Mwami Ntale
JF-Expert Member
- May 26, 2018
- 855
- 2,264
Hauko peke Yako bwashee,sijawahi na sitaipigia kura ccm katika maisha yangu.Wizi,kulindana,kuvuruga chaguzi,ufisadi uongo,kushindwa kutekeleza sera nzuri za uchumi na sasa hii DOUBLE TAXATION,ni miongoni MWA mambo yanayonifanya nichukie.
Kingine,wakati sisi tunasota na maisha magumu,wao mishahara marupurupu,na pensheni zao hazisemeki.
Kingine,wakati sisi tunasota na maisha magumu,wao mishahara marupurupu,na pensheni zao hazisemeki.