Msekwa: Membe siyo mtu maalumu, afuate tu taratibu

Msekwa: Membe siyo mtu maalumu, afuate tu taratibu

Zezeta mkubwa wewe kwann tusione kubwa akati tunamuhtaji lakini vyombo vyahabari vikojuu hasa vya kimataifa kutujuza....sasa akati anafukuzwa maalif seif na osca kambona hata TBC mlikua Nayo kama ilijuwepo kaziyake ilikua nn?....dunia ya leo bado mnakanuni zakumbana mpinzani wa mgombea kweli nyie matahira ndomana mnawahoji au kutumia mawazo ya mzee kama huyo ambae anashindwa kuchambua maswala kulingana na muda uliopo....membe ameamua kutenganisha zama eleweni hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Zezeta ni nani kati yako wewe na mzee Msekwa? Definitely wewe ndo utakuwa zezeta. Ungekuwa na akili hata kidogo ungempinga mzee Msekwa kwa nondo za maana kuliko huu upupu ulioweka hapa. Hawa wazee hawana cha kuprove kwako kwamba wana uwezo wa kufanya na kuongea vitu vya maana. Unachotakiwa wewe ni kuwapinga kwa hoja za maana zaidi na si kwa hoja za ushabiki makande ulizoweka hapa.
 
hahahaha MaCCM ni maoga sana kama kunguru.
Huo ushabiki sasa! Any CCM localized DNA strand to substantiate your statement? If not, avoid the nonscientifically based conclusion for a scientic statement. Woga siyo social trait, ni biological.
 
Huo ushabiki sasa! Any CCM localized DNA strand to substantiate your statement? If not, avoid the nonscientifically based conclusion for a scientic statement. Woga siyo social trait, ni biological.
MaCCM yote tu ni yale-yale.
 
Tusidanganye watu, Kambona aliukataa UJAMAA, na pia alikataa Nyerere alivyokuwa analazimisha lake, ukweli ni kuwa, enzi hizo siasa za kidikteta zilishamiri sana Africa, hiyo ndiyo issue
Msijifsnye hamnazo,

Membe kafukuzwa kwa sababu ya shinikizo la mwenyekiti wenu,na acheni kufananisha kufukuzwa kwa Kambona na Membe,

Kipindi Kambona anafukuzwa,nchi ndio ilikuwa inapata uhuru,usalama wa nchi upo tete,mamluki kibao,ukombozi kusini mwa Afrika umepamba moto,Nyerere alikuwa anajaribu kujenga nchi,

Sasa sasa hv,mmemfukuza ili boss wenu apumue,mnalinda uraji wenu tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zezeta mkubwa wewe kwann tusione kubwa akati tunamuhtaji lakini vyombo vyahabari vikojuu hasa vya kimataifa kutujuza....sasa akati anafukuzwa maalif seif na osca kambona hata TBC mlikua Nayo kama ilijuwepo kaziyake ilikua nn?....dunia ya leo bado mnakanuni zakumbana mpinzani wa mgombea kweli nyie matahira ndomana mnawahoji au kutumia mawazo ya mzee kama huyo ambae anashindwa kuchambua maswala kulingana na muda uliopo....membe ameamua kutenganisha zama eleweni hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
"....bado muna kanuni...." ukishasema muna kanuni, ina maana wewe siyo sehemu ya wao. Sasa kweli unaweza kutetea mtu ktk chama kingine, kwa kanuni zao, na maamuzi yao juu ya mtu wao ili iweje? CCM wanafuata tabia yao mbaya, CHADEMA wanafuata tabia yao mbaya; Zito out! UDP hivyo hivyo; Chidulamabambasi, OUT! n.k.

Tusichoshe akili kuwashauri watu ambao hawatuhusu. Haya yanamuhusu Membe na wenzake. Siyo ya leo.
 
Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mzee Pius Msekwa amesema kuwa Membe asijione kuwa yeye ni maalum sana, bali anapaswa kufuata taratibu zote ambazo wenzake waliofukuzwa kabla yake wanazifuata.

Amesema Membe siyo mtu wa kwanza kufukuzwa kutokana na utovu wa nidhamu kwani kuna watu waliofukuzwa kabla yake wakewemo Maalim Seif na Oscar Kambona ambaye amewahi kuwa Katibu Mkuu wa CCM. Amesema kuna kanuni zinazoongoza chama, ambazo ziko wazi kabisa na kila mtu anajua kuwa iwapo hatazifuata basi atachukuliwa hatua kali za kinidhamu.

