Msela na Mbabe TAMISEMI walivyoichonganisha awamu ya tano na wananchi na wafanyakazi

Msela na Mbabe TAMISEMI walivyoichonganisha awamu ya tano na wananchi na wafanyakazi

Nchi hii labda aje malaika, lakini Kama ni binadamu Hawa Hawa lazima tu wamseme ,nyimbo hizi zilikuwa na beti hizi hizi kwa JK wakati Yuko madarakani, zikahamia kwa JPM na muda si mrefu tutaziimba kwa SSH, pengine JPM alilijua hili na akaamua Kama alivyoona.
Hebu tujiulize hivi huyo Katibu Mkuu Tamisemi anafanya bila kufuata SKT? Je huyo unayemtaka aje atafanya nje na STK? Mfano unamtaka aje ataruhusu uhamisho bila kujali ikama ya watumishi kule watokako na waendako? Huu ni mtazamo wangu tu.
Hujuia process ya uhamisho ndiyo maana. Mtu anaambiwa atafute nafasi anatafuta anapata. Kule anapotoka uhamisho unapitishwa na kule anapoenda unapitishwa sasa nenda TAMISEMI ambako wanaidhinisha tu hawa watu kubadilishana mikoa - hapo UNAKWAMA Zaidi ya miaka!
 
Hivi kwani Tundu Lissu sio mfano mzuri? Si alichukua hatua angalau kusema? Unajua idadi ya risasi zilizomwingia unazijua maumivu yake? Usijifanya hujui dadangu!
Kwani Katibu mkuu Tamisemi ndo IGP??Mbna unachanganya mafile mamangu?
 
Mzee unaishi sayari gani wewee, jiwe alitumbua adi marafiki zake na urafiki ukaisha, mtoto wa dada ake aliye teuliwa kule kawe, akala kichwa . Nilikuwa simpendi jiwe lakini baadhi ya uwe da wazimu wake ulikuwa na manufaa kwa nchi hii!!!
Sifa za marehemu, uzi unaonyesha kiburi cha madaraka ya jiwe na wateule wake, ww unasema jiwe ndio alikuwa anaiweza hii nchi! Ama uwezo wa kuelewa mada ni mdogo? Naona unalazimisha kupulizia kinyesi perfume.
 
Huyo mtoto wa dadake aliteuliwa na nani? Je kwa sasa yupo wapi na wakati anateuliwa competency yake na yako unailinganishaje? Further to that unaweza kweli mlinganisha aliyekuwa Katibu Mkuu Fedha Mkenda na Doto James wa sasa? Usitetee nepotism kama sio mnufaika ndugu!
Nina ushahidi wa 100% jinsi Dotto alivyo kuwa anakwapua pesa!
 
Jafo ni mchapakazi hakuwa anakurupuka katika maamuzi yake. Amesimamia ujenzi wa madarasa nchi mzima, vituo vya afya, zahanati na hospital za wilaya stand na vituo vya mabasi,miradi ya maji,n.k katika mazingira magumu ya fedha za halmashauri kuwa chini ya hazina/serikali kuu. Kama sio ubunifu wake wa kutumia Force account kufanikisha miradi hii, halmashauri nyingine zingeshindwa kukamilisha miradi kutokana na urasimu wa kupata fedha toka hazina. Ni pontetional to higher office Madame SSH anajua hill na alichofanya ni nyundo. Huwezi mfananisha Jafo na mawaziri uchuro kama Mwigulu, atang'ara tu hata wizara anayoenda

Ww ndio Jafo mwenyewe nini? Sasa kama ni mchapakazi kwanini kaondolewa hiyo wizara?
 
Nchi hii labda aje malaika, lakini Kama ni binadamu Hawa Hawa lazima tu wamseme ,nyimbo hizi zilikuwa na beti hizi hizi kwa JK wakati Yuko madarakani, zikahamia kwa JPM na muda si mrefu tutaziimba kwa SSH, pengine JPM alilijua hili na akaamua Kama alivyoona.
Hebu tujiulize hivi huyo Katibu Mkuu Tamisemi anafanya bila kufuata SKT? Je huyo unayemtaka aje atafanya nje na STK? Mfano unamtaka aje ataruhusu uhamisho bila kujali ikama ya watumishi kule watokako na waendako? Huu ni mtazamo wangu tu.
Swala la uhamisho usiliongelee kabisa,kwasababu baada ya kuzuiliwa watu wanahama kwa rushwa hata ambao hawastahili kuhama wanahama muda wowote kwasababu wanauwezo vipi wasio na uwezo wa kuhonga?na serikali ilisema inakuja na mfumo mpya wa kusimamia uhamisho toka 2018 lakini mpaka leo kimya,na ndio maana sasa umegeuka mradi katikati ya serikali inayojiita ya wanyonge sababu imeacha majukumu yake ya msingi.
 
Ww ndio Jafo mwenyewe nini? Sasa kama ni mchapakazi kwanini kaondolewa hiyo wizara?
Hapana. Mkuu, Mimi ni mwananchi kama raia wengine. I'm just good in observing when someone does something.
 
