na watu sasa wanakula starehe sana

Nipo Dar hapa kwa muda toka Dodoma Hakika sasa watu wanakarabati sehemu zao za starehe kwa kasi sana na hayo ndio yanaonyesha pesa inazunguka kwa kasi sana

Tegemea matumizi ya Shikwambi zaidi 2025

Hakuna wa kukutetea maishani mwako, Jibebe na ujitetee mwenyewe, Kila mtu ana matatizo yake na ana familia yake inayomtegemea, Wewe nani tukuruhusu ukate mirija ya watu ya shibe na chakula kisa uchaguzi

Uchaguzi ni neno tu linalotumika kuonyesha kuna Demokrasia sio Tanzania tu hata baadhi ya nchi ulaya na Asia hakuna uchaguzi wa Demokrasia hata marekani wenyewe aina ya uchaguzi wao wa majimbo ni wa kidikiteta sana, Kuna majimbo yamepewa electro vote nyingi sana Marekani na mengine electro vote kiduchu sana,

Kama unategemea ushindi wa spoon feeding sahau mkuu, Utapigwa Shikwambi na hata hutaamini kama kweli akina Mama sasa wanaweza 2025 na neno Chadema hutalisikia bali litabaki kwenye kumbukumbu za kitabu cha gnesisi kuwa kilikuwa chama cha siasa Tanzania kilichojifia chenyewe kabla ya uchaguzi 2025
Utafaidika nini wewe?
 
Tuna watu wa aina mbili, 1. Wishful thinkers 2. Realists. Wishful thinkers kazi yao ni ku asume kila kitu. Ma realists, they don't assume, wanasema kile kilichopo in reality na kilichotokea kweli, Jecha ndiye aliyetangaza kufuta uchaguzi, na alikuwa peke yake.
P

..waliosimamia utekelezaji wa maagizo au maelekezo ya Jecha kufuta uchaguzi ndio tatizo kubwa zaidi.

..mzee msekwa alijaribu kumbebesha lawama zote Jecha, bila kuangalia kwamba kuna mamlaka au watu waliotekeleza maamuzi batili ya Jecha.

..Na waandishi wetu kama kawaida wakashindwa kumbana mzee msekwa kwa follow up questions kuhusu tuhuma zake dhidi ya Jecha.

..mzee msekwa angekuwa anahojiwa na waandishi wa habari ambao wanaijua kazi yao asingeweza kuchomoka ktk uongo wake.
 
Wote tunafahamu kwamba Salum Jecha alifuta matokeo ya Urais ya 2015 baada ya Mgombea wa chama chake CCM aliyeitwa Mohamed Shein kuangushwa kwa kishindo na Gwiji Maalim Seif, huu ndio ukweli na ndivyo dunia inavyofahamu .

Salum Jecha alifuta uchaguzi ule kwa Maelekezo ya CCM, hii maana yake ni kwamba Jecha alishirikiana na ccm kufuta uchaguzi wote wa Urais kwa lengo la kuokoa chama chake baada ya Mgombea wao kuangukia pua, ikumbumbukwe kwamba Jecha ni Mwanaccm hai aliyeshiriki chaguzi za ubunge na Urais za chama hicho kama Mgombea.

Kabla ya tangazo la kufutwa kwa uchaguzi wa 2015 vyombo vya usalama vilisambazwa mitaani ili kukabiliana na watakaopinga , hii maana yake ni kwamba kulikuwa na ushirikiano kati ya Vyombo vya dola, CCM na Jecha, Sitaki kuamini kama Pius Msekwa alikuwa hayajui haya, kiasi cha kusema JECHA ALIFUTA UCHAGUZI PEKE YAKE, hapa amelenga kupotosha umma , hawa wazee wakiachwa kuendelea kupotosha watatuona sisi vijana wa kileo ni mabwege, nampinga vibaya sana huyu Mzee.

Ni kweli kwamba Jecha ndiye aliyetangaza kufutwa kwa uchaguzi ule kwa vile alikuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ule, lakini alitumwa kufanya vile na chama chake, hakuwa peke yake, Mzee Msekwa aseme ukweli ili aendelee kuheshimiwa.
Una matatizo wewe.
 
Wote tunafahamu kwamba Salum Jecha alifuta matokeo ya Urais ya 2015 baada ya Mgombea wa chama chake CCM aliyeitwa Mohamed Shein kuangushwa kwa kishindo na Gwiji Maalim Seif, huu ndio ukweli na ndivyo dunia inavyofahamu .

Salum Jecha alifuta uchaguzi ule kwa Maelekezo ya CCM, hii maana yake ni kwamba Jecha alishirikiana na ccm kufuta uchaguzi wote wa Urais kwa lengo la kuokoa chama chake baada ya Mgombea wao kuangukia pua, ikumbumbukwe kwamba Jecha ni Mwanaccm hai aliyeshiriki chaguzi za ubunge na Urais za chama hicho kama Mgombea.

