Msela na Mbabe TAMISEMI walivyoichonganisha awamu ya tano na wananchi na wafanyakazi

Msela na Mbabe TAMISEMI walivyoichonganisha awamu ya tano na wananchi na wafanyakazi

Force account ni nini?
Jafo ni mchapakazi hakuwa anakurupuka katika maamuzi yake. Amesimamia ujenzi wa madarasa nchi mzima, vituo vya afya, zahanati na hospital za wilaya stand na vituo vya mabasi,miradi ya maji,n.k katika mazingira magumu ya fedha za halmashauri kuwa chini ya hazina/serikali kuu. Kama sio ubunifu wake wa kutumia Force account kufanikisha miradi hii, halmashauri nyingine zingeshindwa kukamilisha miradi kutokana na urasimu wa kupata fedha toka hazina. Ni pontetional to higher office Madame SSH anajua hill na alichofanya ni nyundo. Huwezi mfananisha Jafo na mawaziri uchuro kama Mwigulu, atang'ara tu hata wizara anayoenda
 
Huyo mwenyewe aliyeandika Jafo amefanikiwa sana TAMISEMI kwa sababu ya kutumia force account ndio atuambia hicho ni kitu gani.
Wahasibu waje watuambie hapa!
 
Hakuna mchemsho makubwa aliofanya kama kumpa mmama uwaziri tamisemi!!
Muda utatuonesha,tutarudi nyuma mmno,mpaka tustuke tunavyoibiwa miradi itakuwa kushnei...
Tarura watazilamba balsa,halmashauri watafaidi mmno. Ilipaswa MTU mtendaji wa hali yajuu akabidhiwe hii wizara yaani kuliko huyu mama bora hata makonda
 
Force account ni nini?

Kulingana na kanuni za mununuzi ya umma, force account inamaanisha ujenzi kwa kutumia chombo chenyewe cha serikali au kwa kutumia wakala wa umma au idara zinazohusika, ambapo hutumia wafanyakazi na vifaa vyake au wafanyakazi walioajiriwa(local fundis)
 
Mama Samia Suluhu Hassan ameshtuka mapema. Ninamsifu sana. Ukweli kabisa Msela Jafo hakuwa na impact kabisa katika awamu ya tano. Aliyafanya yale ambayo alifikiri yanampatanisha Rais wa Awamu ya Tano na Serikali na wananchi. Ona Msela huyu alivyoharibu kabisa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mwaka 2019.

Hili haliwezi sahaulika kamwe. Jaffo alikuwa akijiendea tu na anacheka cheka tu na wala hakuwa na uwezo wa kushauriana na Mbabe wa TAMISEMI Katibu Mkuu Engineer Nyamhanga. Huyu alikuwa anawasiliana direct na classmate mwenzio JPM - so hakuwa anatikiswa wala na Waziri wake. Nyamhanga ndiyo chanzo cha Wakurugenzi Wasimamia Uchaguzi 2020 kuiba kura na kununua Uchaguzi. Huyu alikuwa wakati wowote anaongea na JPM kwa simu na Mahera. Kwa sasa sijui kama ana ubavu huo.

Kibaya Zaidi hata sasa wafanyakazi wengi uhamisho ambao hupaswa kuidhinishwa naye umekwama pale. Watendaji wake wa chini wanaoshughulika na uhamisho wanakula rushwa kama mchwa - Nyamhanga mwenyewe kalundika barua kibao badala ya kuzisaini na kuwapa majibu waombaji ameshikilia tu. Yaani sijui binadamu tunajisikiaje kuchelewesha mambo ya watu. Niliomba uhamisho kutoka Dar-es-Salaam kwenda Mwanza kama Mwalimu nikamhudumie mzee wangu aliyekuwa anaumwa leo ni miaka mitatu hamna majibu wakati sehemu hizo zote walishanipitishia na mpaka mzazi wangu kipenzi akafariki dunia. Ukienda TAMISEMI eti unaambiwa Katibu Mkuu hajasaini barua zenu. Wenzao UTUMISHI ni hamna longolongo, unaomba uhamisho haujakubaliwa unajibiwa, hawa TAMISEMI kuna nini?

