MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 28,064
- 31,401
Shangaa na weweSasa Membe naye wa kumhofia? kuna wa kuwahofia Ila sio Membe Kwa kweli, atafute Tu kazi zingine za kufanya, ni aheri ukamhofia Zitto kuliko huyo Membe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shangaa na weweSasa Membe naye wa kumhofia? kuna wa kuwahofia Ila sio Membe Kwa kweli, atafute Tu kazi zingine za kufanya, ni aheri ukamhofia Zitto kuliko huyo Membe.
Huyu mzee tangu lini akawa Msemaji wa chama. Kila tukio lazima a comment... Au anavizia Umakamu!?Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mzee Pius Msekwa amesema kuwa Membe asijione kuwa yeye ni maalum sana, bali anapaswa kufuata taratibu zote ambazo wenzake waliofukuzwa kabla yake wanazifuata.
Amesema Membe siyo mtu wa kwanza kufukuzwa kutokana na utovu wa nidhamu kwani kuna watu waliofukuzwa kabla yake wakewemo Maalim Seif na Oscar Kambona ambaye amewahi kuwa Katibu Mkuu wa CCM. Amesema kuna kanuni zinazoongoza chama, ambazo ziko wazi kabisa na kila mtu anajua kuwa iwapo hatazifuata basi atachukuliwa hatua kali za kinidhamu.
Amedai kuwa kanuni zilezile zilizotumika kuwafukuza wengine, ndizo hizo zilizotumika kumfukuza yeye, hivyo hakuna jipya linalopaswa kuongelewa sana kwa sasa haoni umaalum wote wa Membe kama ambavyo waandishi wa habari wanataka kumpa.
MY TAKE
Mzee Msekwa katoa ufafanuzi mzuri sana kwani wengi wameona issue ya Membe kama kubwa kuzidi zilizopita. Membe hajawa Kiongozi Mkubwa ndani ya Chama kama ilivyokuwa kwa Kambona hivyo hana umaalum wowote. Isitoshe yeye mwenyewe anasema alijua atafukuzwa, so kanuni zipo wazi kama Msekwa alivyosema. Serikali imwangalie tu kwa jicho la tatu maana yawezekana alifanya hivyo ili apate sababu ya kuingia msituni kwa ufadhili wa mabeberu wanaompa kichwa.
Msekwa anawajibu wale wanaompamba Membe tofauti na uhalisia wakeSasa si wamuache wanamfuatafuata wa nini?
Msekwa naye umri umeenda
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika nchi ambayo mtu mmoja yuko juu ya kila kitu haya kutokea ni dhahiri. Msekwa (Spika mstaafu) analipwa 80% ya mshahara wa Spika aliyepo madarakani lakini bado nyuesi anaita nyeupe?Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mzee Pius Msekwa amesema kuwa Membe asijione kuwa yeye ni maalum sana, bali anapaswa kufuata taratibu zote ambazo wenzake waliofukuzwa kabla yake wanazifuata.
Amesema Membe siyo mtu wa kwanza kufukuzwa kutokana na utovu wa nidhamu kwani kuna watu waliofukuzwa kabla yake wakewemo Maalim Seif na Oscar Kambona ambaye amewahi kuwa Katibu Mkuu wa CCM. Amesema kuna kanuni zinazoongoza chama, ambazo ziko wazi kabisa na kila mtu anajua kuwa iwapo hatazifuata basi atachukuliwa hatua kali za kinidhamu.
Amedai kuwa kanuni zilezile zilizotumika kuwafukuza wengine, ndizo hizo zilizotumika kumfukuza yeye, hivyo hakuna jipya linalopaswa kuongelewa sana kwa sasa haoni umaalum wote wa Membe kama ambavyo waandishi wa habari wanataka kumpa.
MY TAKE
Mzee Msekwa katoa ufafanuzi mzuri sana kwani wengi wameona issue ya Membe kama kubwa kuzidi zilizopita. Membe hajawa Kiongozi Mkubwa ndani ya Chama kama ilivyokuwa kwa Kambona hivyo hana umaalum wowote. Isitoshe yeye mwenyewe anasema alijua atafukuzwa, so kanuni zipo wazi kama Msekwa alivyosema. Serikali imwangalie tu kwa jicho la tatu maana yawezekana alifanya hivyo ili apate sababu ya kuingia msituni kwa ufadhili wa mabeberu wanaompa kichwa.
