Msekwa: Membe siyo mtu maalumu, afuate tu taratibu

Msekwa: Membe siyo mtu maalumu, afuate tu taratibu

Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mzee Pius Msekwa amesema kuwa Membe asijione kuwa yeye ni maalum sana, bali anapaswa kufuata taratibu zote ambazo wenzake waliofukuzwa kabla yake wanazifuata.

Amesema Membe siyo mtu wa kwanza kufukuzwa kutokana na utovu wa nidhamu kwani kuna watu waliofukuzwa kabla yake wakewemo Maalim Seif na Oscar Kambona ambaye amewahi kuwa Katibu Mkuu wa CCM. Amesema kuna kanuni zinazoongoza chama, ambazo ziko wazi kabisa na kila mtu anajua kuwa iwapo hatazifuata basi atachukuliwa hatua kali za kinidhamu.

Amedai kuwa kanuni zilezile zilizotumika kuwafukuza wengine, ndizo hizo zilizotumika kumfukuza yeye, hivyo hakuna jipya linalopaswa kuongelewa sana kwa sasa haoni umaalum wote wa Membe kama ambavyo waandishi wa habari wanataka kumpa.

MY TAKE
Mzee Msekwa katoa ufafanuzi mzuri sana kwani wengi wameona issue ya Membe kama kubwa kuzidi zilizopita. Membe hajawa Kiongozi Mkubwa ndani ya Chama kama ilivyokuwa kwa Kambona hivyo hana umaalum wowote. Isitoshe yeye mwenyewe anasema alijua atafukuzwa, so kanuni zipo wazi kama Msekwa alivyosema. Serikali imwangalie tu kwa jicho la tatu maana yawezekana alifanya hivyo ili apate sababu ya kuingia msituni kwa ufadhili wa mabeberu wanaompa kichwa.
Msekwa huyu huyu ambaye enzi zake Bunge lilikuwa kamati ya chama? Halafu mgombea urais alishindanishwa na kivuli!
Ameshapitwa na wakati huyu lakini haamini, halali!
Kivuli cha Membe kinawakosesha wengi usingizi.

Afadhali ya Bashiru ambaye jana (02/03/20) aliongea kwa umakini kidogo kuhusu hatma ya Membe (alijaribu kufanya damage control) kuliko tulivyowazoea. Na hapo ndipo ilipo tofauti kati ya kizazi cha Msekwa na kizazi kipya cha 'makada' wa CCM.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mzee Pius Msekwa amesema kuwa Membe asijione kuwa yeye ni maalum sana, bali anapaswa kufuata taratibu zote ambazo wenzake waliofukuzwa kabla yake wanazifuata.

Amesema Membe siyo mtu wa kwanza kufukuzwa kutokana na utovu wa nidhamu kwani kuna watu waliofukuzwa kabla yake wakewemo Maalim Seif na Oscar Kambona ambaye amewahi kuwa Katibu Mkuu wa CCM. Amesema kuna kanuni zinazoongoza chama, ambazo ziko wazi kabisa na kila mtu anajua kuwa iwapo hatazifuata basi atachukuliwa hatua kali za kinidhamu.

Amedai kuwa kanuni zilezile zilizotumika kuwafukuza wengine, ndizo hizo zilizotumika kumfukuza yeye, hivyo hakuna jipya linalopaswa kuongelewa sana kwa sasa haoni umaalum wote wa Membe kama ambavyo waandishi wa habari wanataka kumpa.

MY TAKE
Mzee Msekwa katoa ufafanuzi mzuri sana kwani wengi wameona issue ya Membe kama kubwa kuzidi zilizopita. Membe hajawa Kiongozi Mkubwa ndani ya Chama kama ilivyokuwa kwa Kambona hivyo hana umaalum wowote. Isitoshe yeye mwenyewe anasema alijua atafukuzwa, so kanuni zipo wazi kama Msekwa alivyosema. Serikali imwangalie tu kwa jicho la tatu maana yawezekana alifanya hivyo ili apate sababu ya kuingia msituni kwa ufadhili wa mabeberu wanaompa kichwa.

"kuingia msituni kwa ufadhili wa mabeberu"

kukitokea hili... hao kina Msekwa sijui watakimbilia wapi yarabi?
mwenzao Gaddafi alikimbilia shimoni kama nyoka bado aliibuliwa na kuvutwa ndevu kinyama.

wacha tuendelee ku enjoy hii movie, steringi mkuu akiwa ni yule yule "mwamba wa pande za kusi"!!
 
