Msekwa: Membe siyo mtu maalumu, afuate tu taratibu

Msekwa: Membe siyo mtu maalumu, afuate tu taratibu

Sasa Membe naye wa kumhofia? kuna wa kuwahofia Ila sio Membe Kwa kweli, atafute Tu kazi zingine za kufanya, ni aheri ukamhofia Zitto kuliko huyo Membe.
Shangaa na wewe
 
Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mzee Pius Msekwa amesema kuwa Membe asijione kuwa yeye ni maalum sana, bali anapaswa kufuata taratibu zote ambazo wenzake waliofukuzwa kabla yake wanazifuata.

Amesema Membe siyo mtu wa kwanza kufukuzwa kutokana na utovu wa nidhamu kwani kuna watu waliofukuzwa kabla yake wakewemo Maalim Seif na Oscar Kambona ambaye amewahi kuwa Katibu Mkuu wa CCM. Amesema kuna kanuni zinazoongoza chama, ambazo ziko wazi kabisa na kila mtu anajua kuwa iwapo hatazifuata basi atachukuliwa hatua kali za kinidhamu.

Amedai kuwa kanuni zilezile zilizotumika kuwafukuza wengine, ndizo hizo zilizotumika kumfukuza yeye, hivyo hakuna jipya linalopaswa kuongelewa sana kwa sasa haoni umaalum wote wa Membe kama ambavyo waandishi wa habari wanataka kumpa.

MY TAKE
Mzee Msekwa katoa ufafanuzi mzuri sana kwani wengi wameona issue ya Membe kama kubwa kuzidi zilizopita. Membe hajawa Kiongozi Mkubwa ndani ya Chama kama ilivyokuwa kwa Kambona hivyo hana umaalum wowote. Isitoshe yeye mwenyewe anasema alijua atafukuzwa, so kanuni zipo wazi kama Msekwa alivyosema. Serikali imwangalie tu kwa jicho la tatu maana yawezekana alifanya hivyo ili apate sababu ya kuingia msituni kwa ufadhili wa mabeberu wanaompa kichwa.
Huyu mzee tangu lini akawa Msemaji wa chama. Kila tukio lazima a comment... Au anavizia Umakamu!?
 
Kama asingekuwa mtu maalum ccm isingemhofia hivyo! Amefukuzwa juzi, zilipopita siku mbili Katibu Mkuu wa ccm akamkaribisha tena arejee. Kama asingekuwa chochote ccm wasingekuwa wanamzungumzia. By now he is a strong subject of discussion
 
Aliyefukuzwa hasemi chochote,eti malofa ndiyo yamekuwa yanamuwekea maneno mdomoni.
 
Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mzee Pius Msekwa amesema kuwa Membe asijione kuwa yeye ni maalum sana, bali anapaswa kufuata taratibu zote ambazo wenzake waliofukuzwa kabla yake wanazifuata.

Amesema Membe siyo mtu wa kwanza kufukuzwa kutokana na utovu wa nidhamu kwani kuna watu waliofukuzwa kabla yake wakewemo Maalim Seif na Oscar Kambona ambaye amewahi kuwa Katibu Mkuu wa CCM. Amesema kuna kanuni zinazoongoza chama, ambazo ziko wazi kabisa na kila mtu anajua kuwa iwapo hatazifuata basi atachukuliwa hatua kali za kinidhamu.

Amedai kuwa kanuni zilezile zilizotumika kuwafukuza wengine, ndizo hizo zilizotumika kumfukuza yeye, hivyo hakuna jipya linalopaswa kuongelewa sana kwa sasa haoni umaalum wote wa Membe kama ambavyo waandishi wa habari wanataka kumpa.

MY TAKE
Mzee Msekwa katoa ufafanuzi mzuri sana kwani wengi wameona issue ya Membe kama kubwa kuzidi zilizopita. Membe hajawa Kiongozi Mkubwa ndani ya Chama kama ilivyokuwa kwa Kambona hivyo hana umaalum wowote. Isitoshe yeye mwenyewe anasema alijua atafukuzwa, so kanuni zipo wazi kama Msekwa alivyosema. Serikali imwangalie tu kwa jicho la tatu maana yawezekana alifanya hivyo ili apate sababu ya kuingia msituni kwa ufadhili wa mabeberu wanaompa kichwa.
Katika nchi ambayo mtu mmoja yuko juu ya kila kitu haya kutokea ni dhahiri. Msekwa (Spika mstaafu) analipwa 80% ya mshahara wa Spika aliyepo madarakani lakini bado nyuesi anaita nyeupe?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mzee Pius Msekwa amesema kuwa Membe asijione kuwa yeye ni maalum sana, bali anapaswa kufuata taratibu zote ambazo wenzake waliofukuzwa kabla yake wanazifuata.

Amesema Membe siyo mtu wa kwanza kufukuzwa kutokana na utovu wa nidhamu kwani kuna watu waliofukuzwa kabla yake wakewemo Maalim Seif na Oscar Kambona ambaye amewahi kuwa Katibu Mkuu wa CCM. Amesema kuna kanuni zinazoongoza chama, ambazo ziko wazi kabisa na kila mtu anajua kuwa iwapo hatazifuata basi atachukuliwa hatua kali za kinidhamu.

Amedai kuwa kanuni zilezile zilizotumika kuwafukuza wengine, ndizo hizo zilizotumika kumfukuza yeye, hivyo hakuna jipya linalopaswa kuongelewa sana kwa sasa haoni umaalum wote wa Membe kama ambavyo waandishi wa habari wanataka kumpa.

MY TAKE
Mzee Msekwa katoa ufafanuzi mzuri sana kwani wengi wameona issue ya Membe kama kubwa kuzidi zilizopita. Membe hajawa Kiongozi Mkubwa ndani ya Chama kama ilivyokuwa kwa Kambona hivyo hana umaalum wowote. Isitoshe yeye mwenyewe anasema alijua atafukuzwa, so kanuni zipo wazi kama Msekwa alivyosema. Serikali imwangalie tu kwa jicho la tatu maana yawezekana alifanya hivyo ili apate sababu ya kuingia msituni kwa ufadhili wa mabeberu wanaompa kichwa.
Watu maalumu wakoje
 
You are missing a point. Suala hapa ni issue na siyo umri baba. Msisahau kuwa hapa siyo face book bali ni jamvi maalum for those who dare speak sense.
Muhusika yeye mbona yupo kimya ila kina Bashiru na Msekwa wanajikombakomba alafu wanasema mitandao inampa BM umaarufu
Msekwa umri umeenda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa si wamuache wanamfuatafuata wa nini?
Msekwa naye umri umeenda

Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani kama Msekwa aliamka asubuhi na kuwatafuta waandishi wa habari kuwaambia haya.
Nadhani aliulizwa maswali na waandishi na hayo ndio majibu yake.

Hapo umri wake umehusiana vipi na majibu yake?
 
Mbona huyu Mzee ana hangaika sana kwani Membe kamwuuliza Utaratibu wa kufuata? Membe anaujua utaratibu sialikuwa ccm

Sent using Jamii Forums mobile app

Kafuatwa na Waandishi wa habari uchwara wanaotaka umbea, akatoa reservations zake after akamalizia kuwa asisumbuliwe kuongelea mambo ambayo hayana umuhimu kama hilo. Hajaenda yeye kutafuta media na kuongea hilo
 
Back
Top Bottom