Yaan CCM na serikali yake imtetemekee Membe , duh Hiki ni kituko cha Karne , Membe hata Mimi namkalisha Tu vile vile , Kwanza kitendo cha kumfukuza Membe ni kuwa CCM wamemdharau mno , Kinana na Makamba ndo ambao CCM inawaangalia Kwa jicho la pili na sio Membe