Amedai kuwa kanuni zilezile zilizotumika kuwafukuza wengine, ndizo hizo zilizotumika kumfukuza yeye, hivyo hakuna jipya linalopaswa kuongelewa sana kwa sasa haoni umaalum wote wa Membe kama ambavyo waandishi wa habari wanataka kumpa.

MY TAKE
Mzee Msekwa katoa ufafanuzi mzuri sana kwani wengi wameona issue ya Membe kama kubwa kuzidi zilizopita. Membe hajawa Kiongozi Mkubwa ndani ya Chama kama ilivyokuwa kwa Kambona hivyo hana umaalum wowote. Isitoshe yeye mwenyewe anasema alijua atafukuzwa, so kanuni zipo wazi kama Msekwa alivyosema. Serikali imwangalie tu kwa jicho la tatu maana yawezekana alifanya hivyo ili apate sababu ya kuingia msituni kwa ufadhili wa mabeberu wanaompa kichwa.

Mzee anakufa ila bado ni biggest hypocrite on earth!

All for the name of monster ccm and madaraka!

Hold my beer!
 
Wanafanya vizuri kumwambia ukweli uliowazi maana alijazwa upepo mwingi kupita kawaida
Kinachonishangaza mimi, wote wanaoongea sana ni viongozi wa ccm, alianza polepole, kafuatia bashiru, mara msekwa. Mwenyewe Membe kimyaaaaaaaaaaaaaaa. Sijui wanaogopa nini au wanawashwa na nini. Jamani si mmeshamchukulia hatua, mmemfukuza sasa mwamfatafata wa nini. Kawaambia anataka kurudi ccm. Labda irudi ile ccm ya watanzania ya wakulima na wafanyakazi sio hii ya kisasa ya wasanii
 
Kinachonishangaza mimi, wote wanaoongea sana ni viongozi wa ccm, alianza polepole, kafuatia bashiru, mara msekwa. Mwenyewe Membe kimyaaaaaaaaaaaaaaa. Sijui wanaogopa nini au wanawashwa na nini. Jamani si mmeshamchukulia hatua, mmemfukuza sasa mwamfatafata wa nini. Kawaambia anataka kurudi ccm. Labda irudi ile ccm ya watanzania ya wakulima na wafanyakazi sio hii ya kisasa ya wasanii

Labda wewe ndo unasema yupo kimya, ila wenzio wanajua anasema nini. I think umeziba masikio kwa kutotaka kusikiliza anasemaje yeye. Pole
 
Huo mfano sio sahihi.

Wakati Kambona ana fukuzwa nchi ilikuwa na chama kimoja tuu cha siasaTANU na hadi Kambona ana fariki hakurudi Ccm/TANU hivyo kumtolea Membe huo mfano inadhihirisha Babu kachoka akae kimya alee wajukuu.

Kwa Maalim Seif hali ni hiyo hiyo aligukuzwa kwenye chama na hadi leo yuko nje ya chama. Sasa mnapo muomba aandike barua ya kuomba msamaha wasiwasi wenu ni nini? Membe ni mtu mzima mwenye akili timamu muacheni muda utaongea. Kina Lowasa wakiondoka na wamerudi japo mliwatukana sana walipo ondoka, kwa Membe shida ni nini mna mbembeleza?

Sent using Jamii Forums mobile app
Alaaaah! Kumbe wanambembeleza aombe msamaha na arudi tena chamani yaheee, ckujua hayo.
 
Huu sasa ndiyo ujinga. Nafasi ya kumjadili walishakuwa nayo na sasa wanaonyesha hawakumaliza kumjadili kabla ya kutoa haya maamuzi ya polepole? Hii nchi inachosha sana utafikiri hawakusoma kuhusu jinsi ya kuhitimisha na kutoa maamuzi. Hata ikiwa waandishi wanawatega waambieni tu suala hili limieshatolewa maamuzi na kamati kuu na hivyo hatuwezi kulisemea. Huu ndiyo uungwana. Kila mtu ni kamati kuu sasa?
 
Back
Top Bottom