Samia pls hamia kwa Katibu Mkuu huyu uchuro aliyekuwa anafanya kazi kwa favour ya kuwa classmate na Jiwe. Hafai huyu msaidie faster, ili hata wananchi waone haki ikianza kushamiri kupitia TAMISEMI. Yaani ilikuwa ni bora mtu kwenda kwa Waziri Mkuu au kwa Rais mwenyewe kuliko kwenda TAMISEMI.

Tafadhali Mama Ummy Mwalimu hebu kaanza na hizo barua za idhini ya uhamisho za miaka kibao kazitoe au hakikisha basi waombaji wanajibiwa faster.

Updates:
Jana Tarehe 04 Aprili, 2021 wengi wamefurahi kuona Nyamhanga naye kaondoshwa TAMISEMI. Haijulikani atapangiwa wapi lakini ukweli ubabe wake na karma ya kuongoza mbinu za kuiba kura Mwaka 202o na kutibua Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019 itaendelea kumfuata na hana la kujivunia. Na tena sijui anajisikiaje kuondoka pale wakati lundo la barua za uhamisho zikiwa mezani kwake.
mama fundi sana aendelee kuchuja wengine wapo wengi
 
Faida yake ni katika uchumi ni ipi?

Pesa kuendelea kuzunguka ndani ya serikali haipunguzi mzunguko wa pesa na kuathiri uchumi wa nchi?

Kama kampuni binafsi za wazawa hazitapewa tenda za ujenzi za serikali hii ina mustakbali gani kwa sekta binafsi ya ujenzi? Kuna wakati makampuni ya wazawa yataweza kuwa na msuli wa kupambana kupata tenda dhidi ya makampuni ya wachina yaliyotapakaa kila kona ya nchi?

Kwa nini force account haitumiki kwenye miradi mingi mikubwa tunayoona wachina wakifanya kazi?

Ikiwa serikali inajenga yenyewe na kujikagua yenyewe ubora wa kazi unahakikishwa vipi kwa uhuru na weledi unaostahili?
Kulingana na kanuni za mununuzi ya umma, force account inamaanisha ujenzi kwa kutumia chombo chenyewe cha serikali au kwa kutumia wakala wa umma au idara zinazohusika, ambapo hutumia wafanyikazi na vifaa vyake au wafanyikazi walioajiriwa(local fundis)
 
Faida yake ni katika uchumi ni ipi?

Pesa kuendelea kuzunguka ndani ya serikali haipunguzi mzunguko wa pesa na kuathiri uchumi wa nchi?

Kama kampuni binafsi za wazawa hazitapewa tenda za ujenzi za serikali hii ina mustakbali gani kwa sekta binafsi ya ujenzi? Kuna wakati makampuni ya wazawa yataweza kuwa na msuli wa kupambana kupata tenda dhidi ya makampuni ya wachina yaliyotapakaa kila kona ya nchi?

Kwa nini force account haitumiki kwenye miradi mingi mikubwa tunayoona wachina wakifanya kazi?

Ikiwa serikali inajenga yenyewe na kujikagua yenyewe ubora wa kazi unahakikishwa vipi kwa uhuru na weledi unaostahili?

Inaruhusu kuanza kwa haraka kwa ujenzi katika maeneo muhimu ndani ya ratiba

Huokoa wakati na gharama za juu zinazohitajika kwa utayarishaji wa vifurushi vya zabuni na zabuni, tathmini na utoaji wa mikataba nk nk nk
 
Kuna viongozi wa hovyo sana TAMISEMI hata huyo injinia alikua wa hovyo mno, kisa kasoma na jiwe , Jafo ndio kabisaaaaaa anatomba tu hadi ofisini, yaani mtu ana wake wanne lakini bado ananyandua vifanyakazi yaani walivyotolewa hao sawasawa kabisa Ummy ajipange aunde safu yake otherwise atafeli mapemaaaaa
 
Back
Top Bottom