Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Naichukia sana CCM mpaka napandwa na wazimu

Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Naichukia sana CCM mpaka napandwa na wazimu

Kweli kabisa !! Na hata kama kuna ukweli unataka kuusema huo ukweli utakuponza tu !! Hizo ndio zinazoitwa siasa za Dunia ya tatu !!
Vijana wajifunze siasa zinavyoenda...

Vyama tawala duniani huwa vinahakikisha vinakuwa na mahusiano mazuri na vyama pinzani, hata kama publicly watakosoana lakini nyuma ya pazia wanagonga glass.

Chama tawala kisipofanya hivi basi kitapana ule upinzani wa kwelikwelii, mfano hai ni yaliyomtokea Mwendazake. Kikwete hakuwaga mjinga kuwakaribisha wapinzani ikulu.

Sasa akina sie kajamba nani hatuelewi siasa zinavyoenda tunabaki kukaza shingo zetu for nothing.
 
Daah avatar yako ya The Gray Man.. Hiyo ndo movie yangu bora kwa 2022 labda kama itatokea nyingine.
Nami bado sijaona mkuu, kesho naangalia Thor:Love & Thunder ngoja nione kama itakuwa na jipya.

Ila The Grayman ni nyokooo, amsha amsha mwanzo mwengaaa...
 

Naichukia sana CCM mpaka napandwa na wazimu​

Nikimuona mwanaccm jazba inanipanda na ninaingiwa na shetani wa kumfanyia vurugu.
Kuichukia ccm kwa yale unayoyaona ni mabaya ni sawa kabisa, huo ndio uhuru wa kuwa na maoni binafsi; lakini kupandwa na wazimu, hilo ni tatizo la kisaikolojia: inabidi uende kwa psychiatrist mapema ukasaidiwe kabla hujaanza kuvua nguo hadharani na kuokota makopo. Otherwise soon tutakuweka kwenye kundi moja na lisu, watu ambao #dishlimetilt
 
Back
Top Bottom