Jambo la membe ni sawa na kusema

Huyu ni fisadi lakini hutaji huo ufisadi.

Huyu ni jambazi lakni hutaji alichofanya

Huyu ni mlevi lakini hutaji anacholewa

Huyu ni mtovu wa nidhamu,hutaji matendo ya huo utovu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msijifsnye hamnazo,

Membe kafukuzwa kwa sababu ya shinikizo la mwenyekiti wenu,na acheni kufananisha kufukuzwa kwa Kambona na Membe,

Kipindi Kambona anafukuzwa,nchi ndio ilikuwa inapata uhuru,usalama wa nchi upo tete,mamluki kibao,ukombozi kusini mwa Afrika umepamba moto,Nyerere alikuwa anajaribu kujenga nchi,

Sasa sasa hv,mmemfukuza ili boss wenu apumue,mnalinda uraji wenu tu.

Unatoa povu sana kama ulinufaika na membe sasa atapunguza matumizi kwako maana kupatab uraisi nje ya CCm ni ghalama kubwa au aanze biashara tukutane TRA achangie uchumi wa nchi, hata nyumbani kwako kuna utaratibu, kama mukeo mwisho kuingia usiku nyumbani ni saa mbili inabidi afate kanunu zako, ila wewe hata saa nane usiku unarudi, kwa hiyo destuli za CCM kama zilimshinda mapema angejiengua tu ili asipate kufukuzwa.
 
Msekwa, alipopelekewa shauri la mgogoro wa Musiba Vs Makamba, Kinana, alisema aachwe apumzike na kwamba wa kuyasemea hayo ni waliopo madarakani!
Sasa bado anapewa 'airtime' ya nini tena?
 
Hala
Kambona hajawahi kuwa katibu mkuu wa CCM, CCM imezaliwa mwaka 1977 wakati huo Kambona akiwa nje ukimbizini.
Kwa sababu hiyo basi Kambona hajawahi kufukuzwa CCM.

Mzee Msekwa akumbushwe historia.

Siyo vizuri kutoa taarifa potofu kwa umma
[/QUOTE
Halafu huyu Mzee si ndio kina Kinana na Makamba walimuandikia kulalamika kua wanachafuliwa na Musiba na yeye badala ya kuchukua hatua na kua kama daraja ka kukiunganisha chama akawa anasikilizia upepo kwamba Mwenyekiti atasemaje.

Alipohisi kwamba alichoongea Musiba kina baraka za wakuu wa Chama akaamua kuwatosa makatibu wakuu wastaafu wenzake ati wasimpelekee malalamiko yeye! Leo hii nashangaa anapokuja na kauli kama hiyo ingawa ni mtu ambaye hua hana maoni independent
 
Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mzee Pius Msekwa amesema kuwa Membe asijione kuwa yeye ni maalum sana, bali anapaswa kufuata taratibu zote ambazo wenzake waliofukuzwa kabla yake wanazifuata.

Amesema Membe siyo mtu wa kwanza kufukuzwa kutokana na utovu wa nidhamu kwani kuna watu waliofukuzwa kabla yake wakewemo Maalim Seif na Oscar Kambona ambaye amewahi kuwa Katibu Mkuu wa CCM. Amesema kuna kanuni zinazoongoza chama, ambazo ziko wazi kabisa na kila mtu anajua kuwa iwapo hatazifuata basi atachukuliwa hatua kali za kinidhamu.

Amedai kuwa kanuni zilezile zilizotumika kuwafukuza wengine, ndizo hizo zilizotumika kumfukuza yeye, hivyo hakuna jipya linalopaswa kuongelewa sana kwa sasa haoni umaalum wote wa Membe kama ambavyo waandishi wa habari wanataka kumpa.

MY TAKE
Mzee Msekwa katoa ufafanuzi mzuri sana kwani wengi wameona issue ya Membe kama kubwa kuzidi zilizopita. Membe hajawa Kiongozi Mkubwa ndani ya Chama kama ilivyokuwa kwa Kambona hivyo hana umaalum wowote. Isitoshe yeye mwenyewe anasema alijua atafukuzwa, so kanuni zipo wazi kama Msekwa alivyosema. Serikali imwangalie tu kwa jicho la tatu maana yawezekana alifanya hivyo ili apate sababu ya kuingia msituni kwa ufadhili wa mabeberu wanaompa kichwa.