IGP anaingiaje sasa hapa? au ndiye alimpiga risasi Lisu? halafu pia siwezi kuwa mama yako mie. Watoto wangu ninawajua wapo vizuri sana dadangu!
Kwa akili zako za kisoda utakuwa umejifungua jana.
 
Mama Samia Suluhu Hassan ameshtuka mapema. Ninamsifu sana. Ukweli kabisa Msela Jafo hakuwa na impact kabisa katika awamu ya tano. Aliyafanya yale ambayo alifikiri yanampatanisha Rais wa Awamu ya Tano na Serikali na wananchi. Ona Msela huyu alivyoharibu kabisa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mwaka 2019.

Hili haliwezi sahaulika kamwe. Jaffo alikuwa akijiendea tu na anacheka cheka tu na wala hakuwa na uwezo wa kushauriana na Mbabe wa TAMISEMI Katibu Mkuu Engineer Nyamhanga. Huyu alikuwa anawasiliana direct na classmate mwenzio JPM - so hakuwa anatikiswa wala na Waziri wake. Nyamhanga ndiyo chanzo cha Wakurugenzi Wasimamia Uchaguzi 2020 kuiba kura na kununua Uchaguzi. Huyu alikuwa wakati wowote anaongea na JPM kwa simu na Mahera. Kwa sasa sijui kama ana ubavu huo.

Kibaya Zaidi hata sasa wafanyakazi wengi uhamisho ambao hupaswa kuidhinishwa naye umekwama pale. Watendaji wake wa chini wanaoshughulika na uhamisho wanakula rushwa kama mchwa - Nyamhanga mwenyewe kalundika barua kibao badala ya kuzisaini na kuwapa majibu waombaji ameshikilia tu. Yaani sijui binadamu tunajisikiaje kuchelewesha mambo ya watu. Niliomba uhamisho kutoka Dar-es-Salaam kwenda Mwanza kama Mwalimu nikamhudumie mzee wangu aliyekuwa anaumwa leo ni miaka mitatu hamna majibu wakati sehemu hizo zote walishanipitishia na mpaka mzazi wangu kipenzi akafariki dunia. Ukienda TAMISEMI eti unaambiwa Katibu Mkuu hajasaini barua zenu. Wenzao UTUMISHI ni hamna longolongo, unaomba uhamisho haujakubaliwa unajibiwa, hawa TAMISEMI kuna nini?

Samia pls hamia kwa Katibu Mkuu huyu uchuro aliyekuwa anafanya kazi kwa favour ya kuwa classmate na Jiwe. Hafai huyu msaidie faster, ili hata wananchi waone haki ikianza kushamiri kupitia TAMISEMI. Yaani ilikuwa ni bora mtu kwenda kwa Waziri Mkuu au kwa Rais mwenyewe kuliko kwenda TAMISEMI.

Tafadhali Mama Ummy Mwalimu hebu kaanza na hizo barua za idhini ya uhamisho za miaka kibao kazitoe au hakikisha basi waombaji wanajibiwa faster.
Ungekuja tu na ID yako ya zamani ili tutambue pia mtazamo wako before kifo cha yule unayemsema mbabe
 
Jafo ni mchapakazi hakuwa anakurupuka katika maamuzi yake. Amesimamia ujenzi wa madarasa nchi mzima, vituo vya afya, zahanati na hospital za wilaya stand na vituo vya mabasi,miradi ya maji,n.k katika mazingira magumu ya fedha za halmashauri kuwa chini ya hazina/serikali kuu. Kama sio ubunifu wake wa kutumia Force account kufanikisha miradi hii, halmashauri nyingine zingeshindwa kukamilisha miradi kutokana na urasimu wa kupata fedha toka hazina. Ni pontetional to higher office Madame SSH anajua hill na alichofanya ni nyundo. Huwezi mfananisha Jafo na mawaziri uchuro kama Mwigulu, atang'ara tu hata wizara anayoenda
Ila for sure Mwigulu ni uchuro zaidi kuliko Jafo
 
Hawa watu wa TANROAD waliotawanya kila kona ya serikali wametuharibia nchi tu.Warudi wakajenge mabarabara na madaraja wawaachie masuala ya utawala watu sahihi.
Ile cartel ya TANROADS siyo mchezo
 
Mama Samia Suluhu Hassan ameshtuka mapema. Ninamsifu sana. Ukweli kabisa Msela Jafo hakuwa na impact kabisa katika awamu ya tano. Aliyafanya yale ambayo alifikiri yanampatanisha Rais wa Awamu ya Tano na Serikali na wananchi. Ona Msela huyu alivyoharibu kabisa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mwaka 2019.

Hili haliwezi sahaulika kamwe. Jaffo alikuwa akijiendea tu na anacheka cheka tu na wala hakuwa na uwezo wa kushauriana na Mbabe wa TAMISEMI Katibu Mkuu Engineer Nyamhanga. Huyu alikuwa anawasiliana direct na classmate mwenzio JPM - so hakuwa anatikiswa wala na Waziri wake. Nyamhanga ndiyo chanzo cha Wakurugenzi Wasimamia Uchaguzi 2020 kuiba kura na kununua Uchaguzi. Huyu alikuwa wakati wowote anaongea na JPM kwa simu na Mahera. Kwa sasa sijui kama ana ubavu huo.

