Msekwa: Membe siyo mtu maalumu, afuate tu taratibu

Na tena ni Membe huyu huyu wakati huo akiaminika kuwa na support ya Rais aliyekuwapo au tuseme na vigogo wakuu toka CC ya CCM mwaka 2015 na bado akiambulia nafasi ya mwisho katika wagombea wa5 toka CCM. akipitwa hata na Rose Migiro. Sasa leo ati awe tishio tena mbele ya Rais aliyeko madarakani? Vichekesho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…