Msekwa: Membe siyo mtu maalumu, afuate tu taratibu

Msekwa: Membe siyo mtu maalumu, afuate tu taratibu

Muhusika yeye mbona yupo kimya ila kina Bashiru na Msekwa wanajikombakomba alafu wanasema mitandao inampa BM umaarufu
Msekwa umri umeenda

Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee Msekwa hajikombi wala hana hulka hiyo kabisa.
Yeye kwa sasa yuko kwenye baraza la wazee na mara nyingi huwa kisiwani akibariz.
Kilichotokea ni kwamba waandishi wa habari walitaka maoni yake kuhusu hilo kama vile walivyotaka maoni yake wakati wa barua za akina mzee kinana na makamba.
 
Mzee Msekwa hajikombi wala hana hulka hiyo kabisa.
Yeye kwa sasa yuko kwenye baraza la wazee na mara nyingi huwa kisiwani akibariz.
Kilichotokea ni kwamba waandishi wa habari walitaka maoni yake kuhusu hilo kama vile walivyotaka maoni yake wakati wa barua za akina mzee kinana na makamba.
Njia aliyotumia kufikisha ujumbe yeye kama mzee na mwanasiasa mkongwe ina walakini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee kama yule kutoa maneno ya kebehi haipendezi kwa jamii

Sent using Jamii Forums mobile app
Haikuwa kebei ilikuwa ufafanuzi kwamba kufukuzwa chamani ndugu Membe sio jambo geni na kubwa hivyo kama linavyo tengenezwa na waandishi wa habari,
Wengine kwa makusudi kwa kulipwa na wengine ni kwa kutaka habari itakayo uza magazeti kwa wingi.

Nothing special about it. He is normal just like any other former TANU and CCM members who were expelled from their party.
 
Njia aliyotumia kufikisha ujumbe yeye kama mzee na mwanasiasa mkongwe ina walakini

Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo ni mawazo ambayo una haki nayo lakini unapaswa kufahamu hulka ya huyu mzee siyo ya papara naye aliulizwa masuala haya na 5th Estate. Amekuwa akijibu masuala mengi kuhusu bunge pamoja na chama chake na sijawahi kusikia spika akilalamika wala chama chake kikilalamika.
Pilipili usiyoila inakuwashaje????
 
Haikuwa kebei ilikuwa ufafanuzi kwamba kufukuzwa chamani ndugu Membe sio jambo geni na kubwa hivyo kama linavyo tengenezwa na waandishi wa habari,
Wengine kwa makusudi kwa kulipwa na wengine ni kwa kutaka habari itakayo uza magazeti kwa wingi.

Nothing special about it. He is normal just like any other former TANU and CCM members who were expelled from their party.
Ndiyo amefafanua vizuri na ilitosha kabisa kueleweka
Ila hakukuwa na sababu ya kusema BM asijione special, hapa alijibu as if BM:-
-amewahi kusema kwamba yeye ni special
-yeye ndo anawatuma waandishi wampaishe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alitakiwa kutumia njia gani wakati waandishi wa habari ndio waliomfuata na kuanza kumpamba Membe kwa maneno mazuri mazuri? Membe pia aache kutumia media vibaya.
Kulikuwa na sababu gani ya kusema B.M asijione special?
Lini Membe alisema yeye ni special?
Msekwa amekuwa kama hajakomaa kisiasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo ni mawazo ambayo una haki nayo lakini unapaswa kufahamu hulka ya huyu mzee siyo ya papara naye aliulizwa masuala haya na 5th Estate. Amekuwa akijibu masuala mengi kuhusu bunge pamoja na chama chake na sijawahi kusikia spika akilalamika wala chama chake kikilalamika.
Pilipili usiyoila inakuwashaje????
Watalalamikaje wakati ni walewale?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pamoja na umri kwenda anahaki ya kutoa maoni yake kwa mujibu wa katiba ya nchi ibara ya 18
Lakini ata Membe ana haki ya kutoa maoni pamoja na kuonyesha nia ya kugombea ..Katiba ya nchi ipo wazi
 
Karibu JF naona hujakomaa. Hapa tunatumia ushahidi, siyo ushabiki. Wewe nakuona ni shabiki wa Membe na unaamini membe ni wa kupongezwa tu. Utakapokomaa, utajirudi.
Nakataa kwamba mimi siyo shabiki wa Membe kama unavyodai, ila naangalia uhalisia wa mambo na siyo ushabiki
P.Msekwa hajawahi kuwa mtu makini katika jambo lolote katika historia, jaribu kumfuatilia utagundua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa Membe naye wa kumhofia? kuna wa kuwahofia Ila sio Membe Kwa kweli, atafute Tu kazi zingine za kufanya, ni aheri ukamhofia Zitto kuliko huyo Membe.
kama CCM walikua hawamuhofii Membe kwanini wamfukuza asikutane na Meko kwenye kura za maoni?
 
Sasa mmemfukuza inatosha, hayo mengine kaeno nayo wenyewe.
 
Mzee Msekwa be specific...hapa hanna jingine ni Urais!! kwamba aliyeko madarakani hapingwi hadi ngwe yake iishe...Point je hili limo kwenye katiba ya chama chenu? Nipe kufungu
 
Back
Top Bottom