Kibaya Zaidi hata sasa wafanyakazi wengi uhamisho ambao hupaswa kuidhinishwa naye umekwama pale. Watendaji wake wa chini wanaoshughulika na uhamisho wanakula rushwa kama mchwa - Nyamhanga mwenyewe kalundika barua kibao badala ya kuzisaini na kuwapa majibu waombaji ameshikilia tu. Yaani sijui binadamu tunajisikiaje kuchelewesha mambo ya watu. Niliomba uhamisho kutoka Dar-es-Salaam kwenda Mwanza kama Mwalimu nikamhudumie mzee wangu aliyekuwa anaumwa leo ni miaka mitatu hamna majibu wakati sehemu hizo zote walishanipitishia na mpaka mzazi wangu kipenzi akafariki dunia. Ukienda TAMISEMI eti unaambiwa Katibu Mkuu hajasaini barua zenu. Wenzao UTUMISHI ni hamna longolongo, unaomba uhamisho haujakubaliwa unajibiwa, hawa TAMISEMI kuna nini?

Samia pls hamia kwa Katibu Mkuu huyu uchuro aliyekuwa anafanya kazi kwa favour ya kuwa classmate na Jiwe. Hafai huyu msaidie faster, ili hata wananchi waone haki ikianza kushamiri kupitia TAMISEMI. Yaani ilikuwa ni bora mtu kwenda kwa Waziri Mkuu au kwa Rais mwenyewe kuliko kwenda TAMISEMI.

Tafadhali Mama Ummy Mwalimu hebu kaanza na hizo barua za idhini ya uhamisho za miaka kibao kazitoe au hakikisha basi waombaji wanajibiwa faster.
Pole sana! Halafu watu wachache watakuja kuhadaa watu kuwa serikali ya jiwe ilikua sikivu na ya wanyonge
 
Nyamhanga hahawahi soma shule/chuo kimoja na jiwe.
Mama Samia Suluhu Hassan ameshtuka mapema. Ninamsifu sana. Ukweli kabisa Msela Jafo hakuwa na impact kabisa katika awamu ya tano. Aliyafanya yale ambayo alifikiri yanampatanisha Rais wa Awamu ya Tano na Serikali na wananchi. Ona Msela huyu alivyoharibu kabisa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mwaka 2019.

Hili haliwezi sahaulika kamwe. Jaffo alikuwa akijiendea tu na anacheka cheka tu na wala hakuwa na uwezo wa kushauriana na Mbabe wa TAMISEMI Katibu Mkuu Engineer Nyamhanga. Huyu alikuwa anawasiliana direct na classmate mwenzio JPM - so hakuwa anatikiswa wala na Waziri wake. Nyamhanga ndiyo chanzo cha Wakurugenzi Wasimamia Uchaguzi 2020 kuiba kura na kununua Uchaguzi. Huyu alikuwa wakati wowote anaongea na JPM kwa simu na Mahera. Kwa sasa sijui kama ana ubavu huo.

Kibaya Zaidi hata sasa wafanyakazi wengi uhamisho ambao hupaswa kuidhinishwa naye umekwama pale. Watendaji wake wa chini wanaoshughulika na uhamisho wanakula rushwa kama mchwa - Nyamhanga mwenyewe kalundika barua kibao badala ya kuzisaini na kuwapa majibu waombaji ameshikilia tu. Yaani sijui binadamu tunajisikiaje kuchelewesha mambo ya watu. Niliomba uhamisho kutoka Dar-es-Salaam kwenda Mwanza kama Mwalimu nikamhudumie mzee wangu aliyekuwa anaumwa leo ni miaka mitatu hamna majibu wakati sehemu hizo zote walishanipitishia na mpaka mzazi wangu kipenzi akafariki dunia. Ukienda TAMISEMI eti unaambiwa Katibu Mkuu hajasaini barua zenu. Wenzao UTUMISHI ni hamna longolongo, unaomba uhamisho haujakubaliwa unajibiwa, hawa TAMISEMI kuna nini?

Samia pls hamia kwa Katibu Mkuu huyu uchuro aliyekuwa anafanya kazi kwa favour ya kuwa classmate na Jiwe. Hafai huyu msaidie faster, ili hata wananchi waone haki ikianza kushamiri kupitia TAMISEMI. Yaani ilikuwa ni bora mtu kwenda kwa Waziri Mkuu au kwa Rais mwenyewe kuliko kwenda TAMISEMI.

Tafadhali Mama Ummy Mwalimu hebu kaanza na hizo barua za idhini ya uhamisho za miaka kibao kazitoe au hakikisha basi waombaji wanajibiwa faster.
 
Watolewe wale waliostaafu wamepewa mikataba ili tupate nafasi ya vijana wapya kuajiliwa.
 
Back
Top Bottom