Metoa mawazo yake kama wengine ambavyo wangeweza kutoa.

Huyu mzee amezeeka, na ha anajitahidi kulinda penshini yake. Watu husema uzee ni busara, "lakini si kila mzee anabusara"
 
Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mzee Pius Msekwa amesema kuwa Membe asijione kuwa yeye ni maalum sana, bali anapaswa kufuata taratibu zote ambazo wenzake waliofukuzwa kabla yake wanazifuata.

Amesema Membe siyo mtu wa kwanza kufukuzwa kutokana na utovu wa nidhamu kwani kuna watu waliofukuzwa kabla yake wakewemo Maalim Seif na Oscar Kambona ambaye amewahi kuwa Katibu Mkuu wa CCM. Amesema kuna kanuni zinazoongoza chama, ambazo ziko wazi kabisa na kila mtu anajua kuwa iwapo hatazifuata basi atachukuliwa hatua kali za kinidhamu.

Amedai kuwa kanuni zilezile zilizotumika kuwafukuza wengine, ndizo hizo zilizotumika kumfukuza yeye, hivyo hakuna jipya linalopaswa kuongelewa sana kwa sasa haoni umaalum wote wa Membe kama ambavyo waandishi wa habari wanataka kumpa.

MY TAKE
Mzee Msekwa katoa ufafanuzi mzuri sana kwani wengi wameona issue ya Membe kama kubwa kuzidi zilizopita. Membe hajawa Kiongozi Mkubwa ndani ya Chama kama ilivyokuwa kwa Kambona hivyo hana umaalum wowote. Isitoshe yeye mwenyewe anasema alijua atafukuzwa, so kanuni zipo wazi kama Msekwa alivyosema. Serikali imwangalie tu kwa jicho la tatu maana yawezekana alifanya hivyo ili apate sababu ya kuingia msituni kwa ufadhili wa mabeberu wanaompa kichwa.
Mbona huyu Mzee ana hangaika sana kwani Membe kamwuuliza Utaratibu wa kufuata? Membe anaujua utaratibu sialikuwa ccm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninachoshangaa ni kuwa Membe amefukuzwa na si mwana CCM tena sasa mbona wana CCM ndiyo wanaweweseka saaaana kuliko huyo aliyefukuzwa, tumechoka na huu upumbavu wenu, kama vipi mpigeni risasi mbona kwa Lissu mliweza?

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mzee Pius Msekwa amesema kuwa Membe asijione kuwa yeye ni maalum sana, bali anapaswa kufuata taratibu zote ambazo wenzake waliofukuzwa kabla yake wanazifuata.

Amesema Membe siyo mtu wa kwanza kufukuzwa kutokana na utovu wa nidhamu kwani kuna watu waliofukuzwa kabla yake wakewemo Maalim Seif na Oscar Kambona ambaye amewahi kuwa Katibu Mkuu wa CCM. Amesema kuna kanuni zinazoongoza chama, ambazo ziko wazi kabisa na kila mtu anajua kuwa iwapo hatazifuata basi atachukuliwa hatua kali za kinidhamu.

Amedai kuwa kanuni zilezile zilizotumika kuwafukuza wengine, ndizo hizo zilizotumika kumfukuza yeye, hivyo hakuna jipya linalopaswa kuongelewa sana kwa sasa haoni umaalum wote wa Membe kama ambavyo waandishi wa habari wanataka kumpa.

MY TAKE
Mzee Msekwa katoa ufafanuzi mzuri sana kwani wengi wameona issue ya Membe kama kubwa kuzidi zilizopita. Membe hajawa Kiongozi Mkubwa ndani ya Chama kama ilivyokuwa kwa Kambona hivyo hana umaalum wowote. Isitoshe yeye mwenyewe anasema alijua atafukuzwa, so kanuni zipo wazi kama Msekwa alivyosema. Serikali imwangalie tu kwa jicho la tatu maana yawezekana alifanya hivyo ili apate sababu ya kuingia msituni kwa ufadhili wa mabeberu wanaompa kichwa.
Msituni? Ataanzaje au ataingilia wapi msituni kwa mfano. Hii nchi sio DRC mbayo serikali imeshindwa kuthibiti ardhi yake! Hapa kila square inch ya nchi imehibitiwa tena tangu enzi za Mwalimu!
 
Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mzee Pius Msekwa amesema kuwa Membe asijione kuwa yeye ni maalum sana, bali anapaswa kufuata taratibu zote ambazo wenzake waliofukuzwa kabla yake wanazifuata.

Amesema Membe siyo mtu wa kwanza kufukuzwa kutokana na utovu wa nidhamu kwani kuna watu waliofukuzwa kabla yake wakewemo Maalim Seif na Oscar Kambona ambaye amewahi kuwa Katibu Mkuu wa CCM. Amesema kuna kanuni zinazoongoza chama, ambazo ziko wazi kabisa na kila mtu anajua kuwa iwapo hatazifuata basi atachukuliwa hatua kali za kinidhamu.

Amedai kuwa kanuni zilezile zilizotumika kuwafukuza wengine, ndizo hizo zilizotumika kumfukuza yeye, hivyo hakuna jipya linalopaswa kuongelewa sana kwa sasa haoni umaalum wote wa Membe kama ambavyo waandishi wa habari wanataka kumpa.

MY TAKE
Mzee Msekwa katoa ufafanuzi mzuri sana kwani wengi wameona issue ya Membe kama kubwa kuzidi zilizopita. Membe hajawa Kiongozi Mkubwa ndani ya Chama kama ilivyokuwa kwa Kambona hivyo hana umaalum wowote. Isitoshe yeye mwenyewe anasema alijua atafukuzwa, so kanuni zipo wazi kama Msekwa alivyosema. Serikali imwangalie tu kwa jicho la tatu maana yawezekana alifanya hivyo ili apate sababu ya kuingia msituni kwa ufadhili wa mabeberu wanaompa kichwa.
Sasa afuate taratibu gani maana hawamtaki. Kwani Seif na Oscar walifuata taratibu gani?
 
Eti linajifanya kuwa so special,Mara niguse ninuke,ameshaguswa wala harufu hatusikii

Sent using Jamii Forums mobile app
So far Membe ameonyesha kuwa ni icon iliyokuwa na upekee. Hajazungumza sana ila waliomfukuza ndo wanazungumza zaidi. Wanaccm wakikaaa kimya atapotea haraka zaidi kuliko wanavyozungumzia sana hili swala lake. Ameshafukuzwa, aachwe yeye ndo povu limtoke na si kinyume.
 
Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mzee Pius Msekwa amesema kuwa Membe asijione kuwa yeye ni maalum sana, bali anapaswa kufuata taratibu zote ambazo wenzake waliofukuzwa kabla yake wanazifuata.

Amesema Membe siyo mtu wa kwanza kufukuzwa kutokana na utovu wa nidhamu kwani kuna watu waliofukuzwa kabla yake wakewemo Maalim Seif na Oscar Kambona ambaye amewahi kuwa Katibu Mkuu wa CCM. Amesema kuna kanuni zinazoongoza chama, ambazo ziko wazi kabisa na kila mtu anajua kuwa iwapo hatazifuata basi atachukuliwa hatua kali za kinidhamu.

Amedai kuwa kanuni zilezile zilizotumika kuwafukuza wengine, ndizo hizo zilizotumika kumfukuza yeye, hivyo hakuna jipya linalopaswa kuongelewa sana kwa sasa haoni umaalum wote wa Membe kama ambavyo waandishi wa habari wanataka kumpa.

MY TAKE
Mzee Msekwa katoa ufafanuzi mzuri sana kwani wengi wameona issue ya Membe kama kubwa kuzidi zilizopita. Membe hajawa Kiongozi Mkubwa ndani ya Chama kama ilivyokuwa kwa Kambona hivyo hana umaalum wowote. Isitoshe yeye mwenyewe anasema alijua atafukuzwa, so kanuni zipo wazi kama Msekwa alivyosema. Serikali imwangalie tu kwa jicho la tatu maana yawezekana alifanya hivyo ili apate sababu ya kuingia msituni kwa ufadhili wa mabeberu wanaompa kichwa.

Oscar Kambona hakufukuzwa CCM, alikimbia nchi akiwa Waziri, Mwanachama na kada wa kitaifa wa CCM.

Sijui amefika umri gani lakini ni dhahiri Mzee Msekwa ameshaanza kupoteza kumbukumbu.
 
Back
Top Bottom