Alikuwa anasubiri na Membe ampelekee malalamiko yake ili amuumbue Kama alivyowafanya akina mzee Makamba na Kinana!Mbona huyu Mzee ana hangaika sana kwani Membe kamwuuliza Utaratibu wa kufuata? Membe anaujua utaratibu sialikuwa ccm
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo siyo maoni ni kebehiPamoja na umri kwenda anahaki ya kutoa maoni yake kwa mujibu wa katiba ya nchi ibara ya 18
Tena huyo ndiye aliyeiharibu katiba hii inayomuumba mungumutu. Akina Msekwa ni janga la Tanganyika kuwa hivi ilivyoSasa si wamuache wanamfuatafuata wa nini?
Msekwa naye umri umeenda
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu maalumu wakojeSpika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mzee Pius Msekwa amesema kuwa Membe asijione kuwa yeye ni maalum sana, bali anapaswa kufuata taratibu zote ambazo wenzake waliofukuzwa kabla yake wanazifuata.
Amesema Membe siyo mtu wa kwanza kufukuzwa kutokana na utovu wa nidhamu kwani kuna watu waliofukuzwa kabla yake wakewemo Maalim Seif na Oscar Kambona ambaye amewahi kuwa Katibu Mkuu wa CCM. Amesema kuna kanuni zinazoongoza chama, ambazo ziko wazi kabisa na kila mtu anajua kuwa iwapo hatazifuata basi atachukuliwa hatua kali za kinidhamu.
Amedai kuwa kanuni zilezile zilizotumika kuwafukuza wengine, ndizo hizo zilizotumika kumfukuza yeye, hivyo hakuna jipya linalopaswa kuongelewa sana kwa sasa haoni umaalum wote wa Membe kama ambavyo waandishi wa habari wanataka kumpa.
MY TAKE
Mzee Msekwa katoa ufafanuzi mzuri sana kwani wengi wameona issue ya Membe kama kubwa kuzidi zilizopita. Membe hajawa Kiongozi Mkubwa ndani ya Chama kama ilivyokuwa kwa Kambona hivyo hana umaalum wowote. Isitoshe yeye mwenyewe anasema alijua atafukuzwa, so kanuni zipo wazi kama Msekwa alivyosema. Serikali imwangalie tu kwa jicho la tatu maana yawezekana alifanya hivyo ili apate sababu ya kuingia msituni kwa ufadhili wa mabeberu wanaompa kichwa.
Muhusika yeye mbona yupo kimya ila kina Bashiru na Msekwa wanajikombakomba alafu wanasema mitandao inampa BM umaarufuYou are missing a point. Suala hapa ni issue na siyo umri baba. Msisahau kuwa hapa siyo face book bali ni jamvi maalum for those who dare speak sense.
Hapa nimekuelewa mkuuMsekwa hakumfuata membe bali waandishi habari ndio wanaoyaendeleza haya mambo kwa kuwapigia hawa wazee na kutaka maoni yao ili wauze habari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani kama Msekwa aliamka asubuhi na kuwatafuta waandishi wa habari kuwaambia haya.Sasa si wamuache wanamfuatafuata wa nini?
Msekwa naye umri umeenda
Sent using Jamii Forums mobile app
kwani kuna mtu anateseka???yawezekana alifanya hivyo ili apate sababu ya kuingia msituni kwa ufadhili wa mabeberu wanaompa kichwa.
Kweli kabisa ni aina ya kina Ndugai n.kTena huyo ndiye aliyeiharibu katiba hii inayomuumba mungumutu. Akina Msekwa ni janga la Tanganyika kuwa hivi ilivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona huyu Mzee ana hangaika sana kwani Membe kamwuuliza Utaratibu wa kufuata? Membe anaujua utaratibu sialikuwa ccm
Sent using Jamii Forums mobile app