Kabla ya tangazo la kufutwa kwa uchaguzi wa 2015 vyombo vya usalama vilisambazwa mitaani ili kukabiliana na watakaopinga , hii maana yake ni kwamba kulikuwa na ushirikiano kati ya Vyombo vya dola, CCM na Jecha, Sitaki kuamini kama Pius Msekwa alikuwa hayajui haya, kiasi cha kusema JECHA ALIFUTA UCHAGUZI PEKE YAKE, hapa amelenga kupotosha umma , hawa wazee wakiachwa kuendelea kupotosha watatuona sisi vijana wa kileo ni mabwege, nampinga vibaya sana huyu Mzee.

Ni kweli kwamba Jecha ndiye aliyetangaza kufutwa kwa uchaguzi ule kwa vile alikuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ule, lakini alitumwa kufanya vile na chama chake, hakuwa peke yake, Mzee Msekwa aseme ukweli ili aendelee kuheshimiwa.
Hivi huwa kwanini hawa viongozi wastaafu huwa wanatoa kauli zinazo pingana na waliyoyafanya wakiwa kwenye nafasi za utawala?!
 
..mzee msekwa angekuwa anahojiwa na waandishi wa habari ambao wanaijua kazi yao asingeweza kuchomoka ktk uwongo wake.
Mkuu JokaKuu, mtendee haki Pius Msekwa, usimuite muongo!. Jecha alikuwa Live on ZBC toka hoteli ya Bwawani na ZEC, wakitangaza matokeo kadri wanavyopokea, kisha Jecha akaamka peke yake, akatoka bila kuaga wenzie ZEC.

Mara matangazo ya matokeo yakasitishwa kutokea Bwawani na kurejeshwa Studio za ZBC na ndipo Jecha akaibuka live akiwa peke yake, akatangaza kufuta uchaguzi.
Hivyo Msekwa is very very right, Jecha ametangaza kuufuta uchaguzi wa ZEC Zanzibar, lakini uchaguzi wa NEC Zanzibar haukufutwa na matokeo ya Uchaguzi wa NEC kwa Zanzibar, mgombea wa upinzani kwa upande wa Zanzibar, alimgalagaza vibaya mgombea wa CCM!.

Hivyo Jecha alitangaza mwenyewe.
P
 
Shikwambi

Shinda kwa Mbinu ( Shikwambi)

Ile ya 2020 ni cha mtoto, 2025 mtapigwa Shikwambi ambayo haijawahi kutokea na hii Itakuwa Massive landslide Victory kwa Rais Samia

Mama atashinda kabla hata ya tarehe ya uchaguzi, Ndani ya miezi kadhaa Mama ameshashawishi wahisani wengi na hata biashara za matajiri zina anza kuamka

Tuliwaeleza mwaka 2020 matumizi ya Shikwambi mkatukana hapa JF, Yaliyotokea kwenye uchaguzi mliyaona

2025 hata neno Chadema huta lisikia hapa Tanzania

Mimi mwenyewe najitokeza Front line lazima Mama ashinde.

Huoni ujenzi umeanza tena mitaani kwa kasi ya ajabu na watu sasa wanakula starehe sana

Nipo Dar hapa kwa muda toka Dodoma Hakika sasa watu wanakarabati sehemu zao za starehe kwa kasi sana na hayo ndio yanaonyesha pesa inazunguka kwa kasi sana

Tegemea matumizi ya Shikwambi zaidi 2025

Hakuna wa kukutetea maishani mwako, Jibebe na ujitetee mwenyewe, Kila mtu ana matatizo yake na ana familia yake inayomtegemea, Wewe nani tukuruhusu ukate mirija ya watu ya shibe na chakula kisa uchaguzi

Uchaguzi ni neno tu linalotumika kuonyesha kuna Demokrasia sio Tanzania tu hata baadhi ya nchi ulaya na Asia hakuna uchaguzi wa Demokrasia hata marekani wenyewe aina ya uchaguzi wao wa majimbo ni wa kidikiteta sana, Kuna majimbo yamepewa electro vote nyingi sana Marekani na mengine electro vote kiduchu sana,

Kama unategemea ushindi wa spoon feeding sahau mkuu, Utapigwa Shikwambi na hata hutaamini kama kweli akina Mama sasa wanaweza 2025 na neno Chadema hutalisikia bali litabaki kwenye kumbukumbu za kitabu cha gnesisi kuwa kilikuwa chama cha siasa Tanzania kilichojifia chenyewe kabla ya uchaguzi 2025
Una ka-umalaya fulani hivi.Mungu akuepushe na uduwanzi wako.
 
Tuna watu wa aina mbili, 1. Wishful thinkers 2. Realists. Wishful thinkers kazi yao ni ku asume kila kitu. Ma realists, they don't assume, wanasema kile kilichopo in reality na kilichotokea kweli, Jecha ndiye aliyetangaza kufuta uchaguzi, na alikuwa peke yake.
P
Kama ni suala la kutangaza alitangaza akiwa peke yake kwa kutumia mdomo wake, lakini alitangaza kile alichotakiwa kukifanya na wenye dola.
 
Back
Top Bottom